Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wanao faidika na wingi wa Hoteli za kitalii au Camps hapa Tanzania au wingi wa watalii ni foregners, na sio sisi Watanzania. Sababu iko wazi. Kule Iringa kuna yule Mafisio, yule Mzungu anailisha...
11 Reactions
33 Replies
2K Views
Baada ya kukaa muda mrefu bila kujihusisha na ufugaji wa aina yoyote, kuacha mbwa mmoja ambae namfuga kwaajili ya ulinzi, mwaka jana, 2024 mwezi wa kumi mwanzoni, niliamua kuanza ufugaji wa...
7 Reactions
47 Replies
3K Views
Wataalam hebu niambieni hicho kitu kipo au Ndio namna nyingine ya utapeli? San Mushroom Farm was established in 2013 and is one of the leading agricultural technology companies in Tanzania...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
WALENGWA WA MFUKO WA PEMBEJEO 1. Wakulima Binafsi 2. Vikundi 3. Kampuni zilizo sajiriwa 4. Vyama vya ushirika 5. Taasisi za fedha zinazotoa mikopo ya kilimo. AINA ZA MIKOPO A. MKULIMA NAFUU...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Jambo hili nimekuwa nikiulizwa sana na watu wengi iwapo mtu anaweza kufuga Nyuki wanaoudunga mwiba, (wengi wamezowea kusema Nyuki wanaouma) nyumbani, jibu lake ni ndiyo inawezekana. Kivipi, hapa...
3 Reactions
26 Replies
4K Views
Wakuu husikia kichwa habari hapo juu nilikuwa naomba muongozo wa ufugaji kuku wa mayai. Idadi kuku mia tano wa mayai bajeti yake ipoje hadi kutaga wazoefu nipe msaada.
1 Reactions
39 Replies
13K Views
Habari wafugaji! Napenda kuwashukur kupata nafasi kwa muda huu .binafsi Mimi ni daktari gilliard najihusisha na masuala yote ya wanyama Yani mifugo. Leo napenda kuwaletea juu ya upandishaji kwa...
2 Reactions
13 Replies
931 Views
https://youtu.be/Kf2DhWBoXUA Katika mazingira ambayo wengi huamini kuwa "ufugaji wa kisasa ni kwa matajiri," Mzee Hashimu – afisa mstaafu kutoka Mwanza – anathibitisha kinyume chake. Akiwa na...
2 Reactions
3 Replies
860 Views
Habari Wakuu, Nipo mbele yenu kujibu maswali yenu mbalimbali kuhusiana na tiba na ushauri wa magonjwa yanayosumbumbua mifugo yetu mbalimbali na hivyo kupelekea uzalishaji kupungua. Na pia kwa...
40 Reactions
661 Replies
230K Views
❌ Usianze Ufugaji Kabla Hujajua Kuku Wangapi Unafuga na Gharama Zake.Ukipuuzia Itakugharimu 💸Zaidi Kuliko Unavyofikiria Nakumbuka nilivyoanza niliweka lengo la kufuga kuku kwa miezi mitatu yaani...
2 Reactions
0 Replies
430 Views
Habari Wana jf samahani nilikua naulizia bei ya mchele kwa Sasa na bei ya kukodisha mashamba pia ya kulima
0 Reactions
0 Replies
428 Views
Naombeni kwa anaejua ni kipi bora kati ya ufugaji wa kondoo na ng'ombe wa kienyeji kwa maeneo ya Kahama shinyanga. Yani kipi kinaweza kuwa kinalipa kwa uharaka kuzidi kingine? Ahsante naomba...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Wakuu nipeni ushauri. Wilaya gani mkoa wa Mwanza inatoa mpunga wa uhakika na maeneo mazuri kwa ajili ya kilimo cha mpunga. Soma pia: 60% ya mazao ya Afrika ni Ngano, Mahindi na Mpunga, japo kuna...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari , Kwa yeyote anaeweza ku supply au unamfahamu mtu mwenye uwezo wa ku supply mahindi kwa quantity kwanzia 10tons mpaka 2,000tons kwa mwezi,naomba anicheki inbox tu link up,tufanye biashara...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari za muda? Kwa yeyote anayefahamu wanapouza vifaranga vya sasso vya miezi miwili au mmoja ndani ya Dodoma anifahamishe, au mwenye contact za mtu yeyote wa aliyepo Dodoma anayeuza anipatie...
0 Reactions
1 Replies
459 Views
Kama una ishi miji mikubwa kama Dar, Mwanza, Arusha, Dodoma, Morogoro, Mbeya, Moshi na kadhalika basi wekeza kwenye kufuga kuku wa Kisasa wa Mayai na kuku wa Nyama yaani Broiler. Mijini hakuna...
84 Reactions
209 Replies
32K Views
Nataka nianzishe biashara ya samaki kutoka kanda ya ziwa kuja Arusha na Kilimanjaro, naomba msaada wa njia za kusafirisha samaki bila kuharibika kwani mtaji wangu ni mdogo bado sijaweza kumiliki...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
https://youtu.be/2w3zUtsShD0 Leo nilikaa nikawaza kitu kimoja… Kwa nini wafugaji wachache sana wanafanikiwa kweli, ilhali nguruwe ni mnyama mwenye uwezo mkubwa sana wa kutajirisha? 🤔🐖 Hebu...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Nahitaji shamba kwaajili ya ufugaji
1 Reactions
6 Replies
732 Views
Nimeanza na ufugaji wa kuku aina ya kloiler, ninao 40, wa size tofauti tofauti. Sasa hii business nataka iwe ajira yangu, Swali linakuja: Je, nifanyaje, hii biashara iweze kunipa mafanikio ya...
1 Reactions
29 Replies
10K Views
Back
Top Bottom