Samsung A5 Kuzima inapopata ubaridi

Samsung A5 Kuzima inapopata ubaridi

SIM

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2011
Posts
1,796
Reaction score
1,309
Habari zenu wakuu, kwa wataalam wa simu nina Simu Ya Samsung A5 inajizima inapopata ubaridi sana sana nyakati za usiku na ikashajizima inasumbua kuwaka yani nikiiwasha inaishia kwenye logo ya Samsung na kujizima. Na haiwaki tena mpaka niiweke sehem yenye joto ipate joto ndio iwake. Kwa waatalam wa simu shida inaweza kuwa ni nini hapa.
 
Wakuu nasubiri msaada wenu
 
Habari zenu wakuu, kwa wataalam wa simu nina Simu Ya Samsung A5 inajizima inapopata ubaridi sana sana nyakati za usiku na ikashajizima inasumbua kuwaka yani nikiiwasha inaishia kwenye logo ya Samsung na kujizima. Na haiwaki tena mpaka niiweke sehem yenye joto ipate joto ndio iwake. Kwa waatalam wa simu shida inaweza kuwa ni nini hapa.
Cc: Chief-Mkwawa
 
  • Thanks
Reactions: SIM
Habari zenu wakuu, kwa wataalam wa simu nina Simu Ya Samsung A5 inajizima inapopata ubaridi sana sana nyakati za usiku na ikashajizima inasumbua kuwaka yani nikiiwasha inaishia kwenye logo ya Samsung na kujizima. Na haiwaki tena mpaka niiweke sehem yenye joto ipate joto ndio iwake. Kwa waatalam wa simu shida inaweza kuwa ni nini hapa.
Haupo Tanzania mkuu?

Ni kawaida kwa battery kujizima na kusababisha simu izimike au mwanga wa simu kuwa mdogo pale baridi inapokuwa kali sana, hapa tunazungumzia ile baridi ambayo nyuzi zinakuwa negative,
 
Haupo Tanzania mkuu?

Ni kawaida kwa battery kujizima na kusababisha simu izimike au mwanga wa simu kuwa mdogo pale baridi inapokuwa kali sana, hapa tunazungumzia ile baridi ambayo nyuzi zinakuwa negative,
Mkuu ninavSamsung S7 ilipata UFA kidogo sana nyuma ya Simu lakini cha Ajax UFA unaongezeka kila siku Tatizo nini
 
Mkuu ninavSamsung S7 ilipata UFA kidogo sana nyuma ya Simu lakini cha Ajax UFA unaongezeka kila siku Tatizo nini
hio ndio tabia ya ufa, ukitokea hauwi hivyo hivyo utakuwa hadi ufikie mwisho.
 
Haupo Tanzania mkuu?

Ni kawaida kwa battery kujizima na kusababisha simu izimike au mwanga wa simu kuwa mdogo pale baridi inapokuwa kali sana, hapa tunazungumzia ile baridi ambayo nyuzi zinakuwa negative,
Mkuu baridi ni ya kawaida tu ya hapa TZ
 
iyo ni samsung ni mpya au ina muda gani wa matumizi? ulinunua direct mwenyewe kutoka dukani au ulinunua mkononi kwa mtumiaji mwingine? ulinunua wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom