Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

1. Ayam cemani 2. Sultan 3. Phoenix 4. Yokohama 5. Polish crested 6. Sebright 7. Frizzle
2 Reactions
3 Replies
410 Views
Habari wafugaji natumaini wote ni wazima Leo nimekuja na kitu kipya kabisa kuhusu kubaki kwa kondo la uzazi kwa mifugo wako. 👉Kondo la uzazi ni kiungo kinachounganisha ndama na mfuko wa mimba ili...
0 Reactions
0 Replies
323 Views
Habari za muda huu natumaini wote ni wazima,Leo nitaenda kutoa elimu ya kujua Kama nguruwe wako yupo kwenye joto. 👉Note. Nguruwe ambaye yupo kwenye joto hukaa ndani ya masaa 72 (siku tatu)...
1 Reactions
0 Replies
424 Views
Kama ushawahi kujiuliza kwamba kuku mmoja anakula kiasi gani akiwa na umri gani,basi Fuga app itakupa majibu yote kuhusu ratiba ya chakula,kila siku . Hautopoteza tena chakula wala kuwapunja tena...
1 Reactions
6 Replies
358 Views
Habari zenu wakuu. Naomba niende kwenye mada. Mim ni mkulima natokea Mpanda Katavi. Nimelima mwaka juzi zao la papai na kila mwaka wa mavuno hutokea hili tatizo la kuweka vidoti. Wakati papai...
3 Reactions
36 Replies
2K Views
Katika dunia ya leo yenye changamoto nyingi kwa wafugaji wadogo na wa kati wa kuku, Fuga App imekuja kama suluhisho la kiteknolojia linalobadilisha mchezo kabisa! Pakua Fuga App hawa : [ Fuga -...
0 Reactions
2 Replies
639 Views
Ma expert, hivi hiyo inawezekana au mpka nichimbe kisima au bwawa ndio nifuge Nina tank la 5000L nimewaza nifuge samaki humu
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Kwa wataalam naomba msaada nina Mtamba wangu Ana umri wa miezi 13 aliingia heat mara ya kwanza mwezi machi . Upi ni umri sahihi wa kumpandisha?
0 Reactions
5 Replies
394 Views
Fuga App SASA IPO LIVE!!! 💚Simamia ufugaji kwa urahisi, weledi, na faida zaidi. 🐔 👉 Pakua sasa kutoka playstore : Fuga - Apps on Google Play
0 Reactions
2 Replies
305 Views
Habari za muda huu wafugaji, natumaini wote ni wazima wa afya .Leo napenda kutoa elimu juu ya aina Bora za mbegu kwenye shamba lako la mifugo. ✅ AINA YA MBEGU ZA NGURUWE; --- 🐖 1. Duroc Rangi...
0 Reactions
0 Replies
772 Views
SERA YA KILIMO BORA CHA PARACHICHI MBUNGE RUHORO AIWASILISHA BUNGENI. BUNGENI - DODOMA 11/06/2025. Mhe. Ndaisaba G Ruhoro Mbunge wa Ngara ameiuliza Wizara ya kilimo kuhusu mkakati bora wa...
1 Reactions
2 Replies
386 Views
Habari wafugaji natumaini wote ni wazima wa afya napenda kutoa somo zuri sana kuhusiana na utoaji wa chanjo kwa magonjwa hatari kwa mifugo yako. Kuna aina nyingi za chanjo ambazo tunawapatia...
0 Reactions
2 Replies
419 Views
Fanikisha ndoto yako ya ujasiriamali.Kwa kujipatia ujuzi mwenyewe kupitia simu janja yako.Kwa kujisomea vitabu vya kwenye makundi yafuatayo; #UfugajiWaKuku #KuleaVifaranga #ChakulaChaKuku...
0 Reactions
3 Replies
261 Views
Baada ya muda wa kuzungumza na wafugaji, kusikiliza changamoto zao na kujifunza kutoka kwao hatimaye Fuga App ipo hewani kwenye Play Store! 🐔📱 Tunashukuru kwa moyo mmoja kwa usaidizi wenu kwa...
1 Reactions
7 Replies
380 Views
Kitu kimoja kidogo cha kuondoa kwenye kichwa chako. Kama umewahi kufuga kuku unajua jinsi ilivyo rahisi kusahau chanjo inayofuata ni lini… na chanjo gani hasa. Maisha yamekuwa ya haraka sana, na...
1 Reactions
3 Replies
247 Views
👉Habari za muda huu wafugaji, natumaini nyote ni wazima .napenda kuwaletea huduma bora kwa mifugo yako; ✅ Huduma Bora kwa Mifugo: 1. Utoaji wa Dawa za Minyoo (Deworming): - Kuzuia na kutibu...
3 Reactions
6 Replies
434 Views
Wajasilimali wenzangu msije mkasema sijawaambia,iko hivi kama una shamba karibu na Dar,maana ya Mkuranga, Bagamoyo nk fikiria mradi huu unalipa.Nimeiba idea hii kwa jirani yangu kupitia meneja...
9 Reactions
31 Replies
9K Views
Serikali ya Tanzania imekuwa ikitekeleza mfumo wa kuuza mazao ya wakulima kupitia minada ya kiserikali kwa lengo la kudhibiti bei na kuleta uwazi katika biashara ya mazao. Hata hivyo, mfumo huu...
1 Reactions
0 Replies
427 Views
DKT. ASHATU KIJAJI: ANZENI KUZALISHA KWA WINGI BIDHAA ZINAZOTOKANA NA MIGOMBA Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dkt. Ashatu Kijaji, ameishauri Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) kuongeza...
2 Reactions
2 Replies
390 Views
(full Automatic egg incubator). ■INAUWEZO WA KUBEBA MAYAI 120. ● Mashine hii inatumia solar/umeme pamoja na betri ●Ukiwa na solar ya watts 60 hadi 80 unaweza tumia pasipo kuwa na invetor...
3 Reactions
6 Replies
850 Views
Back
Top Bottom