Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

HABARI WAKUU NAOMBA MSAADA WA KUFUNGUA TWITTER KILA NIKIFUNGUA INALETA NI VERIFYING ILA NIKIJALIBU HAIKUBALI SHIDA NINI WAKUU HAPO?
0 Reactions
1 Replies
323 Views
UVUJAJI MKUBWA WA NYWILA ZAIDI YA BILIONI 16: CHUKUA HATUA SASA KABLA HUJADUKULIWA Na MalekoGJ Juni 2025 Katika tukio linalotajwa kuwa mojawapo ya uvujaji mkubwa kabisa wa taarifa katika historia...
1 Reactions
4 Replies
479 Views
Je, Laptop Inaweza Kutumiwa Hata Ikiwa Imezimwa? Fahamu Ukweli wa Kushtua Kuhusu Intel AMT na Jinsi ya Kujilinda Jibu rahisi ni ndyo ?? Sounds like sci-fi? It’s not. It’s real, it’s dangerous...
0 Reactions
0 Replies
357 Views
Watu wengi mmeshawahi kutumia app ya Shazam, mnajua jinsi gani inavyofanya kazi katika kutafuta audio Mbalimbali kwa ajili ya kupata kile unachokisikia mahali na kutaka kujua aliyeimba ni nani nk...
1 Reactions
7 Replies
479 Views
Windows OS + MS Office Activator - 20,000 Tsh, jipatie activator ya Windows OS 7, 8, 10, 11. Napatikana: Mkoa wa Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145 Adobe Master Collection 2025 -...
1 Reactions
4 Replies
431 Views
Microsoft Office 2019 Pro Plus kwa ajili ya windows OS kwa bei ya 20,000 Tsh, unapewa leseni ya milele hakuna malipo ya mwaka. Napatikana: Mkoa Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145 Kama...
2 Reactions
2 Replies
325 Views
Adobe Master Collection 2025- 30,000 Tsh Napatikana: mkoa wa Dar es salaam, Mbezi. Mawasiliano: 0756704145
2 Reactions
8 Replies
355 Views
Habari wana jamvi poleni kwa miangaiko na kwa yanayoendelea nchini. Bila ya kuwachosha niende moja kwa moja kwenye point. Naombeni wadau wa taaram wa mambo ya tehama kuanzia mfumo mpaka vifaa...
0 Reactions
4 Replies
434 Views
Tupeane app mbali mbali ambazo n ngumu kupata bure apple store 1.Youtube downloader 2.Music 3. nk nb: Sina iphone 16 waungwana msije mkajaa makasiriko
5 Reactions
8 Replies
633 Views
Source: Twitter 1. Notch kubwa kwenye iPhone Flagship za Apple kama iPhone X series, 11 series, 12 series na 13 series zimekuwa zikija na notch kubwa kwa juu kwenye display ambayo imekuwa...
30 Reactions
71 Replies
10K Views
What Ai AI stands for Artificial Intelligence, which refers to the ability of machines to perform tasks that typically require human intelligence, such as learning, problem solving, perception...
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Windows 10 Genuine Installation - 20,000 Tsh Napatikana: Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145
0 Reactions
2 Replies
238 Views
Watalamu wa tech nipeni suggestions. BRands kama Samsung na Xiaomi. Chief-Mkwawa ,
3 Reactions
10 Replies
527 Views
Wakuu katika pita pita zangu nimekutana na hii Mic je katika kazi zangu za Online TV itanifaa
1 Reactions
46 Replies
6K Views
Habari wakuu, Kuna kitu kimoja ningependa kuwauliza wataalam wa JF , Hivi ni huduma Gani ambayo inawezesha ku display jina la biashara Kila unapopiga namba ya sim yako , Kuna watu kadhaa...
0 Reactions
2 Replies
383 Views
Ruby ni moja language ipo underrated sana na developer wengi Side project nyingi hasa web development na API mimi huwa natumia ruby, pia nichanguo langu la kwanza Ni mara chache sana unakutana...
1 Reactions
2 Replies
435 Views
Pata Adobe Photoshop 2025 kwa 20,000 Tsh. Napatikana mkoa wa Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145
1 Reactions
5 Replies
285 Views
Nimekua nikitumia simu hii kwa muda mrefu tangu mwaka 2019 hadi nilipopata changamoto ya kugoma kuwaka baada ya kuinstal App ya kudownload content mtandaoni ambayo niliitoa nje ya playstore...
0 Reactions
0 Replies
316 Views
Akili Bandia ya Bard ambayo inamilikiwa na Google ili kushindana na Akili Bandia ya ChatGPT imefanya mabadiliko. Google Bard imeongeza upatikanaji wake kwa lugha zaidi ya 40 ikiwemo lugha ya...
5 Reactions
28 Replies
2K Views
wakuu habari za wakt huu, Nina shida kidgo kwenye PC yangu Jana nilikuwa naangalia movie usiku ilipoisha nikazima nikalala sasa Leo mimeamka nawasha haiwaki kbsa ila port za.usb zote zinafanya...
2 Reactions
12 Replies
418 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…