Wadau mimi nina tatizo moja. Tupo kwenye group la ukoo lina mambo mengi na watu wengi. Sometimes nakuwa busy sitaki kujihusisha na mambo yake. So huwa kama vipi nasoma tu text kama ni muhimu...
Wakuu huwa siielewi Oppo mara nyingi huwa naona ana mcopy sana iPhone.
Tofauti ni operating systems tu. Ila vingi Oppo anacopy kutoka iPhone.
Hata ukicheki muundo hadi displays ndani iphone iPhone.
Habari wakuu,
Nilikua namiliki simu aina ya google pixel 3a nikaamua ku upgrade kwenda kwenye google pixel 4a 5g,
Baada ya kuinunua simu hiyo nikaikuta inatumia plrogram endeshi yaani android...
Wadau wazoefu,nina kijana wangu yupo kidato cha 6,nataka nimnunulie laptop kwa ajili ya matumizi yake,nikizingatia kuwa mwakani anaweza kujiunga na chuo kikuu,je ni laptop ipi,yenye uwezo upi...
HABARI YAKO.
Najua utakua umewahi pitia changamoto kwenye simu yako (Android phones) na kujiuliza sana kua "Mbona simu yangu inawahi kuisha chaji haraka sana?" bila kujua shida ni nini.
Kwa...
Baada ya miaka 40 hatimaye kampuni ya Microsoft imesema Goodbye to bluescreen of death ☠️, Microsoft imesema imeweza kutambulisha kipengele kipya kinaitwa Black screen of death.
Kwaiyo kuanzia...
Wakuu simu yangu ya Redmi 10C "inastack" sana, Shida inaweza kuwa nini?
Simu hii nimeinunua mwezi wa saba mwaka jana , hata haijamaliza mwaka.
Matumizi yangu ni ya kawaida sana, wala huwa...
Wadau wa technology.
Naomba msaada wa mawazo yenu, najua mpo wenye experience ya kutosha kwenye hivi vifaa.
Nataka kununua digital camera na printer mahsusi kwa ajili ya kazi ya picha za...
Leo nakuambia njia salama za kuwezesha kuhamisha message zilizopo kwenye simu moja kwenda nyingine bila ku forward!!.
Inawezekana umenunua simu mpya na unataka kuhamisha message zako Toka simu...
Salaam Members.
Nipo mbali na home kwa sasa nikijaribu kutafuta grease ya maisha, sasa mimi hua siyo mtu wa kuingiliana na watu au kupiga story sana isipokuwa kupeana salamu inapobidi kwa...
Hbr wadau,
Kwa anaefahamu namna ya kutumia luku ya jirani kuweka umeme naomba anijuze. Hizi luku mpya portable za TANESCO zinaruhusu hiyo kitu, kwa anaefahamu anisaidie
Ahsante
Kazi gani unayo (Software issues) unahitaji msaada? Nikusaidie.
blog issues
website issues
softwares issues (Windows 10,11)
social media management
Mawasiliano: 0756704145
Eneo: Dar es...
Mimi nimekulia kwenye simu zile za kukoroga kama unapiga hendeli
Hizi simu za smart sizijui sana.
Simu yangu haliishi lisaa inaniambia kuna junk files nizifute
Nikiangalia unakuta junk zinakuwa...
Unahitaji nini usaidiwe kwenye IT industry? Software, website,blog, ads, email na n.k
Karibu usaidiwe unachotaka kwenye IT kama maswali utajibiwa
Mawasiliano:0756704145
Eneo: Dar es salaam, Mbezi
There are many ways to create videos for YouTube. The favorites ones include using a Flip camera or recording a PowerPoint presentation using Camtasia screen capture software. But there are many...
USINUNUE LAPTOP MPYA KABLA HUJASOMA HII MAKALA MWONGOZO WA 2025 KWA KINA
Kununua laptop si tu suala la bei au jina kubwa. Ni uwekezaji. Na kama ilivyo kwa uwekezaji wowote — unahitaji maarifa...
Katika dunia ya leo ya kidigitali, social proof ni kila kitu. Watu wanataka kuonekana wanafuatiliwa, na biashara nyingi zinahitaji followers ili kuwashawishi wateja wao. Hii ndiyo sababu kuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.