Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,556
- 4,169
Wakuu nipo sehemu flan umeme haujafika so tunatumia solar. Na kuna kampuni kadhaa za solar zinazotoa huduma hii kwa malipo ya kila siku. Hii inakuwa kama wanakukopesha mtambo wa solar mf mobisol.
Hawa vifaa vyao ni vizur sasa nataka nichukue halafu nichakachue nisilipie.
Nani mtaalamu navyo humu ?
Hawa vifaa vyao ni vizur sasa nataka nichukue halafu nichakachue nisilipie.
Nani mtaalamu navyo humu ?