Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wadau mimi nina tatizo moja. Tupo kwenye group la ukoo lina mambo mengi na watu wengi. Sometimes nakuwa busy sitaki kujihusisha na mambo yake. So huwa kama vipi nasoma tu text kama ni muhimu...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Wakuu huwa siielewi Oppo mara nyingi huwa naona ana mcopy sana iPhone. Tofauti ni operating systems tu. Ila vingi Oppo anacopy kutoka iPhone. Hata ukicheki muundo hadi displays ndani iphone iPhone.
3 Reactions
30 Replies
5K Views
Habari wakuu, Nilikua namiliki simu aina ya google pixel 3a nikaamua ku upgrade kwenda kwenye google pixel 4a 5g, Baada ya kuinunua simu hiyo nikaikuta inatumia plrogram endeshi yaani android...
4 Reactions
32 Replies
6K Views
Wadau wazoefu,nina kijana wangu yupo kidato cha 6,nataka nimnunulie laptop kwa ajili ya matumizi yake,nikizingatia kuwa mwakani anaweza kujiunga na chuo kikuu,je ni laptop ipi,yenye uwezo upi...
1 Reactions
6 Replies
495 Views
Kitabu kinaitwa mobile phone repairing soft copy mwenye nacho naomba
1 Reactions
4 Replies
363 Views
HABARI YAKO. Najua utakua umewahi pitia changamoto kwenye simu yako (Android phones) na kujiuliza sana kua "Mbona simu yangu inawahi kuisha chaji haraka sana?" bila kujua shida ni nini. Kwa...
0 Reactions
0 Replies
334 Views
Baada ya miaka 40 hatimaye kampuni ya Microsoft imesema Goodbye to bluescreen of death ☠️, Microsoft imesema imeweza kutambulisha kipengele kipya kinaitwa Black screen of death. Kwaiyo kuanzia...
2 Reactions
4 Replies
298 Views
Infinix hot 50 pro+ Sifa zake; Display, Amoled Resolution, 1080x2436 pixels OS, Android 14 Chipset, mediatek helio G100 (6nm) CPU, (2x2.2 GHz Cortex-A76 & 6x2.0 GHz Cortex-A55) GPU, Mali G57-MC2...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Wakuu simu yangu ya Redmi 10C "inastack" sana, Shida inaweza kuwa nini? Simu hii nimeinunua mwezi wa saba mwaka jana , hata haijamaliza mwaka. Matumizi yangu ni ya kawaida sana, wala huwa...
3 Reactions
62 Replies
6K Views
Wadau wa technology. Naomba msaada wa mawazo yenu, najua mpo wenye experience ya kutosha kwenye hivi vifaa. Nataka kununua digital camera na printer mahsusi kwa ajili ya kazi ya picha za...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Leo nakuambia njia salama za kuwezesha kuhamisha message zilizopo kwenye simu moja kwenda nyingine bila ku forward!!. Inawezekana umenunua simu mpya na unataka kuhamisha message zako Toka simu...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Salaam Members. Nipo mbali na home kwa sasa nikijaribu kutafuta grease ya maisha, sasa mimi hua siyo mtu wa kuingiliana na watu au kupiga story sana isipokuwa kupeana salamu inapobidi kwa...
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Internet Download Manager Software (IDM) ya Windows OS - 20,000 Tsh. Mawasiliano: 0756704145 Eneo: Dar es salaam, Mbezi
0 Reactions
8 Replies
460 Views
Hbr wadau, Kwa anaefahamu namna ya kutumia luku ya jirani kuweka umeme naomba anijuze. Hizi luku mpya portable za TANESCO zinaruhusu hiyo kitu, kwa anaefahamu anisaidie Ahsante
0 Reactions
134 Replies
69K Views
Kazi gani unayo (Software issues) unahitaji msaada? Nikusaidie. blog issues website issues softwares issues (Windows 10,11) social media management Mawasiliano: 0756704145 Eneo: Dar es...
0 Reactions
1 Replies
259 Views
Mimi nimekulia kwenye simu zile za kukoroga kama unapiga hendeli Hizi simu za smart sizijui sana. Simu yangu haliishi lisaa inaniambia kuna junk files nizifute Nikiangalia unakuta junk zinakuwa...
0 Reactions
11 Replies
504 Views
Unahitaji nini usaidiwe kwenye IT industry? Software, website,blog, ads, email na n.k Karibu usaidiwe unachotaka kwenye IT kama maswali utajibiwa Mawasiliano:0756704145 Eneo: Dar es salaam, Mbezi
0 Reactions
1 Replies
242 Views
There are many ways to create videos for YouTube. The favorites ones include using a Flip camera or recording a PowerPoint presentation using Camtasia screen capture software. But there are many...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
USINUNUE LAPTOP MPYA KABLA HUJASOMA HII MAKALA MWONGOZO WA 2025 KWA KINA Kununua laptop si tu suala la bei au jina kubwa. Ni uwekezaji. Na kama ilivyo kwa uwekezaji wowote — unahitaji maarifa...
9 Reactions
9 Replies
1K Views
Katika dunia ya leo ya kidigitali, social proof ni kila kitu. Watu wanataka kuonekana wanafuatiliwa, na biashara nyingi zinahitaji followers ili kuwashawishi wateja wao. Hii ndiyo sababu kuu...
1 Reactions
11 Replies
748 Views
Back
Top Bottom