Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Mwaka 2023 nilipoanza kufuga kuku, kuna swali moja lililokuwa linanisumbua sana nitumie mkaa au umeme kuwapatia joto vifaranga? Mwanzoni nilidhani ni changamoto yangu binafsi. Lakini nilivyoanza...
3 Reactions
0 Replies
702 Views
Ndugu zanguni naombeni msaada wenu tafadhali. Kilimo cha matango gharama zake zipoje, kuanzia hatua ya kwanza mpaka hatua ya mwisho kwa ekari moja tu. Ukiachana na gharama za kukodi shamba kwani...
2 Reactions
75 Replies
59K Views
1. Afya ya udongo ni nini? Afya ya udongo ni uwezo wa udongo kukidhi mahitaji ya ukuaji na uzalishaji wa mimea kama vile: virutubisho, maji, hewa pamoja na uwezo wa udongo kushikilia mmea 2.0...
4 Reactions
7 Replies
4K Views
Itaonekana ni jambo la ajabu kuwashauri kobazi kufuga nguruwe lakini ushauri huo umetolewa na Sheikh Abubakari Mwaibabile wa msikiti wa Sabasaba katika kitongoji cha Holemela,Mbarali Mbeya.Wakati...
46 Reactions
207 Replies
6K Views
⚖️Uzito ni Msingi wa Mafanikio Katika Ufugaji wa Kuku wa Mayai! Kwa muda sasa tumekuwa tukitembelea wafugaji wa kuku wa mayai katika mikoa mbalimbali hapa nchini. Kitu cha kushangaza (lakini cha...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
KUKU NI WA KIENYEJI NIKO KANDA YA ZIWA. Sio vibaya pia tukapatiana hints za ufugaji. Karibuni
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Habari wafugaji natumaini wote ni wazima wa afya,Leo napenda kuwaletea huduma bora kwa mifugo yako ambayo husaidia kuongeza uzalishaji kwenye shamba lako la mifugo. 🔴HUDUMA ZINAZOTOLEWA: ✅...
2 Reactions
19 Replies
955 Views
--- 🐖📌 ELIMU KWA WAFUGAJI Dalili za Nguruwe Anayeumwa --- 🔍 Unajuaje kama nguruwe anaumwa? Fuatilia dalili zifuatazo mara kwa mara: 1. 🍽️ Kukosa hamu ya kula 2. 😴 Kulala sana au kupoteza...
1 Reactions
10 Replies
596 Views
Kilimo hai endelevu Kilimo hai – kilimo kisichotumia kemikali za viwandani kama vile mbolea na dawa za kuua wadudu; hutegemea mbinu za asili. Endelevu – kilimo kinacholinda mazingira, kuendeleza...
1 Reactions
3 Replies
348 Views
nimemfanyia physicl assessment nimepata ivi Kazubaaa Hali chakula Anasingiasingia Anajitenga na kuku wengi Manyonya kuvurugika Mabawa yake yanalegea Msaada wa kitaalamu kuhusu tiba yake hasa tiba...
1 Reactions
2 Replies
287 Views
Salamu, Wapendwa nahitaji kujua mashine ya kupandia mahindi zinapopatikana na gaharama yake. Nipo Dar es salamu muda huu. Nia na madhumuni yangu ni kuepuka hasara kubwa niliyoipata mawaka huu wa...
4 Reactions
22 Replies
4K Views
ELIMU KWA WAFUGAJI Jinsi ya Kumjua mifugo wako Aliyeshika Mimba. Dalili za Mimba kwa mifugo Haoneshi dalili za joto – Hasimami kwa dume baada ya kupandwa Matiti huongezeka taratibu – Hujiandaa...
0 Reactions
0 Replies
235 Views
--- 🐄📌 ELIMU KWA WAFUGAJI 🚫 Sababu Zinazofanya Mifugo Kutoshika Mimba --- 🔍 Kwa nini mnyama hapatwi mimba? Zifuatazo ni sababu kuu zinazochangia mifugo kushindwa kushika mimba: --- ❌...
0 Reactions
0 Replies
211 Views
Faida za Kukata Pembe kwa Ng’ombe (Dehorning):* --- 🐄📌 ELIMU KWA WAFUGAJI ✂️ Faida za Kukata Pembe kwa Ng’ombe (Dehorning) --- 🔍 Dehorning ni nini? Ni zoezi la kuondoa pembe za ndama au...
2 Reactions
2 Replies
588 Views
--- 🐄📌 ELIMU KWA WAFUGAJI Ugonjwa wa Anaplasmosis (Ndigana Baridi) kwa Ng’ombe --- 🔍 Utangulizi: Anaplasmosis ni ugonjwa hatari unaosababishwa na vimelea vinavyoenezwa na kupe. Husababisha...
2 Reactions
4 Replies
731 Views
AZOLLA MKOMBOZI KWA WAJASIRIAMALI – KILIMO NA UFUGAJI Ndugu Mjasiriamali Mfugaji / mkulima popote pale ulipo, jifunze jinsi ya kuzalisha azolla kwa chakula cha mifugo mbalimbali na matumizi...
2 Reactions
28 Replies
17K Views
Kama unashughulika na kilimo na unapata changamoto ya gharama za kunuanua virutubisho vya mimie shambani kwako huu hapa muongozo. Hapa kuna mwongozo wa kutengeneza Super Glow na Booster...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
--- 🐄📢 Elimu Muhimu kwa Wafugaji – Changamoto & Suluhisho! --- Mambo Yanayowakumba Wafugaji: Je, unakumbana na matatizo ya maambukizi, uzalishaji mdogo, au magonjwa ya mifugo? Je, unahisi...
3 Reactions
2 Replies
277 Views
--- 🐖📌 ELIMU KWA WAFUGAJI Ugonjwa wa Homa ya Mapafu kwa Nguruwe (Swine Pneumonia) --- 🔍 Ugonjwa huu ni nini? Ni maradhi yanayoathiri mfumo wa upumuaji wa nguruwe. Husababisha shida ya...
0 Reactions
0 Replies
226 Views
Kwa wadau wa kilimo hasa kilimo Cha mpunga Kwa mikoa ile maarufu Kwa uzarishaji wa mpungu ushindani umekua mkubwa , wakulima wamekua wengi na aridhi ndogo ivyo inapelekea mashamba kupatikana Kwa...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Back
Top Bottom