Watumiaji wa Whatsapp muda sio mrefu mtaanza kukutana na mabadiliko mapya kwenye program ya Whatsapp baada ya ripoti mpya toka Wabetainfo kuwa Watumiaji wa Whatsapp wataanza kupokea matangazo...
JE, PC YAKO INAWEZA KUAMBUKIZWA VIRUS KWA KUCHOMEKA USB?
“Free USB = Free Headache.”
Katika ulimwengu wa leo wa teknolojia, USB ports zimekuwa kama milango ya mtaa wa Kariakoo – kila mtu...
Utajisikiaje unachaji kifaa chako mara moja tu kwa miaka 5,700 uchawi sio 🤣!! 𝗪𝗮𝘇𝘂𝗻𝗴𝘂 𝘄𝗮𝗻𝗮𝘀𝗲𝗺𝗮 " 𝗜𝘁'𝘀 𝗻𝗼𝘁 𝘀𝗰𝗶𝗲𝗻𝗰𝗲 𝗳𝗶𝗰𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗶𝘁'𝘀 𝘁𝗵𝗲 𝗳𝘂𝘁𝘂𝗿𝗲 𝗼𝗳 𝗲𝗻𝗲𝗿𝗴𝘆", Wakiwa na maana kuwa hii sio Hadithi za...
Kwa mfano nina Laini ya Airtel Tanzania niliyokuwa Naitumia nikiwa Tanzania, ila naambiwa kuwa nikirejea Tanzania haitokuwa inatumika (na Ninunue Laini mpya) kwani itakuwa Imeshafungiwa kwani sasa...
Familia ya Donald Trump imezindua mtandao wao wa simu, unaitwa Trump mobile pamoja na simu yenye rangi ya dhahabu ikiwa na Nembo ya Trump, T1 ambayo wanadai imetengenezwa amerika itauzwa dola...
Habarini wakuu
Naomba msaada wenu, nahitaji kupata OS ya Kali Linux au toleo lingine la Linux kwa ajili ya PC yangu. Ningependa nijifunze zaidi kuhusu cybersecurity na command line tools, lakini...
Habari zenu wakuu!!
Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae ana tatizo na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE...
Kampuni zinapofanya modifications kwenye logo zao nakuzitumia, kunakuwaga na mawazo tofauti, lakini hili la vodacom litaleta mitizamo tofauti hasa kwa tusiosupport LGBTQ.
Hii ni account ya X...
China imeanza uzalishaji kwa wingi wa chipu za kisasa za akili bandia (AI) zinazotumia mfumo usio wa jadi wa “non-binary” — yaani hazifanyi kazi kwa mfumo wa kawaida wa tarakimu mbili (binary) wa...
Habari zenu wadau,
Naomba kujuzwa bei ya laptop na desktop bora na imara za kisasa na Kama kuna mtu anaweza kunielekeza utofauti na ubora wake nasikiliza.
Toleo jipya la ios 26 imekuja ikiwa na feature mbalimbali zenye kuipendezesha iphone lakini asilimia kubwa Feature nyingi zilizopo kwenye toleo jipya la iOs 26 zimetolewa kwenye android miaka 5...
Hisabati imenipa Fikra Tunduizi
“Mathematics is the universal dialect; where words fail, equations speak.”
Nikiwa kijana mdogo nilipenda sana Algebra, nilipenda Maumbo na sura zake, tangu...
Kama unatumia simu basi ni muhimu kuwa na program hizi 5, kama hauna basi your phone is useless 😌, wakati unafungua simu yako Toka kwenye box lake baada ya kununua kuna hisia fulani ya Furaha...
WhatsApp Inazindua Features mpya kwenye Advanced Chat Privacy — Hii Inabadilisha Kila Kitu!
Wengi wetu tunazidi kuwa na wasiwasi…
Je, jumbe zako za WhatsApp zinatumika kufundishia AI?
Je, chats...
Niaje wakuu
Hii nimesikia mtu akikukuta unatumia iPhone anasema kuwa iPhone ni simu za wadada, au Tecno na Infinix "za wamama"!
Kuna ukweli wowote katika hili?
Cc: Samsung & Pixel Fans
Nikiwa Rais wa Tanzania kutatengenezwa electric motor ambazo zitakuwa zina-speed zaidi ya mwanga na zitakuwa zinatumiwa na rockets
Ni ukweli kwamba technology ya sasa ya electric motor haiwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.