Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Hii hapa chat app maoni yenu https://first-app-7c347.web.app/
3 Reactions
19 Replies
1K Views
WAkuu habari zenu. Naimba msaada wa link ya kunisaidia kudownload facebook contact nimehangaika sana nimeshindwa kama kuna mtu ana link naimba msaada wakuu
0 Reactions
8 Replies
604 Views
Ndugu zangu naomba kujua mengi kuhusu hii simu. 1. Ubora wake 2. Upatikanaji wake 3 bei yake. 4. Wapi niipate NB: mimi ni muumini wa simu zenye vioo vikubwa.
0 Reactions
6 Replies
840 Views
China imechukua hatua kwa kupiga marufuku rasmi matumizi ya chips (vipuri vya kielektroniki) kutoka kampuni ya Marekani, NVIDIA. Hatua hii inaonesha wazi kuwa China haiko tena tayari kutegemea...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
M.2 SSD Kile Unachohitaji Kujua Kuhusu Storage inayosifika kuwa na speed ya hali ya Juu kwa Kompyuta yako .... Katika ulimwengu wa teknolojia ya kompyuta, masuala ya kasi ya ufanyaji kazi na...
1 Reactions
0 Replies
324 Views
Huwa nahisi ni hamna haja ya kufuta record permanently kwenye database Ni bora item uka i mark deleted kuliko kuifuta kabisa
2 Reactions
3 Replies
293 Views
Za Weekend Wakuu! Matoleo mapya ya simu tofauti katika miaka ya karibuni imenipa tafakari hii, kwamba hakuna features mpya kulinganisha na miaka ya nyuma kabla ya iOS na Android, na miaka ya...
6 Reactions
20 Replies
1K Views
Data kadhaa za ID vya kuingia hufichua mojawapo ya ukiukaji mkubwa zaidi wa data katika historia, ukiwa na jumla ya ID cha kuingia cha bilioni 16 kilichofichuliwa. Data ina uwezekano mkubwa zaidi...
0 Reactions
2 Replies
311 Views
KWANINI FENI YA KOMPYUTA YAKO INAPIGA KELELE KUPITA KIASI? NA NINI CHA KUFANYA Katika ulimwengu wa teknolojia, kuna tatizo ambalo watumiaji wengi huliona dogo lakini lina athari kubwa kwa...
1 Reactions
0 Replies
432 Views
Watu wana shoot events zao kwa kutumia simu. Duh Biashara ni nzuri ukiwa unasimuliwa
28 Reactions
61 Replies
3K Views
Kwa watumiaji wengi wa vifaa vya Apple, hili halitakuwa tatizo. Hata hivyo, baadhi ya iPhone, iPad, na iPod touch za zamani ambazo haziwezi kusasishwa zaidi ya iOS 15 au iPadOS 15 hazitaweza tena...
0 Reactions
0 Replies
272 Views
In-Depth Investigation of Moving Averages for Trading Systems Introduction: After two decades immersed in the ebb and flow of financial markets, I've seen countless trading strategies rise and...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
As we race toward 2030, one thing is clear: how people make money is going to change dramatically. The rules of work, business, and value creation are being rewritten — and those who don’t adapt...
1 Reactions
2 Replies
10K Views
wakuu nina hii simu Nokia c31 niliiweka bila kuitumia muda kidogo sasa nimesahau password naomba msaada wenu mwenye kufahamu njia ya kufanya,ahsante.
1 Reactions
4 Replies
509 Views
Wakuu naomba maelekezo jinsi ya kutuma salio kwa jamaa mwenye Airtel kwa kutumia USSD code zinazoanza na * (star), kama ilivyo ya tiGo; yaani: *101*number*amount# {kisha send}. Naomba maelekezo...
0 Reactions
5 Replies
68K Views
Changamoto gani unayo ya software kwenye PC Yako? Nikusaidie Napatikana: mkoa wa Dar es salaam, Mbezi Piga: 0756704145
1 Reactions
4 Replies
339 Views
CPU NI NINI? Yote Unayopaswa Kujua Kuhusu “Central Processing Unit” Na MALEKOGJ CPU ni nini? CPU ni kifupi cha “Central Processing Unit” – ambacho kwa lugha rahisi ni ubongo wa kompyuta. Kazi...
0 Reactions
1 Replies
379 Views
The ic on that big heat sink is shorting can not find the ic thus looking for the power control board Ic ambayo Iko kwenye hilo bati kubwa, (heat sink), imeungua nimeshindwa kuipata hiyo ic ndiyo...
0 Reactions
0 Replies
188 Views
No 5v on 5v out put there is a short circuit, take note the 5v regulator is ok 7805 Volti 5 hazipo na ukipima kwenye voltage regulator ya volti 5V, kuna shoti, nimejaribi kuvipima vipuli...
0 Reactions
0 Replies
161 Views
Leo nataka nizungumzie Namna 10 unazoweza kujihusisha nazo kwenye Blockchain Technology & CRYPTOs na ukapiga pesa. TAHADHARI: Mimi sio mshauri wa mambo yako ya kifedha. Mambo yote niliyoandika...
0 Reactions
4 Replies
680 Views
Back
Top Bottom