Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kichwa cha thread cha husika,natafuta site isiyo ya kulipia,itakayokuwa inaniwezesha kubadili still picture kuwa AI Video.Natanguliza shukrani
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Wakuu habari za wakati nime create social media chat app link hapo chini kujaribu https://six-app-3789b.web.app Mods msifute uzi wangu huu
2 Reactions
6 Replies
377 Views
Laptop Yako Inaweza Kuibiwa Bila Kuguswa – Ukweli wa Remote Access Unaofichwa na Wataalamu" By ITS MALEKOGJ Je, umewahi kujiuliza kama kuna mtu anaweza kutumia laptop yako bila wewe kujua? Je...
3 Reactions
1 Replies
419 Views
Hello wanajukwaa natumai ni wazima wa afya! Nachukua fursa hii kuomba wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja, utundu na yale yote yaliyomo ndani ya...
41 Reactions
7K Replies
816K Views
Nataka kuingia ESS portal ila Kila nikilog in Kuna Ujumbe ukakuja kuwa check your internet connection hali ya kuwa nipo online na GB za kutosha.. Unahidi itakuwa ni noni tatizo mdau..,?
0 Reactions
3 Replies
168 Views
Wakuu msaada ,simu aina ya samsung s21 imetoa mistari kwenye kioo
2 Reactions
27 Replies
1K Views
o3 vs o4-mini: Comparing OpenAI's High Reasoning Models for Coding Both o3 and o4-mini are part of OpenAI's specialized "o-series" reasoning models released in 2025, designed to excel at complex...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Watumiaji wa Samsung kupitia toleo jipya la one User interface version UI 7 ni muhimu Kufanya marekebisho mapya ila kuipa usalama kifaa chako kwa upande wa betri. Simu za Samsung na android...
3 Reactions
5 Replies
552 Views
nishasanuka!!!! Endeleeni ku’gatekeep!! Now ni kudownload hela tu🔥🔥🔥🔥
3 Reactions
18 Replies
681 Views
Wakuu kwema? Nina budget ya 1.2M nahitaji TV isiyozidi 55 inches. Chaguo lipi zuri kati ya Sony, LG, Samsung, TCL na Hisense. Ikipendeza na Model pia
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu na wapenzi wa Tecnolojia. Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo hilo hapo pichani, ninatumia program kadhaa za kufungua mitandao kwenye simu,Bypass FRP na kadhalika Changamoto kuu ni...
2 Reactions
14 Replies
831 Views
Wakuu wa Tech inakuaje....!? Wakuu na amini tunatofautiana uwezo kimapato wapo wanaomudu gharama za kulipia AC nikiwa nacheki Youtube review za AC nakuta kwa 24Hrs ngoma imebeba Units kama 20 hivi...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
JE, UNAJUA KAMA SMART TV YAKO INA KAMERA YA SIRI? Katika kipindi hiki cha teknolojia ya kisasa, karibu kila kifaa cha nyumbani kimeunganishwa na intaneti – kuanzia simu, friji, hadi televisheni...
8 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari, naomba wataalam mniweke mwangani juu ya kufanya trading kwa kutumia Robots, je kuna faida gani? kuna hasara gani? Kununua Robot mfano kutoka Royal Q kunaweza kuwa na utapeli wowote? Je...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Nimetumia mtkclient na mtk bypass utility zote zinasema zime succeed ila bootloader bado ipo locked,ssimu ni oppo A53S 5G Model CPH2321
1 Reactions
1 Replies
216 Views
Watumiaji wa iphone wana kautindio flani hivi nimeona kwa watu kumi na hii ndiyo researvh finding yangu
5 Reactions
35 Replies
1K Views
Ikiwa, Unatamani kujifunza Tehama kwa umahili Karibu katika Group hili, Jiku Tech Tips Maarifa Mtandaoni ni Mengi na yanatosha, Miongozo ndio Hakuna, Utapata Muongozo sahihi wa kujifunza Tehama...
1 Reactions
3 Replies
380 Views
Wajuvi wa mambo, Kama heading inavyosema. Hivi, hapa Dar/Tz duka gani huuza vifaa vya elektoniki mfano simu, kompyuta , camera, n.k. halisi kabisa? Yani ninunue, niweze kusajili kifaa changu...
1 Reactions
5 Replies
352 Views
Habarini, naomba kujuzwa katika hizi flat screen za wananchi wa kipato cha kawaida, ni ipi bora kuliko zingine? -Star-X tv -Aborder tv -Sundar tv Hapa siongelei zile za kibosile kama Sony, LG na...
3 Reactions
108 Replies
29K Views
Wakati dunia imeshikwa na sonny, LG, Samsung na Sonny kwa kipindi kirefu… huku wakitamba na vifaa vyao konki na bora duniani…. JBL pia alikuepo sokoni. Ila hakuwa na vifaa vingi vya kushika soko...
13 Reactions
101 Replies
5K Views
Back
Top Bottom