Kuna jambo ambalo bado najiuliza kuhusu vyuo vyetu hapa Tanzania linapokuja suala la mashindano ya ICT. Maana naona vingi vipo kimya sana — ukiachana na UDOM (University of Dodoma).
Jana nilikuwa...
Niliiflash Laptop ya Client Nikakuta Picha Zake za Siri Akiwa Chuo Kikuu 2020 😳
Je, unafikiri kuflash laptop huondoa kila kitu? Usidanganyike. Data zako "binafsi" zinaweza kuwa bado zinajitokeza...
Watu hawasomi copy zako kwa sababu ni nzuri — wanasoma kwa sababu wanajihisi kama wewe unajua tatizo lao. Copy nzuri haizungumzii bidhaa. Inaingia kichwani kwa mteja, inamgusa rohoni, kisha...
Guys watu wengi hua mnasikia terminologies yani 2G, 3G Mara H, H+ au E etc, Je, maana yake ni nini kwenye network?
Kwa kifupi ni speed zinazotumika kusafirisha data kwenye internet ambapo...
Simu Yako ni Silaha Dhidi Yako Jinsi Namba ya Simu, Spyware, na Serikali Zinavyotumika Kukudhibiti Bila Wewe Kujua
By Its MalekoGJ
Mara ya mwisho uliwaza nini kuhusu usalama wa simu yako?
Wengi...
💡 Kama unakumbuka Mwaka 2021 𝗟𝗚 iliweza kufanya uamuzi wa wa kuacha Soko la kuuza simu za Smartphone Mnamo mwaka 2021, ambapo wakati huo kwa zile brand za toleo la Korea kusini wakaweza kuendelea...
Ndugu zanguni
Ni muda sasa sijapost humu kwani nimekua bize sana na kazi
Nimekua nikiona na kusikia vijana wakilalamika sana kuhusu ajira. Napenda kuwajuza tu kua moja ya ajira ambazo huhitaji...
Wadau naomba kuuliza juu ya ubora wa mashine za xerox kwa kazi za stationary, au ni mashine gani nyingine Bora ambayo inaprint na kutoa copy kwa rangi?
Naomba kujuzwa juu ya hili?,
Tulizoea ukininua Nokia,au Tecno,au Samsung, wakati wa kuiwasha ,kwenye main screen ya simu lilikuja neno moja tu, TECNO!.
Kama nilivyosema hapo juu, nchi yetu haina access za kununua game kwenye account za PlayStation. Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikitafuta suluhisho la kununua hayo magame. Nasikia ukiwa Tanzania...
Asalaam aleykum Jamiyah, hapo awali kidogo ukinnunua simu dukani ilikuwa ni simu ambayo endapo ni Samsung, Nokia, tecno na kadhalika, wakati wa kuiwasha ilikuwa inakuja nembo halisi ya simu husika...
Soon kampuni ya INFINIX Toka Tanzania itaweza kuachia simu mpya ambayo inasemeka hii ndo itakua simu nyembamba mno Duniani.
Ni simu nzuri ya kisasa yenye feature kedede ambapo ina kioo cha mkunjo...
Nipo natumia huduma ya Tigo postpaid, nalipia elf 60 kupata gb 80 kila mwezi (mikataba kwa wateja wapya imebadilika unapewa gb 72)
Kifurushi hiki huwa kinajiunga chenyewe kila tarehe 1 ya mwezi...
Kupitia ripoti Mbalimbali simu mpya ya Nothing phone 3 inatarajiwa kuachiwa na kuanza kusambazwa ikiwa na feature kadhaa;
⚡ Kioo 6.7inch LTPO OLED ikiwa na resolution ya 1.5K
✔️ refresh rate ya...
Habarini wadau wa tech jamii Forums napenda kuwatakia maisha mema.
Kuna hii simu inaitwa So what S25 Ultra nimejaribu kuiangalia na imenipendeza Sana maana Ina muonekano sawa na Samsung S25 Ultra...
Ni kampuni ya LG. Kuna maandishi yanasomeka lhd657 january 2023. Nimeifunga ndani kwangu cha ajabu inazidiwa mkito na hizi sabufa za kichina spiano
Nimeinunua 700k. Pesa yangu inaniuma sana kwa...
Ni mjadala wa muda mrefu sana huu ambao unahusisha vifurushi tunavyonunua kuisha muda wake.
sasa swali ni je mfano ukanunua MB 1000 kwa sh 2000/= na ukatumia MB 200 kifurushi kika expire huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.