Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Salaam Members. Nipo mbali na home kwa sasa nikijaribu kutafuta grease ya maisha, sasa mimi hua siyo mtu wa kuingiliana na watu au kupiga story sana isipokuwa kupeana salamu inapobidi kwa...
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Internet Download Manager Software (IDM) ya Windows OS - 20,000 Tsh. Mawasiliano: 0756704145 Eneo: Dar es salaam, Mbezi
0 Reactions
8 Replies
494 Views
Hbr wadau, Kwa anaefahamu namna ya kutumia luku ya jirani kuweka umeme naomba anijuze. Hizi luku mpya portable za TANESCO zinaruhusu hiyo kitu, kwa anaefahamu anisaidie Ahsante
0 Reactions
134 Replies
70K Views
Kazi gani unayo (Software issues) unahitaji msaada? Nikusaidie. blog issues website issues softwares issues (Windows 10,11) social media management Mawasiliano: 0756704145 Eneo: Dar es...
0 Reactions
1 Replies
275 Views
Format factory Software (image, audio, video) - 20,000 Tsh *Sifa zake Video converter video downloader Picture converter Audio converter Document manipulation Mawasiliano: 0756704145 Eneo...
1 Reactions
1 Replies
524 Views
Mimi nimekulia kwenye simu zile za kukoroga kama unapiga hendeli Hizi simu za smart sizijui sana. Simu yangu haliishi lisaa inaniambia kuna junk files nizifute Nikiangalia unakuta junk zinakuwa...
0 Reactions
11 Replies
531 Views
Unahitaji nini usaidiwe kwenye IT industry? Software, website,blog, ads, email na n.k Karibu usaidiwe unachotaka kwenye IT kama maswali utajibiwa Mawasiliano:0756704145 Eneo: Dar es salaam, Mbezi
0 Reactions
1 Replies
255 Views
There are many ways to create videos for YouTube. The favorites ones include using a Flip camera or recording a PowerPoint presentation using Camtasia screen capture software. But there are many...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
USINUNUE LAPTOP MPYA KABLA HUJASOMA HII MAKALA MWONGOZO WA 2025 KWA KINA Kununua laptop si tu suala la bei au jina kubwa. Ni uwekezaji. Na kama ilivyo kwa uwekezaji wowote — unahitaji maarifa...
9 Reactions
9 Replies
2K Views
Katika dunia ya leo ya kidigitali, social proof ni kila kitu. Watu wanataka kuonekana wanafuatiliwa, na biashara nyingi zinahitaji followers ili kuwashawishi wateja wao. Hii ndiyo sababu kuu...
1 Reactions
11 Replies
798 Views
Kila mfanyabiashara ana ndoto ya kuona mauzo yakifumuka hadi target aliyoweka — iwe ni kuuza bidhaa 100 kwa wiki au kufikisha milioni 10 kwa mwezi. Lakini ukweli ni kwamba wengi hushindwa sio kwa...
3 Reactions
4 Replies
543 Views
Windows App Nitro PDF Pro 2025 - 20,000 Tsh. Programu ya kuedit, kutengeneza na kazi zingine za PDF faili. Napatikana: Dar es salaam, Mbezi. Mawasiliano: 0756704145
1 Reactions
4 Replies
328 Views
Matumizi ya akili mnemba yaani artificial intelligence (AI) yakiendelea kukua kwa kasi binafsi nadhani ni wakati sahihi mtandao wa jamii forum kuwa na AI yake kama ilivyo kwa grok ya X(zamani...
7 Reactions
15 Replies
904 Views
Wakuu habari, Naomba msaada wa maarifa kutoka kwa yeyote anayeifahamu huduma ya benki au mobile money inayoruhusu kuweka akiba ya muda maalum (fixed-term saving) kwa mfumo ufuatao: Nijiwekee...
0 Reactions
3 Replies
474 Views
Programu gani unahitaji ya windows OS? Adobe Master Collection 2025 - 30,000 Tsh Microsoft Office Pro Plus 2019 - 20,000 Tsh Activator ya Windows + Office - 20,000 Tsh Nitro PDF Pro 2025 -...
0 Reactions
4 Replies
354 Views
Web 3 ni neno linalotumika kuelezea hatua ya tatu ya maendeleo ya mtandao ambayo inatarajiwa kubadilisha jinsi tunavyotumia intaneti. Ili kuelewa Web 3, hebu tuchukue hatua nyuma kidogo na...
1 Reactions
0 Replies
367 Views
Jaman watanzania nahamasisha muamko katika teknolojia ya masjala mtawanyiko(blockchain technology ) kwa sababu kuna baadh ya nchi za Afrika zimepiga hatua katika hii teknolojia na zinaitumia...
0 Reactions
0 Replies
244 Views
Je umewahi kusikia teknolojia ya masjala mtawanyiko(blockchain technology)??
0 Reactions
2 Replies
280 Views
Najua unatumia simu yako katika kufanya mambo Mbalimbali lakini Kuna feature ambazo ni muhimu kuzizina ikiwa wewe ni mmoja wa watu wanaopenda ku type kupitia keyboard kwenye simu. Kuna kitu...
1 Reactions
3 Replies
497 Views
Teknolojia na Uboreshaji wa Huduma za Afya: Telemedicine na AI Katika dunia ya leo, teknolojia imekuwa na athari kubwa katika sekta ya afya, na mabadiliko haya yameongeza upatikanaji wa huduma za...
2 Reactions
2 Replies
640 Views
Back
Top Bottom