Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wajasilimali wenzangu msije mkasema sijawaambia,iko hivi kama una shamba karibu na Dar,maana ya Mkuranga, Bagamoyo nk fikiria mradi huu unalipa.Nimeiba idea hii kwa jirani yangu kupitia meneja...
9 Reactions
31 Replies
9K Views
Serikali ya Tanzania imekuwa ikitekeleza mfumo wa kuuza mazao ya wakulima kupitia minada ya kiserikali kwa lengo la kudhibiti bei na kuleta uwazi katika biashara ya mazao. Hata hivyo, mfumo huu...
1 Reactions
0 Replies
459 Views
DKT. ASHATU KIJAJI: ANZENI KUZALISHA KWA WINGI BIDHAA ZINAZOTOKANA NA MIGOMBA Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dkt. Ashatu Kijaji, ameishauri Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) kuongeza...
2 Reactions
2 Replies
408 Views
(full Automatic egg incubator). ■INAUWEZO WA KUBEBA MAYAI 120. ● Mashine hii inatumia solar/umeme pamoja na betri ●Ukiwa na solar ya watts 60 hadi 80 unaweza tumia pasipo kuwa na invetor...
3 Reactions
6 Replies
901 Views
Kabla hatujaanza kutengeneza Fuga, tulizungumza sana na wateja wetu, tukijitahidi kuelewa changamoto zao na kujibu maswali ya kila siku wanayokutana nayo katika shughuli zao za ufugaji wa kuku...
2 Reactions
12 Replies
550 Views
Simamia shamba lako la kuku kwa urahisi na kisasa kwa kutumia Fuga app itakayokusaidia kutunza kumbukumbu kiurahisi ,kupunguza matumizi yako na kupata faida zaidi kwa kupata ; Ratiba Maalum za...
2 Reactions
9 Replies
684 Views
Nini maana ya Incubator ya mayai? Eggs incubator? Ni jinsi gani ya kuitumia Incubator kuyapa joto mayai? Ni kitu gani nifanye kabla ya kuweka mayai ndani ya incubator? Nini kitatokea nisipogeuza...
2 Reactions
6 Replies
5K Views
Habar wakuu, katika kazi yangu ya uuzaji wa bucha(nyama) nimekutana na haya mawe yenye rangi ya dhahabu nilipo pasua figo ya ng'ombe, binafs nimeshiewa kuelewa kuwa ni gold kweli au nikitugani...
0 Reactions
10 Replies
868 Views
Kwa aliye tayari kunikodishia anitafute tupange biashara
1 Reactions
13 Replies
880 Views
Habari za kazi Nina mashine ya kubadilisha chakula cha mifugo cha ungaunga kuwa katika mfumo wa pellets ambazo ufanisi wake unajulikana katika ulishaji wa mifugo,pia huduma ya kuchanganya cha...
3 Reactions
46 Replies
2K Views
Wanao faidika na wingi wa Hoteli za kitalii au Camps hapa Tanzania au wingi wa watalii ni foregners, na sio sisi Watanzania. Sababu iko wazi. Kule Iringa kuna yule Mafisio, yule Mzungu anailisha...
11 Reactions
33 Replies
2K Views
Wataalam hebu niambieni hicho kitu kipo au Ndio namna nyingine ya utapeli? San Mushroom Farm was established in 2013 and is one of the leading agricultural technology companies in Tanzania...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
WALENGWA WA MFUKO WA PEMBEJEO 1. Wakulima Binafsi 2. Vikundi 3. Kampuni zilizo sajiriwa 4. Vyama vya ushirika 5. Taasisi za fedha zinazotoa mikopo ya kilimo. AINA ZA MIKOPO A. MKULIMA NAFUU...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Jambo hili nimekuwa nikiulizwa sana na watu wengi iwapo mtu anaweza kufuga Nyuki wanaoudunga mwiba, (wengi wamezowea kusema Nyuki wanaouma) nyumbani, jibu lake ni ndiyo inawezekana. Kivipi, hapa...
3 Reactions
26 Replies
4K Views
Wakuu husikia kichwa habari hapo juu nilikuwa naomba muongozo wa ufugaji kuku wa mayai. Idadi kuku mia tano wa mayai bajeti yake ipoje hadi kutaga wazoefu nipe msaada.
1 Reactions
39 Replies
13K Views
Habari wafugaji! Napenda kuwashukur kupata nafasi kwa muda huu .binafsi Mimi ni daktari gilliard najihusisha na masuala yote ya wanyama Yani mifugo. Leo napenda kuwaletea juu ya upandishaji kwa...
2 Reactions
13 Replies
984 Views
https://youtu.be/Kf2DhWBoXUA Katika mazingira ambayo wengi huamini kuwa "ufugaji wa kisasa ni kwa matajiri," Mzee Hashimu – afisa mstaafu kutoka Mwanza – anathibitisha kinyume chake. Akiwa na...
2 Reactions
3 Replies
921 Views
Habari Wakuu, Nipo mbele yenu kujibu maswali yenu mbalimbali kuhusiana na tiba na ushauri wa magonjwa yanayosumbumbua mifugo yetu mbalimbali na hivyo kupelekea uzalishaji kupungua. Na pia kwa...
40 Reactions
661 Replies
231K Views
❌ Usianze Ufugaji Kabla Hujajua Kuku Wangapi Unafuga na Gharama Zake.Ukipuuzia Itakugharimu 💸Zaidi Kuliko Unavyofikiria Nakumbuka nilivyoanza niliweka lengo la kufuga kuku kwa miezi mitatu yaani...
2 Reactions
0 Replies
459 Views
Habari Wana jf samahani nilikua naulizia bei ya mchele kwa Sasa na bei ya kukodisha mashamba pia ya kulima
0 Reactions
0 Replies
458 Views
Back
Top Bottom