Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
naona serikali ingeruhusu watu wafuge baadhi ya wanyama wa porini ingekuwa poa sana. aina za nyama zingeongezeka na kipato kuongezeka. tungeongeza pesa za kigeni maana tungekuwa tunatoa nyama unique.
naomba serikali ifikirie na kuandaa mpango ili watu tuweze kufuga swala, nyumbu, kongoni, digidigi nk.
naomba serikali ifikirie na kuandaa mpango ili watu tuweze kufuga swala, nyumbu, kongoni, digidigi nk.