Habarini wadau wa tech jamii Forums napenda kuwatakia maisha mema.
Kuna hii simu inaitwa So what S25 Ultra nimejaribu kuiangalia na imenipendeza Sana maana Ina muonekano sawa na Samsung S25 Ultra...
Ni kampuni ya LG. Kuna maandishi yanasomeka lhd657 january 2023. Nimeifunga ndani kwangu cha ajabu inazidiwa mkito na hizi sabufa za kichina spiano
Nimeinunua 700k. Pesa yangu inaniuma sana kwa...
Ni mjadala wa muda mrefu sana huu ambao unahusisha vifurushi tunavyonunua kuisha muda wake.
sasa swali ni je mfano ukanunua MB 1000 kwa sh 2000/= na ukatumia MB 200 kifurushi kika expire huwa...
Natumaini hamjambo, ni muda mrefu kidogo sijatumia telegram nimekumbuka lile group la Xiaomi users tz nimedownload lakin sipokei verification code tatizo inaweza kua nini?
Wakati wengine wanangoja “wateja waje wenyewe,” walioamka wanawalipia wateja wao waje sasa hivi. Dunia haingoji tena, matangazo ya online ndiyo silaha ya kila mfanyabiashara mwenye akili ya...
Toleo jipya la Simu Toka TECNO iliyoweza kuzinduliwa Mwezi June Mwaka huu ambapo ni TECNO spark 40 imekuja ikiwa na muonekano wa kipekee sana.
Ni Simu nzuri kwa vijana wanaokwenda na wakati...
VPN NI NINI?
VPN ni kifupi cha Virtual Private Network. Ni encrypted tunnel kati ya vifaa viwili ambayo inakuwezesha kuingia kwenye kila website na huduma nyinginezo za mtandaoni privately na...
Inawezekana ndio unaanza kutumia programu ya WhatsApp au hata pengine ulikua unatumia programu hiyo kwa miaka mingi sasa, lakini pia inawezekana ulikua unakosa kutumia programu hiyo vizuri kwa...
Wadau mimi nina tatizo moja. Tupo kwenye group la ukoo lina mambo mengi na watu wengi. Sometimes nakuwa busy sitaki kujihusisha na mambo yake. So huwa kama vipi nasoma tu text kama ni muhimu...
Wakuu huwa siielewi Oppo mara nyingi huwa naona ana mcopy sana iPhone.
Tofauti ni operating systems tu. Ila vingi Oppo anacopy kutoka iPhone.
Hata ukicheki muundo hadi displays ndani iphone iPhone.
Habari wakuu,
Nilikua namiliki simu aina ya google pixel 3a nikaamua ku upgrade kwenda kwenye google pixel 4a 5g,
Baada ya kuinunua simu hiyo nikaikuta inatumia plrogram endeshi yaani android...
Wadau wazoefu,nina kijana wangu yupo kidato cha 6,nataka nimnunulie laptop kwa ajili ya matumizi yake,nikizingatia kuwa mwakani anaweza kujiunga na chuo kikuu,je ni laptop ipi,yenye uwezo upi...
HABARI YAKO.
Najua utakua umewahi pitia changamoto kwenye simu yako (Android phones) na kujiuliza sana kua "Mbona simu yangu inawahi kuisha chaji haraka sana?" bila kujua shida ni nini.
Kwa...
Baada ya miaka 40 hatimaye kampuni ya Microsoft imesema Goodbye to bluescreen of death ☠️, Microsoft imesema imeweza kutambulisha kipengele kipya kinaitwa Black screen of death.
Kwaiyo kuanzia...
Wakuu simu yangu ya Redmi 10C "inastack" sana, Shida inaweza kuwa nini?
Simu hii nimeinunua mwezi wa saba mwaka jana , hata haijamaliza mwaka.
Matumizi yangu ni ya kawaida sana, wala huwa...
Wadau wa technology.
Naomba msaada wa mawazo yenu, najua mpo wenye experience ya kutosha kwenye hivi vifaa.
Nataka kununua digital camera na printer mahsusi kwa ajili ya kazi ya picha za...
Leo nakuambia njia salama za kuwezesha kuhamisha message zilizopo kwenye simu moja kwenda nyingine bila ku forward!!.
Inawezekana umenunua simu mpya na unataka kuhamisha message zako Toka simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.