Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

simu yangu kunaa baadhi ya text haisomi inaaleta alama hizi,nimejaribu ku updade lakini tatizo bado ni lilelile,nifanyeje Simu samsung galaxy j7 prime.
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Nimebadili simu, Ila magrup yote ya whatsap hayapo. Kwa anayejua, naomba msaada wa kuelekezwa namna yakuyarudisha.
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Nimebadili simu,ila magrup yote ya whatsap hayapo.Kwa anayejua,naomba msaada wa kuelekezwa namna yakuyarudisha.
0 Reactions
0 Replies
698 Views
(NB: UKITUMIA DAKIKA 7 KUTULIA NA KUSOMA NAKALA HII MPAKA MWISHO, UTAKUWA UMEONDOKA NA JAMBO KUBWA SANA LA KUBADILI BIASHARA YAKO MTANDAONI) Moja ya sababu kubwa website nyingi za biashara...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Incredible Technology: How to Bring Extinct Animals Back to Life Like Dislike Edit content preferences Done Tanya Lewis, Staff...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari Wakuu. Naomba mwenye Adobe Acrobat DC au sehemu ambayo naweza dowload sihitaji Adobe Acrobat X Pro
1 Reactions
1 Replies
990 Views
Binafsi mara kwa mara huwa napenda kutumia laprop kitandani, sasa unakuta latptop inakuwa yamoto si mchezo kwenye upande wa feni na hii huwa naona kabisa ni tatizo kwa laptop. Tunawezaje kutatua...
1 Reactions
3 Replies
847 Views
Simu tajwa hapo juu zimenivutia maana naona kama zina spec sawa ila zinaachana padogo dogo Redmi nimeipendea camera 50mp oppo 16 Oppo tena nimeipendea yeye ana finger sensor ya pembeni Redmi...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Habarini za jioni ndugu zangu! Nimekuja na uzi huu maalumu kwa "Save for Save" huu ni mtindo unaotumika kuunganisha watu mbalimbali kuwa karibu hasa katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp, ambapo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari za kazi wadau, naombeni mnifahamishe nitakapopata thin clients za ncomputing nazihitaji kwa ajili ya business yangu ndogo. Nimezichagua hizo coz naona zitakuwa less expensive and easy to...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu naomba kujua uhalisia wa bei za simu used Zanzbar, maana nikiangalia kwenye page mbalimbali insta bei yake ndogo Sana mfano Samsung s10+ kwa laki nne. Nilipouliza page moja utaratibu...
3 Reactions
16 Replies
11K Views
Habari za asubuhi wakuu! Husikeni na kichwa cha habari hapo juu, kwa yeyote mwenye link ya gb whatsapp new version naomba anisaidie tafadhali maana whatsapp yangu ime expire kitambo kidogo...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu habari za jioni Laptop aina ya dell nilikuwa nabadili windows,kutoka window7 kwenda window 10. imepotelea hatua Baada ya kubonyeza boot key,nika select usb storage kama kawaida,baada ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Husika na kichwa habari hapo juu. Natafuta hiyo generator isiyotumia mafuta, Kama kuna fundi anaeweza kutengeneza tuwasiliane. Naona India wanazitengeneza nafikiri hata hapa nchini pengine wapo...
1 Reactions
4 Replies
908 Views
Habari wana JF, Naomba kuelekezwa ni app gani naweza download kwa sim yangu ili niweze kuangalia league za ulaya kama EPL/Europa na zinginezo?
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Napenda kuuliza ,mimi nimeingia mkataba na google adsense kutangaza matangazo kwenye blog yangu,na nimeshafikisha dolla 10,wamenitumia pin code,zitachukua siku ngapi kufika Tanzania kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Swali hili watu hujiuliza kwa mda sana nikiwepo na mimi kama kunauwezekano wa kutengeneza kipato kwa kupitia Internet.......... Basi wakat wa zamani kulikua na app nyingi zinazotoa mda wa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari za majukumu ndugu zangu. Nimepewa kazi na shule X, niwatengenezee mfumo ambao wao wataweza kuapload notes matokeo n.k. Lakini pia mwanafunzi awe na uwezo wa kuingia kukoment na kupakua...
0 Reactions
7 Replies
530 Views
Habari wadau ,, naomba niende kwenye mada,, ni siku nne Sasa majina mengi yametoweka ktk sim yangu hasa yaliyokuwa saved ktk email nimepambana kila namna nimefeli msaada pls"
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Naombeni msaada wa kurudisha whatsapp app kwenye simu yangu. Nilibadili number ya account kwa makosa na nilipojaribu kuirudisha tena ikakataa, option niliyoifanya ni ku-uninstall whatsapp ili ni...
0 Reactions
9 Replies
90K Views
Back
Top Bottom