Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakati dunia imeshikwa na sonny, LG, Samsung na Sonny kwa kipindi kirefu… huku wakitamba na vifaa vyao konki na bora duniani…. JBL pia alikuepo sokoni. Ila hakuwa na vifaa vingi vya kushika soko...
13 Reactions
101 Replies
5K Views
Nataka kununua bluetooth speaker, nimeipenda sana JBL BOOM BOX 3, ila sina bajeti yake, ni mdundo gani unaoendana na huo kwa bajet ya 400,000? Ambao ni portable kama boom3?
2 Reactions
6 Replies
480 Views
Youths are the technology game changers. They're creative and skilled with digital tools, making big changes in industries and society. With technology and global connections, they're breaking old...
1 Reactions
3 Replies
666 Views
Hakuna tena haja ya kutengeneza vyakula vya mifugo usovyojua matokeo yake kwenye ulishaji,mchawi computer,cha msingi unapaswa kujua ingredients zinazotakiwa kwenye utengenezaji wa vyakula vya...
0 Reactions
1 Replies
224 Views
Kuna jambo ambalo bado najiuliza kuhusu vyuo vyetu hapa Tanzania linapokuja suala la mashindano ya ICT. Maana naona vingi vipo kimya sana — ukiachana na UDOM (University of Dodoma). Jana nilikuwa...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Niliiflash Laptop ya Client Nikakuta Picha Zake za Siri Akiwa Chuo Kikuu 2020 😳 Je, unafikiri kuflash laptop huondoa kila kitu? Usidanganyike. Data zako "binafsi" zinaweza kuwa bado zinajitokeza...
5 Reactions
4 Replies
562 Views
Real Madrid spent $80M to sign Ronaldo from Manchester United in 2009. Meta paid $100M to sign Jiahui Yu from OpenAI in 2025.
1 Reactions
4 Replies
366 Views
Watu hawasomi copy zako kwa sababu ni nzuri — wanasoma kwa sababu wanajihisi kama wewe unajua tatizo lao. Copy nzuri haizungumzii bidhaa. Inaingia kichwani kwa mteja, inamgusa rohoni, kisha...
0 Reactions
1 Replies
261 Views
Guys watu wengi hua mnasikia terminologies yani 2G, 3G Mara H, H+ au E etc, Je, maana yake ni nini kwenye network? Kwa kifupi ni speed zinazotumika kusafirisha data kwenye internet ambapo...
36 Reactions
80 Replies
22K Views
Simu Yako ni Silaha Dhidi Yako Jinsi Namba ya Simu, Spyware, na Serikali Zinavyotumika Kukudhibiti Bila Wewe Kujua By Its MalekoGJ Mara ya mwisho uliwaza nini kuhusu usalama wa simu yako? Wengi...
6 Reactions
4 Replies
1K Views
💡 Kama unakumbuka Mwaka 2021 𝗟𝗚 iliweza kufanya uamuzi wa wa kuacha Soko la kuuza simu za Smartphone Mnamo mwaka 2021, ambapo wakati huo kwa zile brand za toleo la Korea kusini wakaweza kuendelea...
4 Reactions
3 Replies
648 Views
Ndugu zanguni Ni muda sasa sijapost humu kwani nimekua bize sana na kazi Nimekua nikiona na kusikia vijana wakilalamika sana kuhusu ajira. Napenda kuwajuza tu kua moja ya ajira ambazo huhitaji...
5 Reactions
27 Replies
1K Views
Wadau naomba kuuliza juu ya ubora wa mashine za xerox kwa kazi za stationary, au ni mashine gani nyingine Bora ambayo inaprint na kutoa copy kwa rangi?
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa juu ya hili?, Tulizoea ukininua Nokia,au Tecno,au Samsung, wakati wa kuiwasha ,kwenye main screen ya simu lilikuja neno moja tu, TECNO!.
2 Reactions
10 Replies
565 Views
Kama nilivyosema hapo juu, nchi yetu haina access za kununua game kwenye account za PlayStation. Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikitafuta suluhisho la kununua hayo magame. Nasikia ukiwa Tanzania...
2 Reactions
41 Replies
2K Views
Asalaam aleykum Jamiyah, hapo awali kidogo ukinnunua simu dukani ilikuwa ni simu ambayo endapo ni Samsung, Nokia, tecno na kadhalika, wakati wa kuiwasha ilikuwa inakuja nembo halisi ya simu husika...
2 Reactions
7 Replies
813 Views
Soon kampuni ya INFINIX Toka Tanzania itaweza kuachia simu mpya ambayo inasemeka hii ndo itakua simu nyembamba mno Duniani. Ni simu nzuri ya kisasa yenye feature kedede ambapo ina kioo cha mkunjo...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Nipo natumia huduma ya Tigo postpaid, nalipia elf 60 kupata gb 80 kila mwezi (mikataba kwa wateja wapya imebadilika unapewa gb 72) Kifurushi hiki huwa kinajiunga chenyewe kila tarehe 1 ya mwezi...
17 Reactions
33 Replies
4K Views
Kupitia ripoti Mbalimbali simu mpya ya Nothing phone 3 inatarajiwa kuachiwa na kuanza kusambazwa ikiwa na feature kadhaa; ⚡ Kioo 6.7inch LTPO OLED ikiwa na resolution ya 1.5K ✔️ refresh rate ya...
2 Reactions
14 Replies
729 Views
Back
Top Bottom