Umeme wa Solar : Nini Kinahitajika na Kiasi Gani..?

VoiceOfReason

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
5,194
1,355
Wakuu nimeona tuanzishe Mada ili tuone ni kiasi gani kinahitajika ili kuanza kutumia umeme wa solar:-
Equipments

  • solar panels
  • changing controller (kuhakikisha battery haiwi overcharged)
  • battery
  • inverter (kubadilisha dc to ac)
Jinsi ya kujua unahitaji panels ngapi kwa matumizi yako:-
  • Angalia bili zako zilizopita ili uweze kujua ni KWH ngapi unatumia kwa mwezi (average); alafu gawa kwa 30 ili ujue kila siku unatumia KWH ngapi
  • Kufahamu utahitaji panels ngapi inabidi ujue ni masaa mangapi panels zako zitakuwa zinapigwa na mwanga wa jua, hii inategeme kama utakapoziweka zitakuwa zinakingwa na miti au sehemu ulipo (average nyumba nyingi huwa zinapata 5hrs to 8.5hrs nyingine zinaweza kupata hata 3hrs a day)
  • Kwahiyo kama system yako ina panels za 2kw na kama zinapata 5hrs direct sunlight basi systems yako itakuwa inatoa 10kw/hr kwa siku
Hivyo basi kwa mfano wetu hapo juu kama kwenye bill yako huwa unatumia 300kw/hr kwa mwezi; basi utajua kuwa kwa siku huwa unatumia 10kw/hr hivyo basi utahitaji panels za 2kw kama direct sunlight itakuwa masaa matano kwa siku

Bei za Equipments:-
Sijajua kwa Bongo panels ni shilingi ngapi lakini china on average ni between 1.2 mpaka 2usd kwa kila watt moja.. lakini hapo baada ya usafiri bei itaongezeka maradufu

Kwahiyo wadau kwa anayejua bei za hivi vifaa bongo naomba tuelezane itagharimu tshs ngapi kwa kutengeneza 2kw system:-
  • panels
  • battery
  • charging controller na inverter
Lets See howmuch it cost kuondokana na huu uzembe wa nchi yetu
 
once upon a time niliulizia panels bongo nikawa disapointed kabisa. solar panels ni ghali mno bado. hapa unaongea kilowatt panels. (1000W) ni adim hizo hapa
 
once upon a time niliulizia panels bongo nikawa disapointed kabisa. solar panels ni ghali mno bado. hapa unaongea kilowatt panels. (1000W) ni adim hizo hapa
Mkuu hata ukipata za watt ndogo lets say 100w unaweza kuziunganisha kama 20 ili upate 2kw
 
nimekumbuka ngoja niwaekee attachments yao. kama kuna anychange please somebody do inform
Kweli mkuu hapa unaongelea kwa watt 75 ni 720,000/= ambapo inaonyesha kila watt ni tshs 9,600/= approximately 6.4usd kwa kila watt duh wakati China nadhani ni kwenye 1.1 usd kwa watt..., kweli hii issue ni expensive sana kwahiyo kwa hesabu za bei za hapa bongo 2kw panels zitakuwa:-
9,600 x 2,000 = 19.2m

mhhh kaazi kweli kweli...
 
Solar panel pia inategemea na kampuni inayotengeneza zipo zinazotengenezwa kenya 20W ni Tsh. 100,000/- pia zipo zinazotengenezwa Germany kampuni ya PREMIER 60W ni Tsh. 550,000/- kwa hiyo ukichukua idadi ya Panel 3 za 20W=60W kutoka Kenya itakucost Tsh.300,000/- hii ni cheap ukilinganisha na 60W ya Premier lkn kwenye ubora wa kujaza betri ya N100 60Wya Premier inajaza kwa 4-8hrs inategemea na jua wakati assemble ya 60W za kenya ni 48-72hrs inategemea na jua.
 
