Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Watumiaji wa Whatsapp muda sio mrefu mtaanza kukutana na mabadiliko mapya kwenye program ya Whatsapp baada ya ripoti mpya toka Wabetainfo kuwa Watumiaji wa Whatsapp wataanza kupokea matangazo...
1 Reactions
0 Replies
323 Views
JE, PC YAKO INAWEZA KUAMBUKIZWA VIRUS KWA KUCHOMEKA USB? “Free USB = Free Headache.” Katika ulimwengu wa leo wa teknolojia, USB ports zimekuwa kama milango ya mtaa wa Kariakoo – kila mtu...
0 Reactions
1 Replies
434 Views
Utajisikiaje unachaji kifaa chako mara moja tu kwa miaka 5,700 uchawi sio 🤣!! 𝗪𝗮𝘇𝘂𝗻𝗴𝘂 𝘄𝗮𝗻𝗮𝘀𝗲𝗺𝗮 " 𝗜𝘁'𝘀 𝗻𝗼𝘁 𝘀𝗰𝗶𝗲𝗻𝗰𝗲 𝗳𝗶𝗰𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗶𝘁'𝘀 𝘁𝗵𝗲 𝗳𝘂𝘁𝘂𝗿𝗲 𝗼𝗳 𝗲𝗻𝗲𝗿𝗴𝘆", Wakiwa na maana kuwa hii sio Hadithi za...
0 Reactions
9 Replies
454 Views
Kwa mfano nina Laini ya Airtel Tanzania niliyokuwa Naitumia nikiwa Tanzania, ila naambiwa kuwa nikirejea Tanzania haitokuwa inatumika (na Ninunue Laini mpya) kwani itakuwa Imeshafungiwa kwani sasa...
6 Reactions
34 Replies
2K Views
Familia ya Donald Trump imezindua mtandao wao wa simu, unaitwa Trump mobile pamoja na simu yenye rangi ya dhahabu ikiwa na Nembo ya Trump, T1 ambayo wanadai imetengenezwa amerika itauzwa dola...
1 Reactions
3 Replies
623 Views
Habarini wakuu Naomba msaada wenu, nahitaji kupata OS ya Kali Linux au toleo lingine la Linux kwa ajili ya PC yangu. Ningependa nijifunze zaidi kuhusu cybersecurity na command line tools, lakini...
0 Reactions
21 Replies
1K Views
hello kama adstera account yako ina weekly payouts enabled na hauitumii nicheki PM, tuongee biashara!
0 Reactions
0 Replies
203 Views
Habari zenu wakuu!! Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae ana tatizo na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE...
31 Reactions
2K Replies
203K Views
Kampuni zinapofanya modifications kwenye logo zao nakuzitumia, kunakuwaga na mawazo tofauti, lakini hili la vodacom litaleta mitizamo tofauti hasa kwa tusiosupport LGBTQ. Hii ni account ya X...
1 Reactions
46 Replies
2K Views
China imeanza uzalishaji kwa wingi wa chipu za kisasa za akili bandia (AI) zinazotumia mfumo usio wa jadi wa “non-binary” — yaani hazifanyi kazi kwa mfumo wa kawaida wa tarakimu mbili (binary) wa...
0 Reactions
3 Replies
424 Views
Habari zenu wadau, Naomba kujuzwa bei ya laptop na desktop bora na imara za kisasa na Kama kuna mtu anaweza kunielekeza utofauti na ubora wake nasikiliza.
7 Reactions
150 Replies
29K Views
Toleo jipya la ios 26 imekuja ikiwa na feature mbalimbali zenye kuipendezesha iphone lakini asilimia kubwa Feature nyingi zilizopo kwenye toleo jipya la iOs 26 zimetolewa kwenye android miaka 5...
1 Reactions
8 Replies
680 Views
Mnaojua simu kampuni ya Sonny zina weakness gani? Nahofia kuingia mkenge maana pesa zenyewe za kutafuta kwa tochi
0 Reactions
5 Replies
349 Views
Hisabati imenipa Fikra Tunduizi “Mathematics is the universal dialect; where words fail, equations speak.” Nikiwa kijana mdogo nilipenda sana Algebra, nilipenda Maumbo na sura zake, tangu...
3 Reactions
5 Replies
459 Views
Kama unatumia simu basi ni muhimu kuwa na program hizi 5, kama hauna basi your phone is useless 😌, wakati unafungua simu yako Toka kwenye box lake baada ya kununua kuna hisia fulani ya Furaha...
6 Reactions
31 Replies
3K Views
64 GB ~59.5 GB 128 GB ~119 GB 500 GB ~465 GB 1 TB ~931 GB 2 TB ~1.81 TB 3 TB ~2.7 TB 8 GB ~7.4 GB
2 Reactions
6 Replies
511 Views
WhatsApp Inazindua Features mpya kwenye Advanced Chat Privacy — Hii Inabadilisha Kila Kitu! Wengi wetu tunazidi kuwa na wasiwasi… Je, jumbe zako za WhatsApp zinatumika kufundishia AI? Je, chats...
3 Reactions
6 Replies
713 Views
Habari. Nahitaji kutengenezewa vipeperushi na kuprinti vinavyohusu MATANGAZO ya SHULE. Namba ya watsup ni 0754004189.
0 Reactions
0 Replies
209 Views
Niaje wakuu Hii nimesikia mtu akikukuta unatumia iPhone anasema kuwa iPhone ni simu za wadada, au Tecno na Infinix "za wamama"! Kuna ukweli wowote katika hili? Cc: Samsung & Pixel Fans
7 Reactions
51 Replies
2K Views
Nikiwa Rais wa Tanzania kutatengenezwa electric motor ambazo zitakuwa zina-speed zaidi ya mwanga na zitakuwa zinatumiwa na rockets Ni ukweli kwamba technology ya sasa ya electric motor haiwezi...
5 Reactions
67 Replies
2K Views
Back
Top Bottom