Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,928
- 2,101
Wakuu habari ya muda huu? Mwezi March nilinunua laptop aina ya Dell 7480 ikiwa mpya kabisa.
Laptop yenyewe ina ram ya 8gb na processor ya iCore 7 na SSD ya 526gb.
Nimekuwa nikiitumia kwa shighuli zangu za research na kuangalia muvi kidogo bila matatizo mpaka siku 5 zilizopita.
Awali laptop yangu ilikuwa ikikaa na chaji kwa masaa 8 nikiwa naitumia nje ya umeme lakini kuanzia Jumamosi iliyyopita imekuwa ikipoteza chaji kwa haraka sana. Inaweza kutoka 100% - 20% ndani ya dakika moja tu. Na kuzimika ghafla.
Kilichonipelekea kiandika uzi huu ni kuwa muda huu nilitaka nijaribu kuimaliza chaji yote kisha niichaji ikiwa imezimika nione kama kutakuwa na tofauti, ajabu ni kwamba ikiwa na 1% niliweka movie na kuweka brightness mpaka mwisho ili izimike haraka ila ni zaidi ya lisaa limoja sasa haijazima na wala haijanipatia ujumbe wa batery low.
Pia wakati nikichaji ikiwa kwenye umeme nilikuwa nikisikia mlio kama mluzi kwa mbali ila nikitoa adaptor mlio uliisha.
Naombeni kama kuna mwenye kuelewa kinachoendelea hapa anisaidie nifanye nini.
Laptop yenyewe ina ram ya 8gb na processor ya iCore 7 na SSD ya 526gb.
Nimekuwa nikiitumia kwa shighuli zangu za research na kuangalia muvi kidogo bila matatizo mpaka siku 5 zilizopita.
Awali laptop yangu ilikuwa ikikaa na chaji kwa masaa 8 nikiwa naitumia nje ya umeme lakini kuanzia Jumamosi iliyyopita imekuwa ikipoteza chaji kwa haraka sana. Inaweza kutoka 100% - 20% ndani ya dakika moja tu. Na kuzimika ghafla.
Kilichonipelekea kiandika uzi huu ni kuwa muda huu nilitaka nijaribu kuimaliza chaji yote kisha niichaji ikiwa imezimika nione kama kutakuwa na tofauti, ajabu ni kwamba ikiwa na 1% niliweka movie na kuweka brightness mpaka mwisho ili izimike haraka ila ni zaidi ya lisaa limoja sasa haijazima na wala haijanipatia ujumbe wa batery low.
Pia wakati nikichaji ikiwa kwenye umeme nilikuwa nikisikia mlio kama mluzi kwa mbali ila nikitoa adaptor mlio uliisha.
Naombeni kama kuna mwenye kuelewa kinachoendelea hapa anisaidie nifanye nini.