Wakuu mara kadhaa nimejaribu kuverify namba yangu ya voda ili nitumie kwa ajiri ya iMessage lakini imenigomea, ni simu ya pili sasa kila nikiangalia status inaniambia verifying!
Kama kuna namna...
Wakuu za habarini za sahizi, naishi mkoani mbeya, nilikuwa na naomba msaada niweze kupata sehemu wanapofanyia fabrication ya vifaa mbali mbali vinavyohitaji plastic molding na kuhusisha mfumo...
Kila mtu anapenda kumiliki kitu kizuri ila baadhi kipato hakiruhusu, hii imepelekea kuwepo kwa bidhaa za kila aina sokoni ili kubeba pesa yoyote mteja aliyonayo. Kwa upande wa TV zipo kampuni...
Leo hii watu wengi hutumia muda mwingi kwenye Internet iwe kwa smartphone, TV, games, Laptop, n.k. hasa kwa ajili ya burudani kama kuangalia videos za muziki, highlights za mpira, kucheza games...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba msaada kwenye hilo
Mwenye uzoefu na friji za Tmall naomba anambie kuhusu ubora wake au ni friji ipi nzuri kwa bajeti isiyozidi laki tano
Speed - niweze kuseti speed ya juu kwa kila mtumiaji, mfano asivuke speed ya kudonload MB 1 kwa dakika
MB - iwe kama tunavyonunua mabando ya MB kwenye mitandao ya simu, ukimaliza MB connection...
Ukienda Polisi kutoa Taarifa hukuti Afisa wa Polisi kwenye meza ya mapokezi, hukuti makaratasi bali unakuta vifaa vya kidigitali pekee. Ni vituo janja vya polisi ambapo mtu anaweza kutoa taarifa...
Ndio wadau kampuni ya ICT works inaendeshwa vipi na upatikanaji WA tende ni vitu gani muhimu hasa KWENYE kuoperatr.
Kwa Sasa tunafanya heavy printing but tunataka kujua upande huo pia
Assalam Alleykum ndugu zangu natumai mko poa poleni kwa mfungo ,tuendelee kumwomba Mungu katika kipindi hiki
Nashindwa kutumia internet pindi nikipigiwa simu ,msaada jinsi ya kufix hii shida wakuu
Free Video Converter is the software designed to convert video formats of various types and does cost free to use. If your video player does not support some video format and you want to convert...
Wakuu,
Nini malengo ya website mbalimbali kuuliza swali hilo? na wakati mwingine kukupa task mbalimbali kama kuchagua magari, traffic lights nk.
✅Ina maana wanaogopa marobot yataharibu au vipi...
Wakuu mwenye experience na hiki kitu please anisaidie niunganishe hii saa na Simu kwani itakua rahisi hata kuset mda pale nitakapokua nasafiri kwenda nje au kurudi Tanzania.
EXCEL SIO YA ACCOUNTANTS TU – NI SILAHA YA KUJENGA UHURU WA KIFEDHA KWA KILA MTANZANIA
Watanzania wengi wanadhani Microsoft Excel ni ngumu au ya watu waliosomea uhasibu. Lakini ukweli ni kwamba...
Kwa wote wanaomiliki wi-fi router au wanaotegemea kuwa nayo badae, ni muhimu sana kufahamu kua ukiset password ili mtu asiye na password asiweze kutumia wi-fi yako ujue umejipotezea tu mda mana...
Wakuu habari ya muda huu, poleni na majukumu
Nina changamoto yangu moja naomba msaada, nina taa yangu moja ni Watts 5 Dc nataka ikae inawaka kwa masaa 12 na kuchaji simu pia.
Hivyo nilikuwa...
"Kalinka & Tobol" ni mifumo ya kivita ya kielektroniki (EW) ya Urusi ambayo hivi karibuni imepata umaarufu kwa madhumuni yake ya kugundua na kuvuruga mawasiliano ya satelaiti, hasa yale ya...