Habari wafugaji natumaini wote ni wazima Leo nimekuja na kitu kipya kabisa kuhusu kubaki kwa kondo la uzazi kwa mifugo wako.
👉Kondo la uzazi ni kiungo kinachounganisha ndama na mfuko wa mimba ili...
Habari za muda huu natumaini wote ni wazima,Leo nitaenda kutoa elimu ya kujua Kama nguruwe wako yupo kwenye joto.
👉Note. Nguruwe ambaye yupo kwenye joto hukaa ndani ya masaa 72 (siku tatu)...
Kama ushawahi kujiuliza kwamba kuku mmoja anakula kiasi gani akiwa na umri gani,basi Fuga app itakupa majibu yote kuhusu ratiba ya chakula,kila siku . Hautopoteza tena chakula wala kuwapunja tena...
Habari zenu wakuu. Naomba niende kwenye mada. Mim ni mkulima natokea Mpanda Katavi. Nimelima mwaka juzi zao la papai na kila mwaka wa mavuno hutokea hili tatizo la kuweka vidoti. Wakati papai...
Katika dunia ya leo yenye changamoto nyingi kwa wafugaji wadogo na wa kati wa kuku, Fuga App imekuja kama suluhisho la kiteknolojia linalobadilisha mchezo kabisa!
Pakua Fuga App hawa : [ Fuga -...
Habari za muda huu wafugaji, natumaini wote ni wazima wa afya .Leo napenda kutoa elimu juu ya aina Bora za mbegu kwenye shamba lako la mifugo.
✅ AINA YA MBEGU ZA NGURUWE;
---
🐖 1. Duroc
Rangi...
SERA YA KILIMO BORA CHA PARACHICHI MBUNGE RUHORO AIWASILISHA BUNGENI.
BUNGENI - DODOMA
11/06/2025.
Mhe. Ndaisaba G Ruhoro Mbunge wa Ngara ameiuliza Wizara ya kilimo kuhusu mkakati bora wa...
Habari wafugaji natumaini wote ni wazima wa afya napenda kutoa somo zuri sana kuhusiana na utoaji wa chanjo kwa magonjwa hatari kwa mifugo yako.
Kuna aina nyingi za chanjo ambazo tunawapatia...
Fanikisha ndoto yako ya ujasiriamali.Kwa kujipatia ujuzi mwenyewe kupitia simu janja yako.Kwa kujisomea vitabu vya kwenye makundi yafuatayo;
#UfugajiWaKuku
#KuleaVifaranga
#ChakulaChaKuku...
Baada ya muda wa kuzungumza na wafugaji, kusikiliza changamoto zao na kujifunza kutoka kwao hatimaye Fuga App ipo hewani kwenye Play Store! 🐔📱
Tunashukuru kwa moyo mmoja kwa usaidizi wenu kwa...
Kitu kimoja kidogo cha kuondoa kwenye kichwa chako.
Kama umewahi kufuga kuku unajua jinsi ilivyo rahisi kusahau chanjo inayofuata ni lini… na chanjo gani hasa.
Maisha yamekuwa ya haraka sana, na...
👉Habari za muda huu wafugaji, natumaini nyote ni wazima .napenda kuwaletea huduma bora kwa mifugo yako;
✅ Huduma Bora kwa Mifugo:
1. Utoaji wa Dawa za Minyoo (Deworming):
- Kuzuia na kutibu...
Wajasilimali wenzangu msije mkasema sijawaambia,iko hivi kama una shamba karibu na Dar,maana ya Mkuranga, Bagamoyo nk fikiria mradi huu unalipa.Nimeiba idea hii kwa jirani yangu kupitia meneja...
Serikali ya Tanzania imekuwa ikitekeleza mfumo wa kuuza mazao ya wakulima kupitia minada ya kiserikali kwa lengo la kudhibiti bei na kuleta uwazi katika biashara ya mazao. Hata hivyo, mfumo huu...
DKT. ASHATU KIJAJI: ANZENI KUZALISHA KWA WINGI BIDHAA ZINAZOTOKANA NA MIGOMBA
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dkt. Ashatu Kijaji, ameishauri Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) kuongeza...
(full Automatic egg incubator).
■INAUWEZO WA KUBEBA MAYAI 120.
● Mashine hii inatumia solar/umeme pamoja na betri
●Ukiwa na solar ya watts 60 hadi 80 unaweza tumia pasipo kuwa na invetor...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.