Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nauliza hiki kifaa aliewahi kukitumia anipe uzoefu wake je unlimited yake ni ya kweli tofauti na airtel ambao wanabana speed ukizidisha matumizi
2 Reactions
18 Replies
752 Views
Guys kwema! Sorry, I'm looking for a forum special for discussing bugs and giving suggestions on the jamii forums app. Thanks.
1 Reactions
4 Replies
285 Views
DNS ni Nini na Inafanyaje Kazi? By MALEKOGJ Unapofungua browser na kuandika “x.com” au “google.com”, Laptop yako haiifahamu jina hilo kama lilivyo. Inahitaji anwani ya IP (mfano...
5 Reactions
4 Replies
624 Views
Habari wadau, Kuna haya yanayaoendelea huko duniani hususani matumizi ya AI katika kutengeneza applications, softwares na programs mbalimbali. Dhumuni la uzi huu ni kupata mchango na kushare nini...
6 Reactions
36 Replies
1K Views
Watu wengi wamekuwa wakijiuliza ni simu gani nzuri kununua kwa bei ndogo, kwa hiyo thread hii itakuonesha simu 5 za kununua kama budget yako ni chini ya laki 4 na simu 5 za kununua kama budget...
38 Reactions
80 Replies
44K Views
Unafikiria Unatumia Browser? Kumbe Browser Ndio Inakutumia Wewe Hii Ndio Njia Pekee ya Kujilinda Kabla Hujaibiwa Kila Kitu Kwenye zama za taarifa, kivinjari chako ni mlango wa fahamu zako na pia...
0 Reactions
2 Replies
250 Views
Habari za muda ndugu wa JamiiForums Naenda moja kwa moja. Huwa natamani sana na mimi kufanya bolding ya maneno whatsap au humu ila huwa siwezi. Naomba mwenye uzoefu anielekeze. Alafu pia maneno...
18 Reactions
3K Replies
240K Views
Nimejaribu zaidi ya lisaa lizima kuingia YouTube ila inagoma. Baada ya kuwasha VPN mambo yanafanya kazi. Mwezi mmoja kabla niliona trend videos za YouTube kama zipo tofauti na kawaida. Sijui ni...
1 Reactions
14 Replies
882 Views
Wakuu mimi si mpenzi wa pixel, iphone na Samsung lakini najikuta nataka kuchukua tu, Sina namna majuzi nimetafuta simu nzuri yenye kamera kali kila tukilinganisha na pixel basi pixel kiwembe...
4 Reactions
55 Replies
20K Views
Windows Yako Inagoma Baada ya Update? Hii Ndio Njia ya Kuitibu Kwa Dakika 2 — Bila Fundi, Bila Panic Watumiaji wa Windows 11 24H2, kama kompyuta yako imeanza kuonyesha Blue Screen of Death (BSOD)...
1 Reactions
2 Replies
373 Views
Leo nakuletea baadhi ya makosa ambayo yalipelekea Sababu Mbalimbali kampuni au nchi kushindwa kwenye masuala ya Teknolojia ulimwenguni. 1️⃣ Tanzania kushindwa kumruhusu Elon musk Matumizi ya...
1 Reactions
1 Replies
192 Views
Katika dunia ya kidijitali, biashara zinahitaji maandishi mazuri ili kuvutia wateja. Copywriter ni mtu anayebobea katika kuandika maandishi ya kushawishi watu kuchukua hatua fulani — kama kununua...
1 Reactions
5 Replies
620 Views
Natamani kujua game ambazo zina ongoza kupendwa na watumiaji wa simu za mkononi Tz... Una game zipi kwenye simu yako?
7 Reactions
85 Replies
12K Views
Msaada iwapo kuna mtu anewai kukutana na changamoto ya account yake kuwa either permanent restricted au temporary restricted nimefanya appeal za rangi zote ila bado wamenishikiria.
0 Reactions
7 Replies
416 Views
Do you think that printed advertisement actually works? I'm talking about various brochures and stuff like that.
0 Reactions
3 Replies
638 Views
Hivi unajua kwenye simu yako unaweza kumpigia mtu simu kupitia wifi sio lazima hutumie line iliyopo kwenye simu yako ?? Najua wengi walikua hawajui hii 👋 Leo nakujuza kupitia @bongotech255...
2 Reactions
3 Replies
581 Views
Wakuu msaada wa kutatua ttzo la led screen inayoonesha mostari ya white picha kufifia na rangi kubadilika.. Mara inakuwa kama dhambarau mara normal... Picha kuonesha imefifia na hata kuganda au...
0 Reactions
22 Replies
14K Views
Habari wakuu naomba mwenye kujua kuweza kulitatua hili tatizo la smart tv yangu ya tcl 55" kuonyesha vimstari vidogo kimlalo (horizontal) Vimstari vipokwa chini na kidogo kwa kati je hili...
2 Reactions
17 Replies
8K Views
SECTION A: FEW POINTS ABOUT GOOGLE PIXEL 8 PRO Hapo juu ni Google Pixel 8 (kushoto) na Google Pixel 8 Pro kulia. Kampuni ya Kimarekani ya Google wametoa Google Pixel 8 series juzijuzi tu na...
26 Reactions
80 Replies
13K Views
Wakuuu nakuja kwenu nataka kununua sumsang A35 oringal full box,Niko dar maduka Gani wanauza samsung original
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Back
Top Bottom