wandugu kwanza poleni ni ukweli usiopingika kwamba solar panel per watt ni aghali Tz compare na China. Kwanza ilikuwa USD 6.2 kwenye miaka miwili iliyopita na bei imeendelea kupungua mpaka kufika $ 3.6 per watt kwa sasa . lakini mkumbuke ya kuwa kuweka solar ya 2KW kwa household bado ni investment kubwa kwani unahitaji zaidi ya sola panel kukamilisha mfumo . nitawapa mchanganuo kwa kifupi

Solar panel 2000w @$3.6 = $7200; Charger controller za kutosha kuimili hizo panel ya 60A= 2 @ $225=$450 utahitaji inverter angalau ya 7000W kwa matumizi ya kuweza kupower Freedge na jiko anagalau la plate 2 za 1000W each =$5200 bado utahitaji Batteries kwa kuweza kustore umeme wako na kwa mfumo huo wa 2KW utahitaji angalau battery 24 za 150AH amabazo kwa bei ya sasa ni karibu $263 @24=$ 6312 hapo utahitaji pia mamabo ya waya na mounting pia na gharama za ufundi ambazo hazitapungua $300 . kwa hiyo utaona kupata mfumo wa sola wa 2000W per day itakughalimu karibu $19,462 kama utanunua vifaa hapa nchini. karibu 32.1M TZS. kuweka umeme utakaokuwa na karibu nguvu sawa na umeme wa tanesko. Bila shaka mtakubaliana nami kwamba hii ni investment kubwa kufanywa na Mtanzania wa kawaida na ndio maana L's solution tunakuja na suluhisho la kukupatia umeme kulingana na mahitaji muhimu bila kuathiri mfuko wako.


Tunazo option mbalimbali za kukupatia umeme utakaokidhi nagalau mahitaji muhimu kama taa, TV system c/w decoder, music systems na DVD players etc, Fridge whether ni double door or single na Kuacha matumizi ya Jiko kutumika kwa sorce nyingine kama Gas, Mkaa, kuni n.k

Option hizi zime prove kutatua mahitaji karibu asilimia 80 ya mahitaji ya kila siku ya familia. Tafadhali wasiliana nami kwa simu namba +255 787 00 1525 au +255 715 00 15 25 kwa free quote na ushauri zaidi . Karibu L's solution kwa suluhisho lako la umeme wa jua.
 
Sasa gharama zenu ni sh ngapi ili mtu akija aje amekamilika
wandugu kwanza poleni ni ukweli usiopingika kwamba solar panel per watt ni aghali Tz compare na China. Kwanza ilikuwa USD 6.2 kwenye miaka miwili iliyopita na bei imeendelea kupungua mpaka kufika $ 3.6 per watt kwa sasa . lakini mkumbuke ya kuwa kuweka solar ya 2KW kwa household bado ni investment kubwa kwani unahitaji zaidi ya sola panel kukamilisha mfumo . nitawapa mchanganuo kwa kifupi

Solar panel 2000w @$3.6 = $7200; Charger controller za kutosha kuimili hizo panel ya 60A= 20 @ $225=$4500 utahitaji inverter angalau ya 7000W kwa matumizi ya kuweza kupower Freedge na jiko anagalau la plate 2 za 1000W each =$5200 bado utahitaji Batteries kwa kuweza kustore umeme wako na kwa mfumo huo wa 2KW utahitaji angalau battery 24 za 150AH amabazo kwa bei ya sasa ni karibu $263 @24=$ 6312 hapo utahitaji pia mamabo ya waya na mounting pia na gharama za ufundi ambazo hazitapungua $300 . kwa hiyo utaona kupata mfumo wa sola wa 2000W per day itakughalimu karibu $23,512 kama utanunua vifaa hapa nchini. karibu 37,6M TZS. kuweka umeme utakaokuwa na karibu nguvu sawa na umeme wa tanesko. Bila shaka mtakubaliana nami kwamba hii ni investment kubwa kufanywa na Mtanzania wa kawaida na ndio maana L's solution tunakuja na suluhisho la kukupatia umeme kulingana na mahitaji muhimu bila kuathiri mfuko wako.


