Mbona mimi line ipo kwenye simu nyingine na fresh tu?Kama umeweka laini kwenye simu nyingine na WhatsApp ipo kwenye simu nyingine ndio michezo yao iyo.
Unavyosajili day 1.Mbona mimi line ipo kwenye simu nyingine na fresh tu?
Tena jana simu moja imeingia maji nimetowa kabisa line.
Mbona hapa ni mwaka sijui wa 5 huu sijawahi kuweka hii line ambayo ninayotumia kwenye WhatsApp kwenye simu kubwa ambayo ndipo WhatsApp ipo?Kama umeweka laini kwenye simu nyingine na WhatsApp ipo kwenye simu nyingine ndio michezo yao iyo.
makekeUkome kutumia yale ma WhatsApps ya kipuuzi. Wewe kinachokufanya usitumie WhatsApp original ni nini?
Hapana sio sababuKama umeweka laini kwenye simu nyingine na WhatsApp ipo kwenye simu nyingine ndio michezo yao iyo.
Simu Yako android version ni ngapiHabari
Ni muda sasa nimekuwa nikifungiwa WhatsApp hadi natamani kuifuta kabisa, kila niki submit wanaifungua baada ya masaa 24 kisha haimalizi at a dakika 5 inafungiwa tena naomba msaadaView attachment 2989250
Habari
Ni muda sasa nimekuwa nikifungiwa WhatsApp hadi natamani kuifuta kabisa, kila niki submit wanaifungua baada ya masaa 24 kisha haimalizi at a dakika 5 inafungiwa tena naomba msaadaView attachment 2989250
Unatumia whatsapp ipi?Ndio