Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Smart Elite ni wamekuwa wakiwasaidia watu wengi namna ya kutengeneza simu au computer yako mwenyewe bila kwenda kwa fundi. Ni kampuni ambayo itazindua App yake karibun. Nimezipenda huduma zao...
0 Reactions
3 Replies
710 Views
hi ALL, Where in Tanzania can i get CONICAL SCALAR??? Thanks
0 Reactions
0 Replies
594 Views
Me nimemaliza bachelor degree ya computer science in software engineering na sasahivi namalizia ccna baada ya kumaliza oracle database 11g ila lengolangu kubwa nahitaji kuwa network engineer...
1 Reactions
4 Replies
968 Views
[emoji1666][emoji1666][emoji1666]
0 Reactions
1 Replies
763 Views
Wakuu ninawezaje kupata sms au call confrimation code ya whatsapp line yangu imefungiwa haitumik kwenye mawasiliano na ilikwisha poteaga N.b:nina shida nayo sana wakuu..
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naombeni mwongozo wa ku unlock moderm tajwa hapo juu.. mubarikiwe sana
2 Reactions
6 Replies
7K Views
Niaje wadau, Ni muda sana sijapost kitu humu ndani, mambo mengi. Leo ningependa kuwasilisha shell script niliyotengeneza kunisaidia kutafuta decrypted hashes, sana sana za MD5. Script hii...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nahitaj iphone 5 yenye icloud (password locked). Mwenye nayo please tuwasiliane.
1 Reactions
1 Replies
900 Views
Kwa yyte anaefaham namna ya kutoa icloud naomba msaada tafadhali
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau, Nahitaji msaada wenu juu ya hv vitu, mana kwa mfumo, wa elimu Tz some time, mtu inabid ukatishe ndoto zako uangalie, ki2 cha kusomea kulingana na soko la ajira. Mana mifumo kwa hapa Tz...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini wakuu,natafuta microsoft lumia 950xl,kwa dar es slaam naweza kuipata wap and for how much?
0 Reactions
0 Replies
534 Views
File details:MT6580__TECNO__TECNO-L8Plus__TECNO-L8__5.1__L8PLUS-H805C1-L-160721V29 Naomba la kukopy toka kwenye simu ninayo download hayawashi simu sijapata file lenye details za hapo juu (Reason...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hii mitandao naona ni ya wanasiasa mbona haichukuliwi hatua leo 1GB= Tshs. 2,000 200MB = Tshs. 1000
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Vifaa hivi vifuatavyo bei yake inasimamaje? i) Main switch "Havels" 12 ways ii) Circuit Breaker "Havels" single phase iii) Twin cable 10mm iv) Single core cable 1.5mm kwa roll moja red, black na...
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Nikichaji simu ina andika maandishi haya low battery temperature Simu inatatizo gani na nifanye nini kuondoa tatizo hili
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Mtaani ni shinda uamuzi ni wako kuja kupata mafunzo ya kujifunza kufanya installation za camera au kusubiri ajira GS POWER INSTALLATION PAMOJA NA CHUO KIKUU CHA KENVISION NAIROBI PAMOJA NA WADAU...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu natumaini mu wazima wa afya. Lengo la kuja hapa ni msaada wa namna ya kupata chanel za Azam TV maana wananiambia "NO PROGRAMME" hata nikiserch hakuna channel wala radio nayopata...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Habari za leo wanajamvi, Naomba msaada wenu katika hili. nahitaji kusoma IT katika ngazi ya advance diploma, nimekuwa nikijiuliza ni chuo gani kitanifaa kwa kozi hiyo ambapo kama nitahitimu...
1 Reactions
43 Replies
13K Views
Guys Nina pc niliweka flash ya mtu yenye wale virus wanaohide files na kuziweka shortcut ... sasa kila nikiweka any external drive inapigwa shortcut nauliza jinsi ya kuwatoa completely kweny PC.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Natumia Nokia Lumia 520 windows 8.1, nataka Ku upgrade ili niweze kutumia windows 10. Kuna application inaitwa windows 10 upgrade advisor sasa nikitaka Ku upgrade to windows 10 inasema not...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…