Tunazo option mbalimbali za kukupatia umeme utakaokidhi nagalau mahitaji muhimu kama taa, TV system c/w decoder, music systems na DVD players etc, Fridge whether ni double door or single na Kuacha matumizi ya Jiko kutumika kwa sorce nyingine kama Gas, Mkaa, kuni n.k

Option hizi zime prove kutatua mahitaji karibu asilimia 80 ya mahitaji ya kila siku ya familia. Tafadhali wasiliana nami kwa simu namba +255 787 00 1525 au +255 715 00 15 25 kwa free quote na ushauri zaidi . Karibu L's solution kwa suluhisho lako la umeme wa jua.
 
Mnapatikana wapi?

Kaka sisi tupo Arusha eneo la sakina Plot 197 namanga Road opp na Sakina supermaket pia unaweza tupata kwenye namba tulizoweka hapo juu ama ukani PM nami nitakupa free quote na maelekezo unayohitaji, gharama na vifaa vinavyoitajika . l amsing unatakiwa kuwa na idea ngalau ni vifaa gani unahitaji kuviwasha na umeme wa sola . Mfano TV na ni size gani je ni flat screen au ya kawaida na idadi zake, Taa ngapi?, Fride ama freezer na je ni single door au double door, na je idadi yake?, microwave, toaster, Decoder, laptop au desktop , na vifaa vingine vya umeme nasi tutandaa package inayofanana na matumizi yako.

kumbuka kuwa hatuwezi kuwa na gharama fixed kwamba nyumba yako itahitaji kiasi fulani mpaka yupate mahitaji yako ingawa tunazo bei elekezi kutoka na mifumo ambaypo ni pre design na inaweza kukidhi ama kutokukidhi mahitaji yako.

Ndio maana na shauri unipigie simu ama uni PM ili tuweze kukupa package inayolingana na mahitaji yako.

Kumbuka kuwa pamoja ya kwamba tupo Arusha tuna uzoefu wa zaidi ya miaka 5 hapa Tanzania na tumefanya kazi maeneo mbali mbali ya Nchi hii kuanyia Rusumo Bukoba mpaka Kasesya sumbawanga mpaka Mtwara, Sirali Musoma, Hororo Tanga, Bagamoyo, DSM na sehemu zinginezo.

Popote ulipo tutakufikia.

Pia tunazo back up za kukuwezesha kupata umeme hata baada ya umeme wa wenzetu unapokatika.

Ahsante Muonamambo +255 787 00 15 25 au +255 715 00 1525
 
Yeah utatozwa ushuru na kupandisha bei kidogo...mfano V A T ni 20% ya bei uliyo nunulia...unaweza ukajikuta una save pesa kidogo kuliko ungenunulia hapa.
Je hizi huwezi kuagiza toka nje ya nchi kama kuna jamaa unayemfahamu nje? Je, ukiingiza toka nje ya nchi zinatozwa ushuru?
 
solar-power-home.jpg

Solar Power Home And Save The Environment
 
wandugu kwanza poleni ni ukweli usiopingika kwamba solar panel per watt ni aghali Tz compare na China. Kwanza ilikuwa USD 6.2 kwenye miaka miwili iliyopita na bei imeendelea kupungua mpaka kufika $ 3.6 per watt kwa sasa . lakini mkumbuke ya kuwa kuweka solar ya 2KW kwa household bado ni investment kubwa kwani unahitaji zaidi ya sola panel kukamilisha mfumo . nitawapa mchanganuo kwa kifupi

