Computer engeneering Vs BIOMEDICAL equipments Engeneering!

Computer engeneering Vs BIOMEDICAL equipments Engeneering!

Surgical Blade

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
349
Reaction score
16
Wadau,
Nahitaji msaada wenu juu ya hv vitu,
mana kwa mfumo, wa elimu Tz some time, mtu inabid ukatishe ndoto zako uangalie, ki2 cha kusomea kulingana na soko la ajira. Mana mifumo kwa hapa Tz inabadilika badilika,
.
SaSa nimeombwa kutoa ushauri,
hivyo nakuja kwenu wadau mnijuze ni kipe chenye uwanda mkubwa kiajira.
 
Wadau,
Nahitaji msaada wenu juu ya hv vitu,
mana kwa mfumo, wa elimu Tz some time, mtu inabid ukatishe ndoto zako uangalie, ki2 cha kusomea kulingana na soko la ajira. Mana mifumo kwa hapa Tz inabadilika badilika,
.
SaSa nimeombwa kutoa ushauri,
hivyo nakuja kwenu wadau mnijuze ni kipe chenye uwanda mkubwa kiajira.
Kiajira hapa naweza kusema vyote vinafukuzana japo Biomedical inaweza kumzid Computer kwa asilimia kazaa...

Kwa uhalisia wa TZ Biomedical ni fani ambayo ilitakiwa iwe imetoa ajira nying kwa mda mfupi....kwa maana ni fani ambayo ni mpya kwetu afu pia kumekua na uhaba wa waatalamu wa hyo fani.

Kwahyo mm naweza sema Biomedical iko vzur zaid ya Computer eng kiajira...
 
Back
Top Bottom