Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Najua watu wengi hawajui kama Tanzania Kuna Kiwanda cha kutengeneza simu janja (smartphone) ✋ umeshtuka sio ✍️. Nchini Tanzania mkoa wa pwani wilaya ya mkuranga kama siku utafanikiwa kutembea...
0 Reactions
6 Replies
828 Views
Redmi 13C. Redmi 14C Aquos sense 7 plus (used) Natanguliza shukrani🙏🙏🙏
1 Reactions
7 Replies
665 Views
Habari zenu! Kama wewe ni programmer au una ndoto za kuwa mmoja wa programmer, huu ndio uzi wako! Hapa tunasaidiana, tunashauriana, na tunahamasishana. Kama unakutana na changamoto yoyote kwenye...
9 Reactions
184 Replies
6K Views
Wakuu naomba kupewa huduma kwa mtumiaji wa Dstv nijiunge na My dstv app, nitachangia
0 Reactions
9 Replies
623 Views
Hello Ni wakati sasa tunajifunza jinsi ya kutafuta loopholes kwenye ISP yeyote unayehitaji, katika makala hii tuenda kujifunza jinsi Gani tunaweza tumia udhaifu wa ISP na kupata free internet...
17 Reactions
77 Replies
9K Views
Arduino uno zipo mbili zimebaki bei sawa na bure, njoo inbox kwa wateja serious. 28,000. Free delivery au unaweza kufata mwenyewe.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Jioni kuanzia saa 11 mpaka saa2 na nusu ukiwasha circuit breaker inazima kila baada ya dakika kadhaa, ila muda mwingine wote umeme hauzimi. Wataalamu wa haya mambo naomba msaada.
3 Reactions
30 Replies
6K Views
Waungwana naomba mnisaidie jinsi ya ku-logout JamiiForums, mimi ni mgeni kwenye hili jukwaa msaada tafadhali!
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Natafuta adsense yenye site kama unayo njoo inbox tufanye biashara, 0718474600
0 Reactions
0 Replies
189 Views
Hello wadau. Fulsa imetolewa bure ya kuandika kwenye website. Website hii ni engineering blog, wadau wote wenye interest ya kuandika na kutaka ku share mambo mbali mbali ya kitaaluma wanaweza...
2 Reactions
0 Replies
232 Views
Huu ndo ukweli. Checki wanavyo emerge https://youtube.com/shorts/LU34ylP10eo?si=lDy4ipNGT3emQO13
1 Reactions
8 Replies
627 Views
Matatizo ya Kawaida ya Kompyuta na Namna Sahihi ya Kuyatatua Katika dunia ya sasa inayotegemea teknolojia, matatizo ya kompyuta ni ya kawaida kwa watumiaji wa kila ngazi – kuanzia wanafunzi...
2 Reactions
1 Replies
494 Views
Kama umewahi kujiuliza, “Nawezaje kupata kipato cha uhakika mtandaoni?” — basi makala hii ni kwa ajili yako. Watu wengi hufikiri lazima uwe na kompyuta kubwa, ujuzi mgumu au uwe na mtaji wa...
1 Reactions
5 Replies
738 Views
Natafuta adsense yenye site kama unayo njoo inbox tufanye biashara, 0718474600
0 Reactions
0 Replies
230 Views
Kabla Hujanunua Monitor ya OLED Huu Ndio Ukweli Wengi Hawakwambii By MALEKOGJ OLED Monitors Si Kitu Kizuri Kama Unavyodhani – Huu Ndio Ukweli Usiosemwa Katika dunia ya teknolojia ya kisasa...
0 Reactions
0 Replies
342 Views
ULIMWENGU WA SASA MATUMIZI MAKUBWA NI YA ARTIFICIAL INTELLIGENCE (ROBOT) NOW WHATSAPP KUNA ROBOT MAARUFU KAMA WHATSAPP BOT. ""baadhi ya features zilizopo kwenye whatsapp bot"" 1. VIEW STATUS...
2 Reactions
4 Replies
601 Views
Wakuu, niko na bajeti hii ya 500,000 hadi 600,000 nahitaji nipate Simu(Google pixel) ya ipi itanifaa..? Kama una ushauri kwa brand nyingine tofauti na hiyo yenye ubora unaweza kunisanua/kunipa...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
As an Internet user, it is essential to secure your identity. So, here I have shared some best VPN for Android to stay anonymous from the online world. The online world is filled with threats to...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kitabu chochote cha ufundi simu haswa smartphone kiwe kwenye mfumo wa pdf
0 Reactions
0 Replies
469 Views
Wataalamu, naomba kufahamishwa namna ya kupiga simu nje ya nchi kwa bei nafuu kwa contacts ambazo haziko linked na call apps au sociaL media apps(whatsapps, line, viber..). MItandao ya simu ina...
0 Reactions
3 Replies
778 Views
Back
Top Bottom