Solar panel 2000w @$3.6 = $7200; Charger controller za kutosha kuimili hizo panel ya 60A= 20 @ $225=$4500 utahitaji inverter angalau ya 7000W kwa matumizi ya kuweza kupower Freedge na jiko anagalau la plate 2 za 1000W each =$5200 bado utahitaji Batteries kwa kuweza kustore umeme wako na kwa mfumo huo wa 2KW utahitaji angalau battery 24 za 150AH amabazo kwa bei ya sasa ni karibu $263 @24=$ 6312 hapo utahitaji pia mamabo ya waya na mounting pia na gharama za ufundi ambazo hazitapungua $300 . kwa hiyo utaona kupata mfumo wa sola wa 2000W per day itakughalimu karibu $23,512 kama utanunua vifaa hapa nchini. karibu 37,6M TZS. kuweka umeme utakaokuwa na karibu nguvu sawa na umeme wa tanesko. Bila shaka mtakubaliana nami kwamba hii ni investment kubwa kufanywa na Mtanzania wa kawaida na ndio maana L's solution tunakuja na suluhisho la kukupatia umeme kulingana na mahitaji muhimu bila kuathiri mfuko wako.


Tunazo option mbalimbali za kukupatia umeme utakaokidhi nagalau mahitaji muhimu kama taa, TV system c/w decoder, music systems na DVD players etc, Fridge whether ni double door or single na Kuacha matumizi ya Jiko kutumika kwa sorce nyingine kama Gas, Mkaa, kuni n.k

Option hizi zime prove kutatua mahitaji karibu asilimia 80 ya mahitaji ya kila siku ya familia. Tafadhali wasiliana nami kwa simu namba +255 787 00 1525 au +255 715 00 15 25 kwa free quote na ushauri zaidi . Karibu L's solution kwa suluhisho lako la umeme wa jua.

free quote mpaka tuku PM baba..... tuwekee bei za vitu basic. hiyo ni wazi kila system itakuwa na bei tofauti kulingana na watt zinazohitajika.
pili
Pia ni kawaida kabisa kuuziwa panels kwa kupigwa changa la macho. unaambiwa 20W kumbe ni waongo.
 
Solar panel pia inategemea na kampuni inayotengeneza zipo zinazotengenezwa kenya 20W ni Tsh. 100,000/- pia zipo zinazotengenezwa Germany kampuni ya PREMIER 60W ni Tsh. 550,000/- kwa hiyo ukichukua idadi ya Panel 3 za 20W=60W kutoka Kenya itakucost Tsh.300,000/- hii ni cheap ukilinganisha na 60W ya Premier lkn kwenye ubora wa kujaza betri ya N100 60Wya Premier inajaza kwa 4-8hrs inategemea na jua wakati assemble ya 60W za kenya ni 48-72hrs inategemea na jua.
maelezo yako yanapingana na elimu ya sayansi tuliyofunzwa shule.
hamna kabisa kitu hicho.
kama kweli ni 20W basi zote zitafanya kazi kwa muda ule ule .
WAtt = energy delivered per unit time au energy supply in a specific time period.
kinachoonekana hapo ni kuwa hao wakenya wanakudanganya kuwa ni 20W lakini ukweli wanaujua wenyewe na MUNGU wao tu bas.
Pia ni kawaida kabisa kuuziwa panels kwa kupigwa changa la macho. unaambiwa 20W kumbe ni waongo.
 
Use solar energy source; Tanzania urged
Monday, 04 July 2011 22:10

By Sylivester Ernest
The Citizen Reporter
Dar es Salaam.

India has advised Tanzania to resolve to using solar as source of power to curb the problem of power cut in the country.

The director of the Indian pavilion at the 35th Dar es Salaam International Trade Fair (DITF), Mr Vigfy Kumal Gauba told The Citizen that it was high time the country reduced its dependency on hydro electricity sources and that solar offered the best option."I have found stern electricity rationing here and it is a real mess…you go here and there and it is a real mess," said Mr Gauba.

