Rwaz
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,279
- 4,108
Aman kwetu sote!
Kwanza tangu jf ifungiwe nimerud nyuma km 77 kwa taarfa na maarfa.
Mana sijawai kosa suluhisho tokea humu.
Sasa anayejua mtaalam mtakatifu wa kubadiri pocket wi fi inayosoma yas tu kupokea laini zote anielekeze kwa dar.
(Kwa mara ya kwanza acha nia njema iishinde sheria)
Kwanza tangu jf ifungiwe nimerud nyuma km 77 kwa taarfa na maarfa.
Mana sijawai kosa suluhisho tokea humu.
Sasa anayejua mtaalam mtakatifu wa kubadiri pocket wi fi inayosoma yas tu kupokea laini zote anielekeze kwa dar.
(Kwa mara ya kwanza acha nia njema iishinde sheria)