Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Leo nakuletea baadhi ya makosa ambayo yalipelekea Sababu Mbalimbali kampuni au nchi kushindwa kwenye masuala ya Teknolojia ulimwenguni. 1️⃣ Tanzania kushindwa kumruhusu Elon musk Matumizi ya...
1 Reactions
1 Replies
204 Views
Katika dunia ya kidijitali, biashara zinahitaji maandishi mazuri ili kuvutia wateja. Copywriter ni mtu anayebobea katika kuandika maandishi ya kushawishi watu kuchukua hatua fulani — kama kununua...
1 Reactions
5 Replies
658 Views
Msaada iwapo kuna mtu anewai kukutana na changamoto ya account yake kuwa either permanent restricted au temporary restricted nimefanya appeal za rangi zote ila bado wamenishikiria.
0 Reactions
7 Replies
437 Views
Hivi unajua kwenye simu yako unaweza kumpigia mtu simu kupitia wifi sio lazima hutumie line iliyopo kwenye simu yako ?? Najua wengi walikua hawajui hii 👋 Leo nakujuza kupitia @bongotech255...
2 Reactions
3 Replies
615 Views
Wakuu msaada wa kutatua ttzo la led screen inayoonesha mostari ya white picha kufifia na rangi kubadilika.. Mara inakuwa kama dhambarau mara normal... Picha kuonesha imefifia na hata kuganda au...
0 Reactions
22 Replies
14K Views
Habari wakuu naomba mwenye kujua kuweza kulitatua hili tatizo la smart tv yangu ya tcl 55" kuonyesha vimstari vidogo kimlalo (horizontal) Vimstari vipokwa chini na kidogo kwa kati je hili...
2 Reactions
17 Replies
8K Views
SECTION A: FEW POINTS ABOUT GOOGLE PIXEL 8 PRO Hapo juu ni Google Pixel 8 (kushoto) na Google Pixel 8 Pro kulia. Kampuni ya Kimarekani ya Google wametoa Google Pixel 8 series juzijuzi tu na...
26 Reactions
80 Replies
13K Views
Wakuuu nakuja kwenu nataka kununua sumsang A35 oringal full box,Niko dar maduka Gani wanauza samsung original
3 Reactions
32 Replies
2K Views
🔬 Title: Nodal and Least-Cost Analysis on the Optimization of Natural Gas Production System Constraints to Extend the Plateau Rate of a Conceptual Gas Field 📘 Published in: Geoenergy Science and...
0 Reactions
0 Replies
300 Views
Ninafikiria nitakapokuwa na makazi yangu ya kudumu niwe na chanzo cha nishati ya kupikia ya biogass (nimeshindwa kupata kiswahili chake), ila sina maarifa ya kutosha kuhusiana na chanzo hiki dhidi...
2 Reactions
37 Replies
19K Views
DNS Ad-Blocking Provider Analysis Provider Comparison Table Provider Primary/Secondary IPv4 Primary/Secondary IPv6 Ad-Blocking Efficacy Summary Privacy Policy Summary AdGuard DNS Primary...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
Kampuni ya Xiaomi mara nyingi inakua ndo miongoni mwa brand za mwanzo sio za Google kuweza kutoa mfumo mpya wa Uendeshaji wa Android (Os) kwa vifaa vyake. Tayari Kampuni ya Xiaomi imeshatoa...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakuu naomba mnipe mwongozo wa simu ambayo angalau inaweza nisaidia kupiga picha nzuri za kupost mtandaoni bidhaa za duka walau nikapata quality inayokubalika kwa bajeti hiyo, asante!
2 Reactions
18 Replies
1K Views
HATARI TATU KUBWA ZA KIUSALAMA NA UTENDAJI NDANI YA SIMU ZA ANDROID – NA NAMNA YA KUZIKABILI KITAALAMU Imeandikwa na Goodluck Maleko J Katika dunia ya sasa ya kidigitali, simu janja (smartphones)...
2 Reactions
0 Replies
382 Views
Wasalaam wakuu, Uzi huu utumike kupashana habari kuhusu epson printers, iwe ushauri, au kutatua matatizo mbalimbali ya hizi printer, basi taarifa zake zikusanyike hapa kuwasaidia watumiaji wengi...
4 Reactions
229 Replies
37K Views
Unataka kipato cha pembeni bila kuwa na ujuzi mkubwa wa teknolojia? Karibu kwenye ulimwengu wa Canva — zana rahisi inayokuwezesha kutengeneza miundo mizuri na kuuza huduma zako mtandaoni au kwa...
1 Reactions
0 Replies
533 Views
FAHAMU KWA UNDANI IP ADDRESS NI NINI NA INA UMUHIMU GANI KATIKA MTANDAO? Huwezi kuwasiliana kwenye intaneti bila ‘kitambulisho’. IP address ndicho kitambulisho hicho kimya, lakini cha msingi...
3 Reactions
4 Replies
749 Views
Kwanini teknolojia hii inafeli kwenye ubongo, ninamaanisha tunataka tufanye cloning ya mr X ili aweze kufanana na clone ya ubongo wake, kwa kila kitu
1 Reactions
0 Replies
298 Views
Taasisi ya Teknolojia Dar es salaam (DIT), ina mpango wa kurusha satellite 📡 yake ya kwanza angani ikiwa ni hatua inayotokana na kuongezeka kwa ujuzi , ubunifu na Teknolojia. Chuo cha DIT...
4 Reactions
37 Replies
2K Views
Kama unatafuta Social media manager nipo Dar es salaam, Mbezi - nasimamia mitandao ya kijamii pia naweza kusimamia tovuti (website) Facebook Instagram Twitter TikTok Na mitandao...
1 Reactions
2 Replies
244 Views
Back
Top Bottom