Mr Gauba, who is representing the Indian government, through the India Trade Promotion Organization, said the problem was affecting the country's economy as it lowered production hours.He was speaking in reference to the solar electronics displayed by one of the 37 Indian companies taking part at the annual event held at the Sabasaba grounds in the city.
The Indian said solar energy was cheap in terms of installations. Electricity from solar can be available in any season of the year and could be affordable to all people in all areas..
"The Tanzanian government needs to find a lasting solution to this problem for the good of the country's economy," he said adding that power rationing was now the matter of history in his country.The exhibitor Mr Suresh Bandal said there were different panels for solar tower, pumps, water heater and other lightening products.
 
maelezo yako yanapingana na elimu ya sayansi tuliyofunzwa shule.
hamna kabisa kitu hicho.
kama kweli ni 20W basi zote zitafanya kazi kwa muda ule ule .
WAtt = energy delivered per unit time au energy supply in a specific time period.
kinachoonekana hapo ni kuwa hao wakenya wanakudanganya kuwa ni 20W lakini ukweli wanaujua wenyewe na MUNGU wao tu bas.
Pia ni kawaida kabisa kuuziwa panels kwa kupigwa changa la macho. unaambiwa 20W kumbe ni waongo.

Kaka Paje na Mwanaharakati
Ni ukweli usiopingika kwamba solar zinatofautiona kutokana na make and country of origin na wakati mwingine mis- information given by suppliers. Panel inaweza kuwa ya watt 20 lakini perfomamce yake ikatofautiona kulingana na make na material yaliotumika kutengenezea.
Panel za crystalline ni superir kuliko za Amorphous [ za rangi ya dark green-crystalline na Amorhous ni Nyeusi isiyokolea].

Crystalline zina feature zifuatazo:


1. Hutoa moto mwingi[ current kipimo cha umeme} ndio umeme unaotumika kucharge batteries mfano panel ya watti 50 hutoa btwn 5-8A max, watti 80 hutoa 5-10A max.


2. Uweza kuhimili range kubwa ya hali ya hewa kati ya centrigrade 5-45 degrees. hivyo ni nzuri maeneo ya baridi. naoumba mfahamu panel zinategenea jua ku perform na spec zake hupimwa kwa room temp ambayo ni 25 degrees. hivyo inavyoperm DSM si sawa na Arusha au Njombe.
3. life span yake ni kati ya miaka 35-45


4. Voltage output yake ni kubwa kati ya volt 19 mpaka 21. hich ni kipimo cha umeme unaotuka na jinsi kinavyokuwa kikubwa huchangia kujaza betri mapema.


5. Hutumia masaa machache kujaza betri kutokana na kuwa na ufanisi mkubwa.
Panel za Amourphous:
1. Hutoa current - umeme kidogo mfano panel ya watti 50 hutoa kati ya 3-5A na 80W kati ya 3-8A max


2. Hufanya vizuri kwenye range kubwa ya temperature kati ya 18-45A


3. Hutoa voltage za chini kulingana na crystaline volt 17-19V


4. Ufanis wake ni mdogo na hudumu kati ya miaka 15-25 tu
5. Hutumia masaa mengi kujaza betri
Ukiachia hayo wazalishaji upishana kwa kutengeneza panel zenye ufanisi mkubwa, wa kati na wa chini. Ni bora kupata ushauri kabla ya kununua.

Lakini tatizo kubwa la mfumo wa sola sio panel. kwani panel nyingi hata zinapopishana ufanisi bado mwisho wa siku zitajaza betri ,[ unless umeuziwa kanyanga mfn kama panel chache zinazotoka kenya , hivyo nawashauri msinunue panel kwa kutazama u cheap wa bei].

Tatizo kubwa liko kwenye betri kwani betri hazifanani na wateja wengi hawalijui hili. ziko betri karibu za aina tatu .
Betri za gari


