Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kuna jambo ambalo bado najiuliza kuhusu vyuo vyetu hapa Tanzania linapokuja suala la mashindano ya ICT. Maana naona vingi vipo kimya sana — ukiachana na UDOM (University of Dodoma). Jana nilikuwa...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Niliiflash Laptop ya Client Nikakuta Picha Zake za Siri Akiwa Chuo Kikuu 2020 😳 Je, unafikiri kuflash laptop huondoa kila kitu? Usidanganyike. Data zako "binafsi" zinaweza kuwa bado zinajitokeza...
5 Reactions
4 Replies
525 Views
Real Madrid spent $80M to sign Ronaldo from Manchester United in 2009. Meta paid $100M to sign Jiahui Yu from OpenAI in 2025.
1 Reactions
4 Replies
346 Views
Watu hawasomi copy zako kwa sababu ni nzuri — wanasoma kwa sababu wanajihisi kama wewe unajua tatizo lao. Copy nzuri haizungumzii bidhaa. Inaingia kichwani kwa mteja, inamgusa rohoni, kisha...
0 Reactions
1 Replies
238 Views
Guys watu wengi hua mnasikia terminologies yani 2G, 3G Mara H, H+ au E etc, Je, maana yake ni nini kwenye network? Kwa kifupi ni speed zinazotumika kusafirisha data kwenye internet ambapo...
36 Reactions
80 Replies
21K Views
Simu Yako ni Silaha Dhidi Yako Jinsi Namba ya Simu, Spyware, na Serikali Zinavyotumika Kukudhibiti Bila Wewe Kujua By Its MalekoGJ Mara ya mwisho uliwaza nini kuhusu usalama wa simu yako? Wengi...
6 Reactions
4 Replies
1K Views
💡 Kama unakumbuka Mwaka 2021 𝗟𝗚 iliweza kufanya uamuzi wa wa kuacha Soko la kuuza simu za Smartphone Mnamo mwaka 2021, ambapo wakati huo kwa zile brand za toleo la Korea kusini wakaweza kuendelea...
4 Reactions
3 Replies
620 Views
Ndugu zanguni Ni muda sasa sijapost humu kwani nimekua bize sana na kazi Nimekua nikiona na kusikia vijana wakilalamika sana kuhusu ajira. Napenda kuwajuza tu kua moja ya ajira ambazo huhitaji...
5 Reactions
27 Replies
1K Views
Wadau naomba kuuliza juu ya ubora wa mashine za xerox kwa kazi za stationary, au ni mashine gani nyingine Bora ambayo inaprint na kutoa copy kwa rangi?
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa juu ya hili?, Tulizoea ukininua Nokia,au Tecno,au Samsung, wakati wa kuiwasha ,kwenye main screen ya simu lilikuja neno moja tu, TECNO!.
2 Reactions
10 Replies
531 Views
Kama nilivyosema hapo juu, nchi yetu haina access za kununua game kwenye account za PlayStation. Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikitafuta suluhisho la kununua hayo magame. Nasikia ukiwa Tanzania...
2 Reactions
41 Replies
2K Views
Asalaam aleykum Jamiyah, hapo awali kidogo ukinnunua simu dukani ilikuwa ni simu ambayo endapo ni Samsung, Nokia, tecno na kadhalika, wakati wa kuiwasha ilikuwa inakuja nembo halisi ya simu husika...
2 Reactions
7 Replies
770 Views
Soon kampuni ya INFINIX Toka Tanzania itaweza kuachia simu mpya ambayo inasemeka hii ndo itakua simu nyembamba mno Duniani. Ni simu nzuri ya kisasa yenye feature kedede ambapo ina kioo cha mkunjo...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Nipo natumia huduma ya Tigo postpaid, nalipia elf 60 kupata gb 80 kila mwezi (mikataba kwa wateja wapya imebadilika unapewa gb 72) Kifurushi hiki huwa kinajiunga chenyewe kila tarehe 1 ya mwezi...
17 Reactions
33 Replies
4K Views
Kupitia ripoti Mbalimbali simu mpya ya Nothing phone 3 inatarajiwa kuachiwa na kuanza kusambazwa ikiwa na feature kadhaa; ⚡ Kioo 6.7inch LTPO OLED ikiwa na resolution ya 1.5K ✔️ refresh rate ya...
2 Reactions
14 Replies
685 Views
Habarini wadau wa tech jamii Forums napenda kuwatakia maisha mema. Kuna hii simu inaitwa So what S25 Ultra nimejaribu kuiangalia na imenipendeza Sana maana Ina muonekano sawa na Samsung S25 Ultra...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni kampuni ya LG. Kuna maandishi yanasomeka lhd657 january 2023. Nimeifunga ndani kwangu cha ajabu inazidiwa mkito na hizi sabufa za kichina spiano Nimeinunua 700k. Pesa yangu inaniuma sana kwa...
20 Reactions
245 Replies
19K Views
Ni mjadala wa muda mrefu sana huu ambao unahusisha vifurushi tunavyonunua kuisha muda wake. sasa swali ni je mfano ukanunua MB 1000 kwa sh 2000/= na ukatumia MB 200 kifurushi kika expire huwa...
0 Reactions
7 Replies
469 Views
Tech word! Tecno spark 40 iliyozinduliwa June 2025 Ina muonekano (Extnl) sawa na iPhone 17 itakayo toka sep 2025! Je Nani kafanya copy and paste???
1 Reactions
11 Replies
580 Views
Back
Top Bottom