Nanunua ngozi za Mbuzi na Kondoo !!!

fardia

Member
Jan 16, 2012
41
6
Nanunua ngozi mbichi za Mbuzi au Kondoo zilizotunzwa kwa kupakwa chumvi (Wet Salted) kuanzia ngozi 10,000 na kuendelea tafadhali tuwasiliane kwa simu namba 0659890000 au uni-PM. Ngozi zisiwe na mikato (Cuts), mashimo (Holes) au kuharibika (Red Heat/Over stay). Asanteni.
 
Nanunua ngozi mbichi za Mbuzi au Kondoo zilizotunzwa kwa kupakwa chumvi (Wet Salted) kuanzia ngozi 10,000 na kuendelea tafadhali tuwasiliane kwa simu namba 0659890000 au uni-PM. Ngozi zisiwe na mikato (Cuts), mashimo (Holes) au kuharibika (Red Heat/Over stay). Asanteni.

Mkuu hiyo qunatity unayo itaka ni kubwa sana, na ukizingatia kwamba ni lazima mtu aunge unge kuzipata hizo ngozi na si dhani kama kuna kiwanda cha mbuzi huku,
 
Ni kweli mkuu. Nimejaribu kuongea na hao watu wapunguze hiyo minimum yao wamekataa. Kwani wanahitaji ngozi nyingi sana. Nikaona ngoja liilete kwa wanajamii huenda kuna mtu anaweza kufanikisha hilo.
 
Ni kweli mkuu. Nimejaribu kuongea na hao watu wapunguze hiyo minimum yao wamekataa. Kwani wanahitaji ngozi nyingi sana. Nikaona ngoja liilete kwa wanajamii huenda kuna mtu anaweza kufanikisha hilo.

Mkuu hichi kiwango si rahisi ukipate, na labuda zingekuwa kavu, kwa mbichi kuzipata ni vigumu sana,
 
Kwa kavu wanatoa bei mbaya sana, haifai kabisa. Ila nimeongea nao tena, wamesema kwa Dar es Salaam wanaweza kuchukua 5,000 lakini kwa mikoani inatakiwa ziwe 10,000 au zaidi kwani chini ya hapo usafiri utawakata.
 
Kwa kavu wanatoa bei mbaya sana, haifai kabisa. Ila nimeongea nao tena, wamesema kwa Dar es Salaam wanaweza kuchukua 5,000 lakini kwa mikoani inatakiwa ziwe 10,000 au zaidi kwani chini ya hapo usafiri utawakata.

Hao jamaa ni wageni hapa nchini? kwa ubora huo sio rahisi kupata kwa kiwango hicho. Mbuzi wengi wanafikishwa Dar wanakuwa na chapa za moto mbavuni,na wale wasio na chapa ni mpaka uende vijijini ndani huko. Ni zoezi gumu.
 
Kweli kabisa ndugu yangu Malila. Hata mimi niliona kuna ugumu fulani katika kufanikisha hilo. Ila kabla sijawapa jibu la mwisho kuwa imeshindikana nikaona bora nililete hili swala hapa jamvini yawezekana kuna watu wenye kuweza kufanikisha hilo. Ila kwa hali inavyoenda naona wanajamvi pia wameona ugumu bado upo. Ngoja nivute subira kidogo kabla sijawapa jibu kuwa imeshindikana.
 
Nanunua ngozi mbichi za Mbuzi au Kondoo zilizotunzwa kwa kupakwa chumvi (Wet Salted) kuanzia ngozi 10,000 na kuendelea tafadhali tuwasiliane kwa simu namba 0659890000 au uni-PM. Ngozi zisiwe na mikato (Cuts), mashimo (Holes) au kuharibika (Red Heat/Over stay). Asanteni.
wananunua kwa bei gani ???
 
Kati ya 1,500 hadi 2,500 kutegemea na ubora wa ngozi zako. Na mzigo tunaufata mahali popote ulipo Tanzania.
 
Nanunua ngozi mbichi za Mbuzi au Kondoo zilizotunzwa kwa kupakwa chumvi (Wet Salted) kuanzia ngozi 10,000 na kuendelea tafadhali tuwasiliane kwa simu namba 0659890000 au uni-PM. Ngozi zisiwe na mikato (Cuts), mashimo (Holes) au kuharibika (Red Heat/Over stay). Asanteni.
hivi ukiwaunaenda machinjioni uwezi pata kama pugu vile na mchinjie mengine huko dar.mngekua arusha tungejua jinsi ya kuzipata
 
Back
Top Bottom