1. Hizi zimeumbwa makusudu kwa ajili ya gari na zinachajiwa muda wote zinapotumika


2. Hudumu kati ya miezi 6-mpaka miaka 2
3. Hhazifai kwenye matumizi ya sola


4. Zinapishana kwa ufanisi
Betri za sola za maji
1. Hizi zimeumbwa mahususi kwa ajili ya sola
2. Zinahitaji uangalifu wa kutosha na maintenance ya kutosha
3. Zinadumu kati ya miaka 1-2.5
4. Ni asilimia 20-30 ya kilichojazwa kinaruhusiwa kutolewa. Na hapa ndipo wateja wengi hawapaelewi betri hizi hazitakiwi kutumika kwenye matumizi makubwa. Unapochota zaidi ya kilichomo kwa zaidi ya asilimia 20% betri hufa mapema zingine chini ya miezi 6.
5. Bei yake ni nafuu na ghali kidogo kuliko betri za gari.
Betri za dry medium life.
1. Hizi zimeumbwa kwa mafuta ya geri maalum na powder ya acid
2. Hazihitaji maji wala maintenance
3. Hudumu kati ya miaka 4-10
4. Unaruhusiwa kuchota kati ya asilimia 50-70 ya kilichojazwa
5. Bei yake ni aghali kulinganisha na betri zilizotangulia
Betri za dry heavy duty life
1. Hizi zimeumbwa kuhimili matumizi makubwa kama ya nyumba nzima, projects kubwa kama hospital, shule miradi ya maji na telecom
2. Zinatumia gel maalum
3. Hazihitaji mantenance
4. Hudumu kati ya miaka 10-15
5. Unaruhusiwa kuchota mpaka asilimia 90 ya kilichojazwa bila kuziletea madhara yoyote
6. Bei yake nin Aghali zaidi.
Ukiacha sola na betri pia uchaguzi mzurin wa charger controller nalo ni kitu muhimu . charger controller au kidhibiti chargi ni kifaa kinachoangalia mwenendo mzima wa mfumo kuanzia uchajaji, matumizi, joto na vifaa vingine vinvyoweza kuangamiza mfumo. Ukumbuke Charger controller ndio inayoruhusu umeme[ current] upite ni kama mlango hivyo ukiwa mdogo umeme mdogo unaruhusiwa kupita na madhara ya ke unapata umeme kidogo. Charger contrller inatakiwa iwe na uwezo wa kutosha kupitisha umeme wote unazalishwa na panel.
Nitawaletea habari zaidi za charger controller and Inverter/inverter charger siku za usoni
Ahsanteni

