Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Kumfanyia mbwa Castration (kumtoa mbegu) inasaidia mbwa kuwa mkali au ndio atakuwa mpole akiona mbwa wengi. Mwenye kujua na ambaye kashamuona mbwa mwenye kuasiwa anakuwaje? Msaada please
0 Reactions
30 Replies
15K Views
Nanunua ngozi mbichi za Mbuzi au Kondoo zilizotunzwa kwa kupakwa chumvi (Wet Salted) kuanzia ngozi 10,000 na kuendelea tafadhali tuwasiliane kwa simu namba 0659890000 au uni-PM. Ngozi zisiwe na...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wadau samahani, naomba kujua wapi au nani anaweza kujua kama kuna uhitaji wa ngozi za mbuzi, ninashehena ya kutosha sana, kama kuna mdau anajua lolote plz call 0652036191
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Ndugu wadau napenda kujifunza kutoka kwenu kwa wale wenye kujua vizuli kuhusu biashara ya ngozi na soko lake. Nataka kujua uitaji wake gharama ya manunuzi na gharama ya sokoni. Na je! soko kuu...
1 Reactions
2 Replies
6K Views
Habari wana jf, naombeni msaada, Nataka nlime kabichi mwezi wa febr, ila tatzo cna wenyeji wa kupata shamba nahtaji nus hecta ya kukodi. Maeneo ya kisarawe au chanika na pia hata mkoa wa morogoro...
0 Reactions
56 Replies
33K Views
Habari za leo ndugu zangu. Nahitaji eneo lenye miundombinu ya mabanda ya kufugia kuku nikodi/ nipange kwa maelewano na mwenye eneo husika. Likipatikana eneo lenye uzio nje ya Mji itapendeza...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari? Je Kati ya kampuni hizo naomba msaada ipi ni kampuni yenye vifaranga Bora vya kuku wanyama na mayai. Nataraji kuingia kwenye iyo biashara hivi karibuni. Asante
2 Reactions
9 Replies
11K Views
*Utangulizi* Kampuni ya *Kinasoru East Africa (T) Ltd* inakuletea semina kubwa na ya aina yake ya *Mkulima Tajiri.* *Mkulima Tajiri* ni mfululizo wa semina zinalenga kutoa elimu na mwamko mpya wa...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari za jioni wanajamvi. Naomba kwa yeyote mwenye ujuzi au anayejua namna ya ufugaji wa samaki. Upatikanaji wa mbegu, uchimbaji wa kisima, chakula, muda wa kuvuna toka kupanda na namna ya...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba msaada kuna mchwa wamejenga chumbani ambayo inahatarisha uhai wa nyumba ni nyumba ya matofari ya kuchoma Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
5 Replies
5K Views
Makundi ya Tembo yamevamia katika baadhi ya vijiji vya kata ya Lubungo wilayani Mvomero kijiji cha vianzi kitongoji cha Menge mkoani Morogoro na kuharibu mazao kwa mara nyingine tena. Mmoja wa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Baada ya mvua kuchekewa kunyesha, shamba nililokuwa nikilima mahindi nimeona bora nilime mbaazi. Lakini hiki kilimo kwa kweli sina uzoefu nacho. Nimeamua kulima mbaazi baada ya kugundua zina uwezo...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Utaelewa kwani nini Wakulima wengi wanapenda kulima nyanya kwenye green house na sio mazao mengine Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
0 Replies
2K Views
naona serikali ingeruhusu watu wafuge baadhi ya wanyama wa porini ingekuwa poa sana. aina za nyama zingeongezeka na kipato kuongezeka. tungeongeza pesa za kigeni maana tungekuwa tunatoa nyama...
4 Reactions
41 Replies
14K Views
Heri ya mwaka mpya wana JF. Kuna tatizo kubwa sana lipo mtaani hasa huko vijijini kwa wakulima na mijini kwa walaji wa mazao ya mbogamboga kama nyanya na matunda ya matikiti na matango. Tatizo...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Vyakula mbadala hasa wadudu ndo wanaaminika wanaweza saidia kupunguza balaa linalo nyemelea Dunia kwa sasa. Ninavyo zungumzia wadudu nazungum,ia Edible insect. Hawa ni wadudu wazuri kwa ajili ya...
1 Reactions
62 Replies
7K Views
Naomba nitoe ushuhuda kidogo. Mimi ni moja ya watu ambao najaribu kuwekeza kwenye kilimo ila naleta ushuhuda ili liwe somo kwa serikali na wananchi kwa ujumla. Maka jana nililima ekari 20 za...
5 Reactions
3 Replies
1K Views
Ajira zimekuwa ngumu sana,nahitaji vijana 10 wa jinsia tofauti tufanye kilimo cha mahindi,eneo nimeshapata ekari 50 kinachohitaji ni hao vijana 10 kwa ajili ya nguvu kazi ,kununua mbegu,mbolea na...
1 Reactions
33 Replies
6K Views
Habari za weekend wanajamvi. Wakuu naombeni ushauri wa mbegu bora ya nyanya ya kisasa inayostahimili wakati wa masika na bei yake. Naomba kuzijua mbegu zinazozaa vizuri wakati huo na...
1 Reactions
15 Replies
17K Views
Nilikuwa nauliza anayejua aina za dawa za - Kunywesha na sindano kwa ng'ombe - Mwenye minyoo Ambaye unampa kinga ya minyoo Aina ya minyoo inayoshambulia ng'ombe Majina ya dawa ikiwezekana na bei...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…