Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu naomba mnipe mwongozo wa simu ambayo angalau inaweza nisaidia kupiga picha nzuri za kupost mtandaoni bidhaa za duka walau nikapata quality inayokubalika kwa bajeti hiyo, asante!
2 Reactions
18 Replies
1K Views
HATARI TATU KUBWA ZA KIUSALAMA NA UTENDAJI NDANI YA SIMU ZA ANDROID – NA NAMNA YA KUZIKABILI KITAALAMU Imeandikwa na Goodluck Maleko J Katika dunia ya sasa ya kidigitali, simu janja (smartphones)...
2 Reactions
0 Replies
354 Views
Wasalaam wakuu, Uzi huu utumike kupashana habari kuhusu epson printers, iwe ushauri, au kutatua matatizo mbalimbali ya hizi printer, basi taarifa zake zikusanyike hapa kuwasaidia watumiaji wengi...
4 Reactions
229 Replies
37K Views
Unataka kipato cha pembeni bila kuwa na ujuzi mkubwa wa teknolojia? Karibu kwenye ulimwengu wa Canva — zana rahisi inayokuwezesha kutengeneza miundo mizuri na kuuza huduma zako mtandaoni au kwa...
1 Reactions
0 Replies
485 Views
Aliyeunda VLC Media Player aliwahi kupewa ofa ya mamilioni ya dola ili aiuze programu hiyo, ambayo ingegeuzwa kuwa ya kulipia na yenye matangazo. Lakini alikataa! akaamua ibaki bure kwa watumiaji...
8 Reactions
17 Replies
763 Views
FAHAMU KWA UNDANI IP ADDRESS NI NINI NA INA UMUHIMU GANI KATIKA MTANDAO? Huwezi kuwasiliana kwenye intaneti bila ‘kitambulisho’. IP address ndicho kitambulisho hicho kimya, lakini cha msingi...
3 Reactions
4 Replies
691 Views
Kwanini teknolojia hii inafeli kwenye ubongo, ninamaanisha tunataka tufanye cloning ya mr X ili aweze kufanana na clone ya ubongo wake, kwa kila kitu
1 Reactions
0 Replies
281 Views
Taasisi ya Teknolojia Dar es salaam (DIT), ina mpango wa kurusha satellite 📡 yake ya kwanza angani ikiwa ni hatua inayotokana na kuongezeka kwa ujuzi , ubunifu na Teknolojia. Chuo cha DIT...
4 Reactions
37 Replies
1K Views
Kama unatafuta Social media manager nipo Dar es salaam, Mbezi - nasimamia mitandao ya kijamii pia naweza kusimamia tovuti (website) Facebook Instagram Twitter TikTok Na mitandao...
1 Reactions
2 Replies
221 Views
Maendeleo ya Teknolojia yanazidi kwenda Kasi ulimwenguni huku Tanzania kuleta Mabadiliko kadhaa kwenye sekta ya Tehama nchini. Kuna mambo mengi Tanzania inakwenda kufanya mwaka 2026 ambapo...
0 Reactions
4 Replies
790 Views
Habarini Za Mchana Huu , Poleni na majukumu , nimekuja kwenu WanaIT mnisaidie swala hili , maana swala hili limenishinda kwa kutumia mawazo yangu pekee. Majuzi kuna Hp Chromebook Ram 4 na...
0 Reactions
4 Replies
448 Views
Nazani umeshawahi kuliona neno ili LTE au LTE+ kwenye simu wakati umeshawa data unalikuta liko juu karibu na Alama hii 📶 kwenye simu yako. Unajua kwanini bando lako linakwisha haraka tu👋 Leo...
1 Reactions
11 Replies
614 Views
Wakuu, samahini nilikuwa naomba niuliza kwa wanaojuwa kati ya hizi programming skills job. 1. Full stack web developer, 2. Block chain developer, 3. Machine learning and Artificial intelligenece...
0 Reactions
5 Replies
900 Views
Wafanya biashara na wajasiria mali wengi Tanzania wanashindwa kutumia au wana chukulia wepesi kiungo hiki muhimu kwenye biashara na kampuni unapojitanabaisha kuwa wewe ni kampuni au biashara...
0 Reactions
3 Replies
281 Views
Habari wadau nataka ninunue simu mojawapo kati ya izi samsung a32 au redmi note 10 naomba ushauri nichukue ipi cc Chief-Mkwawa
3 Reactions
90 Replies
15K Views
Habari, Ni muda sasa nimekuwa nikifungiwa WhatsApp hadi natamani kuifuta kabisa, kila niki submit wanaifungua baada ya masaa 24 kisha haimalizi at a dakika 5 inafungiwa tena naomba msaada.
3 Reactions
60 Replies
3K Views
Unahitaji social media manager? nitakuwa natengeneza simple poster kuweka posts kwenye account kusimamia akaunti na mengineyo Mawasiliano: 0756704145 Eneo: Dar es salaam, Mbezi
0 Reactions
7 Replies
449 Views
Nazani bado unajiuliza maswali Mengi kuhusu simu hii ambayo inaitwa Samsung Galaxy Note 20 Ultra. iliyotoka mwaka 2020 ikiwa na uwezo mkubwa wa Hali ya juu , muonekano wa kipekee na Teknolojia ya...
1 Reactions
3 Replies
574 Views
Epson hata nimeitumia kidogo sana kwa matumizi ya ndani ina wino ndani haujatumika hata asilimia 90 na bado chupa nyeusi nyingine imejaa. Bei 350000 tunazungumza. Delivery around dsm.
0 Reactions
0 Replies
155 Views
Nilihitaji nifute ID ya Internet Money(ambayo natumia) , ila sijaweza. Au kama naweza kupata usaidizi jinsi ya kubadilisha ID
1 Reactions
5 Replies
278 Views
Back
Top Bottom