Eng Muonamambo
L's solution ltd
+255 787 00 1525
+255 715 00 1525
 
Item
QTY
Wattage
Total wattage
Hrs
Wh
Lights
35
10
350
6
2100
TV screen
2
180
360
8
2880
Computer
2
145
290
6
1740
Laptop
2
80
160
4
640
Printer
1
20
20
1
20
Dstv Decoder
1
20
20
6
120
DVD player
1
20
20
1
20
Blender
1
35
35
1
35
HI Fi system
1
80
80
4
320
Microwave
1
1400
1400
1
1400
Iron
1
1000
1000
1
1000
Toaster
1
150
150
0.6
90
Fridge
1
270
270
8
2160
Deep freezer
1
460
460
6
2760
total
4615
15285
System to power: 35 lights, Deep freezer, fridge 1 iron,2 TV screen,
2 desktop,2 laptop,1 printer,Decoder,DVD player, Hi fi system and Toaster
Equipment
Qty
Rate in TZ
Amount in TZ
Panel 80W/12V
8
480,000
3840000
Batteries dry medium 150AH/12v
12
440,000
3520000
Charger contrller 60A
3
320,000
960000
Inverter 7000W/12V/24V
1
9,200,000
9200000
Labour cost
1
550,000
550000
18,070,000
System to power: 22 lights, 1 iron/micro wave,1 TV screen, Fridge and freezer
1 desktop,1 laptop,1 printer,Decoder,DVD player, Hi f, Toaster
Equipment
Qty
Rate in TZ
Amount in TZ
Panel 80W/12V
8
480,000
2880000
Batteries dry medium 150AH/12v
8
440,000
2640000
Charger contrller 60A
2
360,000
720000
Inverter 7000W/12V/24V
1
9,200,000
9200000
Labour cost
1
550,000
550000
15,990,000
Please note; This system will perform almost the same as above with only few limitation on hours
System to power : 16 lights, 1 iron/microwave ,1 TV screen,1 desktop,1 laptop,Toaster
1 printer,Decoder,DVD player, Hi fi system, Fridge only
Equipment
Qty
Rate in TZ
Amount in TZ
Panel 80W/12V
4
480,000
1920000
Batteries dry medium 150AH/12v
4
440,000
1760000
Charger contrller 60A
1
360,000
3600000
Inverter/charger 3000W/12V/24V
1
3,800,000
3800000
Labour cost
1
550,000
550000
8,390,000
Please note; This system Iron and microwave should not be used together/
when one used other should be off
System to power : 16 lights, 1 iron/microwave,1 TV screen,1 desktop,1 laptop,1 printer
,Decoder,DVD player, Hi f, Toaster and fridge
Equipment
Qty
Rate in TZ
Amount in TZ
Panel 80W/12V
4
480,000
1920000
Batteries dry medium 150AH/12v
4
440,000
1760000
Charger contrller 60A
1
360,000
360000
Inverter 2000W/12V/24V
1
3,400,000
3400000
Labour cost
1
550,000
550000
7,990,000
Please note; For this systemr Iron and microwave should not be used together/
when one used other should be off
These items can only be used on less than one hour
System to power : 12 lights,1 TV screen,1 desktop,1 laptop,
1 printer,Decoder,DVD player, Hi f, Toaster and small fridge
Equipment
Qty
Rate in TZ
Amount in TZ
Panel 80W/12V
3
480,000
1440000
Batteries dry medium 150AH/12v
3
440,000
1320000
Charger contrller 60A
1
360,000
360000
Inverter 750W/12V/24V
1
850,000
850,000
Labour cost
1
450,000
450000
4,880,000
Please note; for this systemr does not power Iron or/and microwave
System to power : 12 lights, 1 TV screen,1 laptop,1 printer,
Decoder,DVD player, Hi f and Toaster
Equipment
Qty
Rate in TZ
Amount in TZ
Panel 80W/12V
2
480,000
960000
Batteries dry medium 150AH/12v
2
440,000
880000
Charger contrller 30A
1
245,000
245000
Inverter 750W/12V/24V
1
850,000
850000
Labour cost and installation
1
450,000
450000
3,385,000
Please note; This system does not power Iron or/and microwave
System to power : 12 lights, 1 TV screen 4 hours only
Equipment
Qty
Rate in TZ
Amount in TZ
Panel 80W/12V
1
480,000
480000
Batteries dry medium 150AH/12v
1
440,000
440000
Charger contrller 10A
1
185,000
185000
Inverter 350W/12V/24V
1
380,000
380000
Labour cost and installation
1
350,000
350000
1,835,000
Please Note: Hizi ni bei elekezi na zinaweza kubadilika wakati wowote,
validity of this quote is only one month and its subject to change without notice
Ningependa uni PM au unipigie ili nikupe quote inayolingana na mahitaji yako
Eng Muona Mambo +255 787 00 15 25 au 0715 00 1525
 
Mkuu lakini this is approximation kwa kiasi cha juu sana... Binafsi nadhani hili suala la kwenda totally off grid na kutegemea solar kwa BONGO bado ni luxury ya juu sana, kwahiyo kinachotakiwa ni kwa serikali kutoa ruzuku za hali ya juu mpaka 80% ili kuwaconvice watu wengi kujiunga solar tofauti na hapo its very expensive au ukichukua hizi plans watu wanazotoa inabidi kubana matumizi kwa hali ya juu sana..

Naomba uniambia your highest plan inaoffer watt/hr ngapi kwa siku na your lowest plan inaoffer watt/hr ngapi kwa siku and what is the cost; sababu hii issue ya kusema tv ngapi au taa ngapi its so hard kuielezea.., Sababu wengine labda wana mtambo wa kutengenezea Bangi kwao au mwingine ana-stationery ambayo ina photocopies kadhaa....
 
Back
Top Bottom