Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

KUKU NI WA KIENYEJI NIKO KANDA YA ZIWA. Sio vibaya pia tukapatiana hints za ufugaji. Karibuni
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Habari wafugaji natumaini wote ni wazima wa afya,Leo napenda kuwaletea huduma bora kwa mifugo yako ambayo husaidia kuongeza uzalishaji kwenye shamba lako la mifugo. 🔴HUDUMA ZINAZOTOLEWA: ✅...
2 Reactions
19 Replies
973 Views
--- 🐖📌 ELIMU KWA WAFUGAJI Dalili za Nguruwe Anayeumwa --- 🔍 Unajuaje kama nguruwe anaumwa? Fuatilia dalili zifuatazo mara kwa mara: 1. 🍽️ Kukosa hamu ya kula 2. 😴 Kulala sana au kupoteza...
1 Reactions
10 Replies
605 Views
Kilimo hai endelevu Kilimo hai – kilimo kisichotumia kemikali za viwandani kama vile mbolea na dawa za kuua wadudu; hutegemea mbinu za asili. Endelevu – kilimo kinacholinda mazingira, kuendeleza...
1 Reactions
3 Replies
358 Views
nimemfanyia physicl assessment nimepata ivi Kazubaaa Hali chakula Anasingiasingia Anajitenga na kuku wengi Manyonya kuvurugika Mabawa yake yanalegea Msaada wa kitaalamu kuhusu tiba yake hasa tiba...
1 Reactions
2 Replies
292 Views
Salamu, Wapendwa nahitaji kujua mashine ya kupandia mahindi zinapopatikana na gaharama yake. Nipo Dar es salamu muda huu. Nia na madhumuni yangu ni kuepuka hasara kubwa niliyoipata mawaka huu wa...
4 Reactions
22 Replies
4K Views
ELIMU KWA WAFUGAJI Jinsi ya Kumjua mifugo wako Aliyeshika Mimba. Dalili za Mimba kwa mifugo Haoneshi dalili za joto – Hasimami kwa dume baada ya kupandwa Matiti huongezeka taratibu – Hujiandaa...
0 Reactions
0 Replies
238 Views
--- 🐄📌 ELIMU KWA WAFUGAJI 🚫 Sababu Zinazofanya Mifugo Kutoshika Mimba --- 🔍 Kwa nini mnyama hapatwi mimba? Zifuatazo ni sababu kuu zinazochangia mifugo kushindwa kushika mimba: --- ❌...
0 Reactions
0 Replies
213 Views
Faida za Kukata Pembe kwa Ng’ombe (Dehorning):* --- 🐄📌 ELIMU KWA WAFUGAJI ✂️ Faida za Kukata Pembe kwa Ng’ombe (Dehorning) --- 🔍 Dehorning ni nini? Ni zoezi la kuondoa pembe za ndama au...
2 Reactions
2 Replies
596 Views
--- 🐄📌 ELIMU KWA WAFUGAJI Ugonjwa wa Anaplasmosis (Ndigana Baridi) kwa Ng’ombe --- 🔍 Utangulizi: Anaplasmosis ni ugonjwa hatari unaosababishwa na vimelea vinavyoenezwa na kupe. Husababisha...
2 Reactions
4 Replies
752 Views
AZOLLA MKOMBOZI KWA WAJASIRIAMALI – KILIMO NA UFUGAJI Ndugu Mjasiriamali Mfugaji / mkulima popote pale ulipo, jifunze jinsi ya kuzalisha azolla kwa chakula cha mifugo mbalimbali na matumizi...
2 Reactions
28 Replies
17K Views
Kama unashughulika na kilimo na unapata changamoto ya gharama za kunuanua virutubisho vya mimie shambani kwako huu hapa muongozo. Hapa kuna mwongozo wa kutengeneza Super Glow na Booster...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
--- 🐄📢 Elimu Muhimu kwa Wafugaji – Changamoto & Suluhisho! --- Mambo Yanayowakumba Wafugaji: Je, unakumbana na matatizo ya maambukizi, uzalishaji mdogo, au magonjwa ya mifugo? Je, unahisi...
3 Reactions
2 Replies
281 Views
--- 🐖📌 ELIMU KWA WAFUGAJI Ugonjwa wa Homa ya Mapafu kwa Nguruwe (Swine Pneumonia) --- 🔍 Ugonjwa huu ni nini? Ni maradhi yanayoathiri mfumo wa upumuaji wa nguruwe. Husababisha shida ya...
0 Reactions
0 Replies
230 Views
Kwa wadau wa kilimo hasa kilimo Cha mpunga Kwa mikoa ile maarufu Kwa uzarishaji wa mpungu ushindani umekua mkubwa , wakulima wamekua wengi na aridhi ndogo ivyo inapelekea mashamba kupatikana Kwa...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Leo nilijisikia kutengeneza popcorn ili weekend iende vizuri, nikajivuta sokoni hapa Dar. Kwenye maduka ya nafaka. Naulizia mahindi ya popcorn naambiwa kilo moja 3500. Wananiambia mahindi ya...
7 Reactions
62 Replies
11K Views
Heshima kwenu, natamani kupima shamba langu kwa kutumia app, maana nimeshindwa kuligawa ili nilioime kwa futi kamba, anae ijua anijuze
1 Reactions
14 Replies
886 Views
Wanabodi, Natafuta agricultural lime au kwa Kiswahili Chokaa mazao. Nitaipata wapi. Niko Dar es Salaam.
3 Reactions
41 Replies
9K Views
Kwa wale wafugaji wenzetu wa mfugo ndege aina ya Kuku hasa wa kienyeji ninaowafuga mimi huu uzi special tujadili matukio ya kushangaza na hata kufunja rekodi ila basi tu hatuyatangazi.. Mimi...
8 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakulima debe la mpunga hutoa kilo ngapi za mchele? Apa nilipo debe la mpunga ni 15,000 nataka kujua hutoa kilo ngapi ili nijue gharama ipo wapi, mchele dukani kilo ni 2,400-2,600
2 Reactions
42 Replies
3K Views
Back
Top Bottom