Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakubwa habarini za leo, kuna hii kampuni ya wakenya inaitwa Bunny ndio wana tengeneza haya majiko ya ECOA induction cookers, naomba ambaye ameyatumia anipe uzoefu kabla sija jilipua kuchukua.
3 Reactions
8 Replies
380 Views
Wadau hivi app ya prox tv nawezaje kuinstall kwenye PC?
0 Reactions
0 Replies
64 Views
Pengine wewe unayesoma uzi huu unawaza ni lini utapata pesa ya kununua simu lakini kwa mtu mwingine hali ni tofauti kabisa ...! Kivipi ,? ..... pesa Anayo lakini hajui ni simu gani nzuri atanunua...
6 Reactions
38 Replies
4K Views
Tanzania kila inayo itwa leo watu hutapeliwa ,wengi hupotezea kwa sababu ya udogo wa pesa wanazo tapeliwa …. Fikiria kama ukitapeliwa laki 3,4 au MILLIONI. Ni pesa nyingi eeh…. Kama haupo makini...
7 Reactions
14 Replies
1K Views
Wakuu nashindwa kuelewa kuhusu FB post engagement. Kwa maana utakuta post ina 350 views, 13 engagement 4 likes, 2 comments, total interaction 6. Sasa je hizo engagement 7 Zimetoka wapi...
0 Reactions
18 Replies
247 Views
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kinashiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026 yanayofanyika katika viwanja vya Chinangali jijini Dodoma, kwa lengo la kutoa elimu kwa wananchi kuhusu...
0 Reactions
1 Replies
114 Views
Baada ya kuzindua DJI OSMO Pocket 4 mwezi April, DJI pia walidokeza kidogo Pocket 4 Pro, ambayo ilionekana inakuja na lens mbili. Finnaly wamefanya officially launch. Hii pocket gimbal camera...
2 Reactions
6 Replies
119 Views
New malware spreading across Android devices via text messages promises free Amazon gift cards but delivers only spam to everyone on the device’s contact list. The “Gazon” threat, as it is...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kozi ya Jinsi ya Kutengeneza Simu (Mobile Repair Full Course) ni mwongozo wa kina unaokufundisha hatua kwa hatua jinsi ya kutambua, kuchunguza na kurekebisha matatizo mbalimbali ya simu za...
15 Reactions
24 Replies
668 Views
Wakuu naombeni msaada wa video downloader ambayo isio ya kulipia maana nimejaribu kulipia snapany inakuwa inakataa ...ningefurahi zaidi kupata ya ku copy na ku paste link .... shukrani
3 Reactions
2 Replies
119 Views
Wadau msije kukosea kudukua simu za wapenzi wenu mtakufa na presha bure...........................kuleni maisha bhn .....
0 Reactions
5 Replies
170 Views
Je, umedondosha simu yako kwenye maji au imeingiwa maji?. Usipate tabu, Ukichukua hatua za haraka unaweza ukaiokoa isiharibike. Hatua ya kwanza kabisa itoe kwenye maji haraka iwezekanavyo kwani...
1 Reactions
5 Replies
7K Views
Samsung baada ya kushika soko kwa muda mrefu wakajisahau na kuona wanaweza kufanya wanachojisikia sokoni , google pixel wakaja wakawapiga bao na sasa vijana wengi hupendelea zaidi kuliko Samsung...
8 Reactions
198 Replies
9K Views
wakuu tumaini ni wazima afya nilikuwa nauliza hivi kuna watu wanaagiza mizigo kikuu nilikiwa nataka kuagiza external driver naona kule 4 TB wanauza 35k. hivi naomba kujua bidhaa ni Og au
5 Reactions
17 Replies
507 Views
Wakuu, naomba msaada wa ushauri na connection za laptop nzuri yenye specs za kufanya kazi nzito kidogo kama programming, video editing, gaming, 3D rendering na data analysis. Napendelea zaidi...
3 Reactions
17 Replies
481 Views
Habari wakuu, Leo Juni 9, 2026, kampuni ya Anthropic (watengenezaji wa Claude) wamezindua mifano miwili mipya ya akili unde - Claude Fable 5 na Claude Mythos 5. Hii ni habari kubwa kwenye dunia...
6 Reactions
8 Replies
257 Views
Asilimia 95% ya simu za iphone ambazo watanzania wengi wanauziwa kwenye box huwa ni simu used…. Je, Ulikuwa unajua hili ? kama hujui basi habari ndio hiyo. ……naona unabisha pengine wewe mwenyewe...
6 Reactions
17 Replies
446 Views
Habari. Kuna mtu anauliza taratibu za kuanzisha app kwa hapa tanzania hadi iweze kua downloaded playstore/App store. Je, ni taratibu zipi anahitaji kufuata? Je itahitaji kwenda Tra,Tcra,Brela nk...
7 Reactions
39 Replies
566 Views
Kati ya iOS,Windows,Blackbery na Android ipi OS unaikubali zaid?
2 Reactions
89 Replies
14K Views
Airtel mna customer care mbovu kwenye simu. Okay, nikaona nije dukani kwenu, aisee…! Okay tuache ilo. Sasa hizi 5G router zenu za ZLT X25 zina lifespan ya muda gani? Yangu imeanza kimasihara...
12 Reactions
26 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…