Maendeleo ya Teknolojia yanazidi kwenda Kasi ulimwenguni huku Tanzania kuleta Mabadiliko kadhaa kwenye sekta ya Tehama nchini.
Kuna mambo mengi Tanzania inakwenda kufanya mwaka 2026 ambapo...
Habarini Za Mchana Huu ,
Poleni na majukumu , nimekuja kwenu WanaIT mnisaidie swala hili , maana swala hili limenishinda kwa kutumia mawazo yangu pekee.
Majuzi kuna Hp Chromebook Ram 4 na...
Nazani umeshawahi kuliona neno ili LTE au LTE+ kwenye simu wakati umeshawa data unalikuta liko juu karibu na Alama hii 📶 kwenye simu yako.
Unajua kwanini bando lako linakwisha haraka tu👋 Leo...
Wakuu, samahini nilikuwa naomba niuliza kwa wanaojuwa kati ya hizi programming skills job.
1. Full stack web developer,
2. Block chain developer,
3. Machine learning and Artificial intelligenece...
Wafanya biashara na wajasiria mali wengi Tanzania wanashindwa kutumia au wana chukulia wepesi kiungo hiki muhimu kwenye biashara na kampuni
unapojitanabaisha kuwa wewe ni kampuni au biashara...
Habari,
Ni muda sasa nimekuwa nikifungiwa WhatsApp hadi natamani kuifuta kabisa, kila niki submit wanaifungua baada ya masaa 24 kisha haimalizi at a dakika 5 inafungiwa tena naomba msaada.
Unahitaji social media manager?
nitakuwa natengeneza simple poster
kuweka posts kwenye account
kusimamia akaunti
na mengineyo
Mawasiliano: 0756704145
Eneo: Dar es salaam, Mbezi
Nazani bado unajiuliza maswali Mengi kuhusu simu hii ambayo inaitwa Samsung Galaxy Note 20 Ultra.
iliyotoka mwaka 2020 ikiwa na uwezo mkubwa wa Hali ya juu , muonekano wa kipekee na Teknolojia ya...
Epson hata nimeitumia kidogo sana kwa matumizi ya ndani ina wino ndani haujatumika hata asilimia 90 na bado chupa nyeusi nyingine imejaa.
Bei 350000 tunazungumza.
Delivery around dsm.
CHATGPT Bingwa wa AI !!!!
💭 Je Unapenda kubadilisha Picha yako kuwa kwenye muundo wa Katuni ?? Wengi wanakuambia nitatumia sijui adobe Photoshop? Cartoon maker ??
Hapana 👎🏾, unaweza...
Kwa mara ya kwanza, China imeandaa mechi ya soka inayochezwa na roboti wa umbo la binadamu (humanoid robots) wanaojiendesha kikamilifu kwa kutumia akili bandia (AI), bila msaada wa binadamu wakati...
Habarini wadau naomba support yenu kufollow our insta Account 🙏🏾 hapo kwenye picha
AU
Bonyeza link hii kuingia
https://www.instagram.com/7spares?igsh=bWx5dDB5c3BqazU5
Nashukuru kwa Mda wenu...
💻 Nilianza na simu yangu. Sio laptop.
Wakati nikiwa chuoni, nilikuwa natumia simu yangu kujifunza HTML na CSS kupitia w3schools na tutorials za YouTube.
Nilitengeneza web pages ndogo ndogo...
Wapenzi wa Movie Kuna movie ya zamani Sana Tom Cruise kijana mdogo inaitwa The Color of money,.
Story,Kuna mzee ujana wake alikua fundi Sana wa kucheza Pool table alikua maarufu na ndoto yake aje...
Habarin wana jamii forum nina pesa zangu zipo huko neteller ni dollar kadhaa na nina shida nazo nataka nizitoe fasta shida ni kwamba kwa tanzania ni only to bank hakuna mobile network.
Na ubaya...
Najua watu wengi tumeutizama mzigo wa squid game unaelewa jinsi ulivyo wa kibabe au Kuna MTU wa kupinga [emoji6]!!
Sasa Netflix wamekuja kivinge kabisa ile series Yao ya 𝐒𝐪𝐮𝐢𝐝 𝐆𝐚𝐦𝐞 wameamua...
1/
Katika kipindi hiki cha maendeleo ya kiteknolojia, tunahitaji kujadili kwa kina:
Ni chuo gani nchini Tanzania kinachofanya vizuri zaidi katika kufundisha IT kwa vitendo na kuzalisha vijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.