Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari wakuu naomba mnijuze kama kuna web browser iliyo na speed na yenye extension nyingi kushinda google chrome nataka nijaribu browser mpya maana hii chrome nimetumia miaka mingi sasa japo iko...
0 Reactions
70 Replies
8K Views
Jamani habar humu ndani...natafuta housing ya laptop aina ya fujitsu lifebook S6520...mwenye nayo ani pm tafadhali
0 Reactions
0 Replies
766 Views
Habar za hap wapendwa...naomben msaada wenu jf Nina cm ya tecno W3 imegoma kutuma na kupokea WhatsApp msg ,nikitaka kutuma inasema connect to the internet wakat data ziko on...nimejaribu ku...
0 Reactions
6 Replies
937 Views
Habari wana jamvi mwenzenu ninapata wakati mgumu sana kuelewa tatizo la simu yangu. Picha nikipiga zinapigwa vizuri lkn baadae ukirudi kuziangalia unakuta zina marangirangi ya blue ama...
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Anayeweza ku connect free internet kwa Android
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Wakuu nipo sehemu flan umeme haujafika so tunatumia solar. Na kuna kampuni kadhaa za solar zinazotoa huduma hii kwa malipo ya kila siku. Hii inakuwa kama wanakukopesha mtambo wa solar mf mobisol...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Naomba sana wandugu,nimebadilisha simu toka techno kwenda samsung, ,sasa kila nikijaribu kuinstall watsapp inakataa kuitambua namba yangu ya airtel ila ya tigo inkubali,,nimapoenda kwenye option...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wapendwa. Hope mko salama kabisa. Nahitaji kufunga security cameras ofisini kwangu. Naombeni mnishauri zinapatikana wapi? Aina gani ni nzuri na bei yake. Nahitaji camera 3 moja iwe night...
0 Reactions
4 Replies
753 Views
Kwa mara nyingine tena, nimeona nimalize kiu na utata uliokuwa ukinisumbua kwenye kichwa changu kwa muda mrefu. Mada mezani ni kati ya Bmw 5Series 2007 na Toyota Crown Athlete 2008, ishu imekuja...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Habarini wandugu, mimi na rafikiyangu wote ni watu wa information technology I.T tuna lengo lakuanzisha mobile application itakayo wawezesha watumiaji wa simu kutuma,kupokea na kutoa fedha bira...
1 Reactions
3 Replies
775 Views
naomba kufahamu kati ya solar panel ya pro solar na oceanic ipi bora iwe mono au poly?
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Researchers at the Wellcome Trust Sanger Institute in Cambridge found that our genes and those of the gorilla are 98 per cent identical, although we share around 99 per cent of our make-up with...
0 Reactions
1 Replies
812 Views
FBI baada ya kuhangaika wee mwishoe walifanikiwa kufungua iphone 5c ya seyyed farook, sasa apple leo hii wame-update ios kuziba mianya. hivyo FBI wakitaka kufungua tena itabidi watumie janja nyingine.
2 Reactions
82 Replies
12K Views
Ninatumia window 8.1 lakini PC yangu inashindwa kusoma media transfer nikichomeka USB ilhali vitu vyote vingine ina respond kama vile kucharge,camera lakini nikibonyeza sehemu ya media transfer...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari want jf, natumaini Nyote mpo poa, naomba msaada wa kuweza kupakua kila program nikitaka kupakua nitumie search engine ipi nikihitaji program kwa kutumia PC
0 Reactions
3 Replies
787 Views
Naomben msaada wen viongoz Nina box LA miracle ila sifaham nine watu wanovyo kunect na visim vidogo vya batan naomben mnisaidie viongoz juu ya hili tatizo lang
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wakuu kuna mtu anae jua taasisi yeyote yenye super computer tofauti na DIT anifahamishe......
0 Reactions
4 Replies
4K Views
DESKTOP COMPUTER YENYE kuanzia CORE i3 au i5 inahitajika, isiwe na tatizo lolote,kama unauza nicheck inbox tufanye biashara.
0 Reactions
4 Replies
694 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…