Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Simu tajwa hapo juu zimenivutia maana naona kama zina spec sawa ila zinaachana padogo dogo Redmi nimeipendea camera 50mp oppo 16 Oppo tena nimeipendea yeye ana finger sensor ya pembeni Redmi...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Habarini za jioni ndugu zangu! Nimekuja na uzi huu maalumu kwa "Save for Save" huu ni mtindo unaotumika kuunganisha watu mbalimbali kuwa karibu hasa katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp, ambapo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari za kazi wadau, naombeni mnifahamishe nitakapopata thin clients za ncomputing nazihitaji kwa ajili ya business yangu ndogo. Nimezichagua hizo coz naona zitakuwa less expensive and easy to...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu naomba kujua uhalisia wa bei za simu used Zanzbar, maana nikiangalia kwenye page mbalimbali insta bei yake ndogo Sana mfano Samsung s10+ kwa laki nne. Nilipouliza page moja utaratibu...
3 Reactions
16 Replies
11K Views
Habari za asubuhi wakuu! Husikeni na kichwa cha habari hapo juu, kwa yeyote mwenye link ya gb whatsapp new version naomba anisaidie tafadhali maana whatsapp yangu ime expire kitambo kidogo...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu habari za jioni Laptop aina ya dell nilikuwa nabadili windows,kutoka window7 kwenda window 10. imepotelea hatua Baada ya kubonyeza boot key,nika select usb storage kama kawaida,baada ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Husika na kichwa habari hapo juu. Natafuta hiyo generator isiyotumia mafuta, Kama kuna fundi anaeweza kutengeneza tuwasiliane. Naona India wanazitengeneza nafikiri hata hapa nchini pengine wapo...
1 Reactions
4 Replies
908 Views
Habari wana JF, Naomba kuelekezwa ni app gani naweza download kwa sim yangu ili niweze kuangalia league za ulaya kama EPL/Europa na zinginezo?
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Napenda kuuliza ,mimi nimeingia mkataba na google adsense kutangaza matangazo kwenye blog yangu,na nimeshafikisha dolla 10,wamenitumia pin code,zitachukua siku ngapi kufika Tanzania kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Swali hili watu hujiuliza kwa mda sana nikiwepo na mimi kama kunauwezekano wa kutengeneza kipato kwa kupitia Internet.......... Basi wakat wa zamani kulikua na app nyingi zinazotoa mda wa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari za majukumu ndugu zangu. Nimepewa kazi na shule X, niwatengenezee mfumo ambao wao wataweza kuapload notes matokeo n.k. Lakini pia mwanafunzi awe na uwezo wa kuingia kukoment na kupakua...
0 Reactions
7 Replies
530 Views
Habari wadau ,, naomba niende kwenye mada,, ni siku nne Sasa majina mengi yametoweka ktk sim yangu hasa yaliyokuwa saved ktk email nimepambana kila namna nimefeli msaada pls"
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Naombeni msaada wa kurudisha whatsapp app kwenye simu yangu. Nilibadili number ya account kwa makosa na nilipojaribu kuirudisha tena ikakataa, option niliyoifanya ni ku-uninstall whatsapp ili ni...
0 Reactions
9 Replies
90K Views
Trick mbali mbali za simu Wengi hukumbwa namatatizo katika simu zao ambayo kama yakiachwa basi huaribu mfumo mzima wa simu na kusababisha kukosa mawasiliano ambayo kw adunia ya leo tunayahitaji...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Tecno K7 mwenye kioo aje tuyajenge zingatio me ni fundi bei isiwe ya shop
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari Wakuu, Kuna mwenye idea ya kuweza kutoa hii kitu my website uki acess via chrome browser / google search engine ina display hio message msaada tafadhali.
0 Reactions
3 Replies
515 Views
Habari, Toa ninunue simu yangu nahangaika kuitafuta radio sijaipata. simu yangu ni Oppo A8 Mwenye kufahamu jinsi ya kupata radio (offline) anielekeze jinsi ya kufanya. Asanteni
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu habari ya muda huu? Mwezi March nilinunua laptop aina ya Dell 7480 ikiwa mpya kabisa. Laptop yenyewe ina ram ya 8gb na processor ya iCore 7 na SSD ya 526gb. Nimekuwa nikiitumia kwa shighuli...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Za asubuhi ndugu yangu nauliza kama kuna tangazo la kazi shule za private zinahitaji mwalimu wa chemistry tupeane support Mawasiliano 0625882652
2 Reactions
1 Replies
687 Views
Hi jf Nimenunua pic ya mtumba sasa nataka kuconnect kwa hotspot ila imekuwa changamoto, kama kuna mtu ana ujuzi naomba msaada
2 Reactions
9 Replies
848 Views
Back
Top Bottom