Mkuu ulifanikiwa ?Sawa, Asante
Mkuu umeeleza juu juu sana. Tusaidie ni browser gani nzuri kwa ku block ads na hiyo "gugo.site" inakuwaje.Kama hutaki kufungiwa kwenye app na kuletewa matangazo tafuta browser nzuri inayoblock matangazo then nenda gugo.site kuangalia mpira HD quality
Hakuna kitu ninachokichukia kama matangazo matangazo!Kama hutaki kufungiwa kwenye app na kuletewa matangazo tafuta browser nzuri inayoblock matangazo then nenda gugo.site kuangalia mpira HD quality
Mkuu umeeleza juu juu sana. Tusaidie ni browser gani nzuri kwa ku block ads na hiyo "gugo.site" inakuwaje.
Wengine sio wataalam mkuu. Asante.
Mchango wako haujawahi feliBrowser yoyote inayobase na Firefox mfano fennec
Ukiingia link shuka chini hadi download apk ina kama mb 69 hivi.
Ukisha download na ku install click menu then addons, weka addons ya ublock origin
Then ingia hii website wakati wa match
Utaangalia kushoto utaona mechi ambazo zipo live chagua unayotaka.
Kama mb za mawazo chagua quality ya 4k, most of time link yake inakuwa na ki gear cha ku chagua quality kuanzia 180p, 240p, 360p mpaka 4k. 180p mpaka 360p ni quality ndogo ambayo mb 500 unaangalia mechi na mb zinabakia.
Mimi pia, nadra sana kutumia app, unless iwe ya kulipia isio na matangazo.Hakuna kitu ninachokichukia kama matangazo matangazo!
Shukrani mkuu. Hapa ninatumia free wifi speed sio chini ya 12mbps so nitaanza ku enjoy tu sasa. Asante sana.Browser yoyote inayobase na Firefox mfano fennec
Ukiingia link shuka chini hadi download apk ina kama mb 69 hivi.
Ukisha download na ku install click menu then addons, weka addons ya ublock origin
Then ingia hii website wakati wa match
Utaangalia kushoto utaona mechi ambazo zipo live chagua unayotaka.
Kama mb za mawazo chagua quality ya 4k, most of time link yake inakuwa na ki gear cha ku chagua quality kuanzia 180p, 240p, 360p mpaka 4k. 180p mpaka 360p ni quality ndogo ambayo mb 500 unaangalia mechi na mb zinabakia.
Mkuu nime download fennec ila imenigomea ku install sijui shida ni nini? Au mpaka simu iwe rooted?Browser yoyote inayobase na Firefox mfano fennec
Ukiingia link shuka chini hadi download apk ina kama mb 69 hivi.
Ukisha download na ku install click menu then addons, weka addons ya ublock origin
Then ingia hii website wakati wa match
Utaangalia kushoto utaona mechi ambazo zipo live chagua unayotaka.
Kama mb za mawazo chagua quality ya 4k, most of time link yake inakuwa na ki gear cha ku chagua quality kuanzia 180p, 240p, 360p mpaka 4k. 180p mpaka 360p ni quality ndogo ambayo mb 500 unaangalia mechi na mb zinabakia.
hapana, imeandikaje ikigoma?Mkuu nime download fennec ila imenigomea ku install sijui shida ni nini? Au mpaka simu iwe rooted?
Mkuu, kuna msaada nimekuomba pm! Ni "MWAKA" sasa, sipati jibu! Natanguliza shukraan!Mimi pia, nadra sana kutumia app, unless iwe ya kulipia isio na matangazo.
Hivi Mobdro bado inafanya kazi?HDTV iko poa ni zaidi ya mobdro
App not installedhapana, imeandikaje ikigoma?