Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Unahitaji social media manager? nitakuwa natengeneza simple poster kuweka posts kwenye account kusimamia akaunti na mengineyo Mawasiliano: 0756704145 Eneo: Dar es salaam, Mbezi
0 Reactions
7 Replies
451 Views
Nazani bado unajiuliza maswali Mengi kuhusu simu hii ambayo inaitwa Samsung Galaxy Note 20 Ultra. iliyotoka mwaka 2020 ikiwa na uwezo mkubwa wa Hali ya juu , muonekano wa kipekee na Teknolojia ya...
1 Reactions
3 Replies
575 Views
Epson hata nimeitumia kidogo sana kwa matumizi ya ndani ina wino ndani haujatumika hata asilimia 90 na bado chupa nyeusi nyingine imejaa. Bei 350000 tunazungumza. Delivery around dsm.
0 Reactions
0 Replies
156 Views
Nilihitaji nifute ID ya Internet Money(ambayo natumia) , ila sijaweza. Au kama naweza kupata usaidizi jinsi ya kubadilisha ID
1 Reactions
5 Replies
278 Views
CHATGPT Bingwa wa AI !!!! 💭 Je Unapenda kubadilisha Picha yako kuwa kwenye muundo wa Katuni ?? Wengi wanakuambia nitatumia sijui adobe Photoshop? Cartoon maker ?? Hapana 👎🏾, unaweza...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa mara ya kwanza, China imeandaa mechi ya soka inayochezwa na roboti wa umbo la binadamu (humanoid robots) wanaojiendesha kikamilifu kwa kutumia akili bandia (AI), bila msaada wa binadamu wakati...
0 Reactions
1 Replies
650 Views
Habarini wadau naomba support yenu kufollow our insta Account 🙏🏾 hapo kwenye picha AU Bonyeza link hii kuingia https://www.instagram.com/7spares?igsh=bWx5dDB5c3BqazU5 Nashukuru kwa Mda wenu...
1 Reactions
2 Replies
213 Views
💻 Nilianza na simu yangu. Sio laptop. Wakati nikiwa chuoni, nilikuwa natumia simu yangu kujifunza HTML na CSS kupitia w3schools na tutorials za YouTube. Nilitengeneza web pages ndogo ndogo...
5 Reactions
12 Replies
800 Views
Wapenzi wa Movie Kuna movie ya zamani Sana Tom Cruise kijana mdogo inaitwa The Color of money,. Story,Kuna mzee ujana wake alikua fundi Sana wa kucheza Pool table alikua maarufu na ndoto yake aje...
30 Reactions
61 Replies
4K Views
Habarin wana jamii forum nina pesa zangu zipo huko neteller ni dollar kadhaa na nina shida nazo nataka nizitoe fasta shida ni kwamba kwa tanzania ni only to bank hakuna mobile network. Na ubaya...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Welcome all to PayPal withdrawal help. Inbox me asap.
2 Reactions
5 Replies
450 Views
Kila mtu ana maarifa kwa asili yake na kwa maisha yake mwenyewe , ila siyo kila mtu atakuthamini kutokana na maarifa uliyo nayo, mtu/watu wa/ajuaye kuhusu uzito,upana na undani wa maarifa yako...
1 Reactions
0 Replies
219 Views
Najua watu wengi tumeutizama mzigo wa squid game unaelewa jinsi ulivyo wa kibabe au Kuna MTU wa kupinga [emoji6]!! Sasa Netflix wamekuja kivinge kabisa ile series Yao ya 𝐒𝐪𝐮𝐢𝐝 𝐆𝐚𝐦𝐞 wameamua...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
1/ Katika kipindi hiki cha maendeleo ya kiteknolojia, tunahitaji kujadili kwa kina: Ni chuo gani nchini Tanzania kinachofanya vizuri zaidi katika kufundisha IT kwa vitendo na kuzalisha vijana...
2 Reactions
83 Replies
4K Views
Inawezekana mwezi huu kabla hujafikia tamati basi Tecno wanaweza kukuletea simu mpya yenye uwezo wa kujikunja mara Tatu yani Tripple - Fold smartphone. Simu hii itakua ni toleo la muendelezo...
0 Reactions
11 Replies
575 Views
HABARI WADAU, Kichwa kinajieleza, nimejaribu kutafiti nikabaini Google inc ambao ndio wamiliki wa Android wameblock whatsapp na Youtube kwenye Android 7 kushuka chini, japokuwa whatsapp wenyewe...
1 Reactions
8 Replies
772 Views
Siku hizi kwenye mabenki, mashirika, apps, kusajili line, n.k. wanahitaji kupiga picha ya vidole kwa kamera badala ya kugandamiza kidole kwenye kifaa cha biometric. Hili linaibua wasiwasi mkubwa...
0 Reactions
8 Replies
608 Views
Kichwa cha thread cha husika,natafuta site isiyo ya kulipia,itakayokuwa inaniwezesha kubadili still picture kuwa AI Video.Natanguliza shukrani
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Wakuu habari za wakati nime create social media chat app link hapo chini kujaribu https://six-app-3789b.web.app Mods msifute uzi wangu huu
2 Reactions
6 Replies
375 Views
Laptop Yako Inaweza Kuibiwa Bila Kuguswa – Ukweli wa Remote Access Unaofichwa na Wataalamu" By ITS MALEKOGJ Je, umewahi kujiuliza kama kuna mtu anaweza kutumia laptop yako bila wewe kujua? Je...
3 Reactions
1 Replies
418 Views
Back
Top Bottom