Wameshapata walichokuwa wanakitafuta. By the way FBI walisaidiwa na kampuni moja ya Israel. Nasikia hao jamaa hawashindwi kitu.View attachment 334071
FBI baada ya kuhangaika wee mwishoe walifanikiwa kufungua iphone 5c ya seyyed farook, sasa apple leo hii wame-update ios kuziba mianya. hivyo FBI wakitaka kufungua tena itabidi watumie janja nyingine.
Marekani kama wana haki za binadamu wamuachie Triupm waone mZiki wake manake jamaa anakuja kwa kasi balaaHii ingetokea Tanzania ungesikia marekani wakisema hamna haki za binadamu.
We mtoto wewe .. Toa herufi ya 'n' kwenye jina lako weka 'mb' 10 za kifurushi cha xtremFBI hawashindwi kitu wataweza tuu
Hivi unajua kuwa mpaka leo Marekani wanawake bado wanalipwa mishahara ya chini sana kulinganisha na wanaume hata kama wanafanya kazi ile ile moja? Wacheza soka wa kike wameamua kwenda mahakamani kudai malipo sawa (tazama picha hapo chini kuona tofauti za malipo). Imagine kinchi masikini kama hiki chetu wanachokipa misaada ndo kingekuwa na ubaguzi huu wa wazi. Tungekosa misaada bila shaka. Jamaa wabaguzi sana na ukiwabinya tu wakakosa wanachokitafuta basi wanatafuta visingizio. Hypocrites!Hii ingetokea Tanzania ungesikia marekani wakisema hamna haki za binadamu.
wamarekani wapo sawa kabisa mkuu mwanamke hatakiwi kupata pesa mingi hasa hawa wetu wa kibongo mwanamke akikuzidi kipato ni shida...Hivi unajua kuwa mpaka leo Marekani wanawake bado wanalipwa mishahara ya chini sana kulinganisha na wanaume hata kama wanafanya kazi ile ile moja? Wacheza soka wa kike wameamua kwenda mahakamani kudai malipo sawa (tazama picha hapo chini kuona tofauti za malipo). Imagine kinchi masikini kama hiki chetu wanachokipa misaada ndo kingekuwa na ubaguzi huu wa wazi. Tungekosa misaada bila shaka. Jamaa wabaguzi sana na ukiwabinya tu wakakosa wanachokitafuta basi wanatafuta visingizio. Hypocrites!
![]()
Kabisa mkuu..ungesikia ukiukwaji wa haki za binadamuHii ingetokea Tanzania ungesikia marekani wakisema hamna haki za binadamu.
Uzee huu nahitaji miwani Ya kusomeaMarekani kama wana hakinza binadu wamuavhie Triupm waone mZiki wake manake jamaa anakuja kwa kasi balaa
Kaka Simu mpya kaka iphone SE.Uzee huu nahitaji miwani Ya kusomea
bora hao wanalipwa hivi Twiga stars wanapewa posho??Hivi unajua kuwa mpaka leo Marekani wanawake bado wanalipwa mishahara ya chini sana kulinganisha na wanaume hata kama wanafanya kazi ile ile moja? Wacheza soka wa kike wameamua kwenda mahakamani kudai malipo sawa (tazama picha hapo chini kuona tofauti za malipo). Imagine kinchi masikini kama hiki chetu wanachokipa misaada ndo kingekuwa na ubaguzi huu wa wazi. Tungekosa misaada bila shaka. Jamaa wabaguzi sana na ukiwabinya tu wakakosa wanachokitafuta basi wanatafuta visingizio. Hypocrites!
![]()
...alafu nyumbu wangemuunga mkono...Hii ingetokea Tanzania ungesikia marekani wakisema hamna haki za binadamu.
Teh Teh wewe utakuwa mwanaume wa kigoma.Kaka Simu mpya kaka iphone SE.