Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

In addition, we see many traits of A.I,reflected in the future age that will prevail. Its main characteristic will be independence, and everything else will follow. Marriage and family as...
2 Reactions
0 Replies
525 Views
Tabia 7 Zinazoiharibu Kompyuta Yako Bila Wewe Kujua Na MALEKOGJ Kama muuzaji na mtaalamu wa kompyuta, kila siku napokea simu, ujumbe na laptop zilizokufa ghafla. Na mara nyingi si kwa sababu ya...
2 Reactions
2 Replies
420 Views
Jinsi ya Kuongeza Muda wa Betri ya Laptop Yako Betri ya laptop mara nyingi huwa changamoto, hasa pale unapokuwa safarini au mbali na umeme. Habari njema ni kwamba kuna njia rahisi za kuongeza muda...
0 Reactions
0 Replies
381 Views
Jinsi ya Kuongeza Muda wa Betri ya Laptop Yako Betri ya laptop mara nyingi huwa changamoto kubwa, hasa pale unapokuwa safarini au mbali na chanzo cha umeme. Habari njema ni kwamba kuna njia rahisi...
0 Reactions
0 Replies
239 Views
Salama wakuu, Habari za jioni wakuu? Naomba niende straight kwenye point, Nimemnunulia mtoto wangu tablet aina ya Atouch ambayo inatumia android version 13. Sasa bwana hii tablet changamoto kubwa...
0 Reactions
5 Replies
519 Views
Habari. Msaada nawezaje kujiondoa kwenye smartphone niliyounganishwa na mwenza wangu?? Meseji, Voice note zote anazipata kwenye simu yake.Nitajiondoaje Ili asipate taarifa zangu kwenye smartphone...
2 Reactions
6 Replies
583 Views
Hivi ni simu gani model ya Samsung galaxy nzuri yenye uwezo wa kupiga picha, kuitumia kama cctv na mambo mengine kama hayo? Bei yake ni she ngapi? Naomba kujua kwa anayeelewa please.
1 Reactions
3 Replies
728 Views
So kila siku nimekua nikipata zile “bro unajua sana” nakukubali sana , bro unajua blah blah… Lakini ukweli ni kwamba it takes a lot kuwa consistent kushare #MadiniYaGaby. Na si mimi tu — hii...
2 Reactions
3 Replies
379 Views
Wakuu, naweza kutumia E-office kwa simu au ni mpaka kiwe na PC..? kwa wale wanaotumia Government mailing system..
0 Reactions
4 Replies
395 Views
TikTok inakabiliwa na mgomo mkubwa wa wafanyakazi nchini Ujerumani hasa katika ofisi yake ya Berlin Kufuatia uamuzi wa kampuni hiyo wa kuwafuta kazi takriban wafanyakazi 150 kutoka idara ya "Trust...
1 Reactions
3 Replies
495 Views
Kuna Siri nyingi katika Dunia na ulimwengu wote, zilifichwa muda mrefu sana na mataifa machache, lakini muda mrefu ni mrefu kwetu sisi kutokana na ukomo wetu wa muda wa kuishi duniani ila kwa...
2 Reactions
3 Replies
584 Views
Kama kichwa cha uzi kinavyoeleza... nataka kuunda AI Wrapper itakayoelewa lugha za makabila zaidi ya 125 yanayopatikana Tanzania. Ukweli ni kwamba haitawezekana kwa makabila yote kutokana na aina...
0 Reactions
4 Replies
469 Views
Jinsi Wadukuzi Wanavyoficha Malware Kwenye JPG, PDF na Faili Nyingine Kila siku tunabadilishana mafaili kama JPG, PDF na mengineyo bila hofu yoyote. Hata hivyo, ukweli ni kwamba faili...
3 Reactions
3 Replies
447 Views
Kuna kampuni chache duniani ambazo zimeacha alama ya kudumu kwenye historia ya biashara kama Coca-Cola. Ilichotengeneza siyo tu kinywaji, bali ni urithi wa kibiashara unaoendelea kufundisha...
0 Reactions
1 Replies
412 Views
"Torrents zinafanyaje kazi?" Ni swali ambalo wengi wamekuwa wakiuliza, hasa wale wanaodownload filamu, tamthilia, au programu kama Photoshop bila kulipia. Katika uzi huu, nitakueleza kwa kina...
12 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari wana JF, Kuna jambo linanisukuma sana kulileta mezani leo. Mara nyingi jamii huamini kuwa mtu asiyekuwa na uwezo wa kuona hawezi kutumia vifaa vya kidijitali kama smartphone au laptop...
2 Reactions
1 Replies
355 Views
Kwa wale wanaohitaji huduma ya PayPal #unataka KUTUMA au KUPOKEA pesa kupitia PayPal nipo hapa kukurahishia kazi, ni DM tu . TRUST.. 💯✅ Hii ni kwa wale ambao hawana kabisa akaunti PayPal na...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (Tcra) imetoa mwongozo mpya itakayoweza kubadilisha namna ambavyo Watanzania wanavyopata huduma za simu. 🗯️ Mwongozo mpya utoaji wa mawasiliano ya moja kwa moja...
1 Reactions
1 Replies
394 Views
GAMING PC MOTHERBOARD: CVN B460 GAMING FROZEN CORE i5 -10500 12 CPUs (10th GENERATION ) RTX 2060 6GB 16GB RAM (DDR4) 4 Slots 120GB SSD 500GB HDD 520Watt Antec PSU NZXT CASE ORIGINAL LENOVO...
0 Reactions
1 Replies
550 Views
Kweli muda unakimbia sana 🕦, kutoka Kuwa movie mpaka maisha Halisi watu watakua na uwezo wa kufunga ndoa na maroboti wa Ai, na Roboti zitakua na uwezo wa kubeba Mimba. China iko kwenye mpango wa...
0 Reactions
10 Replies
677 Views
Back
Top Bottom