Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Angalia maajabu ya Samsung Galaxy S22 Ultra. Kwa teknolojia ya kisasa ya kamera ujue hakuna usiri tena. Unaweza kufanya jambo ukiamini hakuna anaekuona kumbe mtu yuko kilomita kadhaa...
5 Reactions
82 Replies
10K Views
Wanajamii Tech ningependa kujua jinsi ya kuwa software developer kwa kujifunza mwenyewe I mean language (s) course, resources n.k Pia kwa hapa nchini naona community iko ndogo Sana sijui ndo kuwa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za majukumu ni muda sasa nimekuwa nikijihusisha na maswala ya ufundi simu ila upande wa software pekee sasa nahitaji kuingia rasmi kwenye maswala ya hardware nahitaji kujua ni vifaa vipi...
4 Reactions
40 Replies
10K Views
A.Alaykum Kwa kuwasaidia, ikiwa mtu hataki hizi picha za humu ndani zinazotumwa zisiingie Gallery kujaza gallery. Nenda kwenye option juu kwenye jina la group mkono wa kulia, utaona dots 3...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Kumekuwa na katabia fulani ka kusubiri flagship zilizotolewa miaka 2 au 3 nyuma zishuke bei zifikie bei ambayo ni affordable ndipo mtu anunue. Hili linakuja na changomoto kadhaa. Kwa mfano...
3 Reactions
38 Replies
5K Views
NAOMBENI MSAADA WAKUU. Natanguliza shukrani. Habari ya Weekend? Baada ya kutoangalia Movie kwa kipindi kirefu sana Cha miaka mi Tano 5. Weekend hii nimejaribu kutafuta movie na kukwama PAKUBWA...
0 Reactions
8 Replies
877 Views
Habari wakuu, Naomba kusaidiwa imetokea nimefuta chatting zangu zotee za WhatsApp ambazo baadhi zilikuwa na umuhimu sana na nilikuwa nikizitumia kama kumbukumbu incase zikihitajika mfano...
1 Reactions
6 Replies
859 Views
Hii Slot nimeona kwenye TV Yangu Aina ya LG Lakini Hadi Sasa Sijajua Matumizi Yake Wenye Ufahamu ni Slot ya PCMCIA Atupe Muongozo
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nimenunua Infinix smart 6 ya 2/64GB pamoja na kujaribu kufanya settings ili ikae 4G Haikubali ,sijajua nifanyeje ingawaje ndani ya Simu inaonekana inayo 4g kubwa zaidi laini zangu...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kampuni ya electroniki Sony wako makini sana kwenye bidhaa zao. Japo situmii simu ya Sony kutokana upatikanaji wake lakini ninapenda sana apps zake mbili. Yaani Gallery yake na kicheza musiki...
6 Reactions
83 Replies
9K Views
Wakuu! Nilikua naomba kujua ubora wa hii simu [Nothing phone 1] ukilinganisha na A51
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari wakuu. Kwa android app. Ni alternatives zipi za kuchapisha na kupakua apps?
0 Reactions
4 Replies
608 Views
Poleni na majukumu.. Wadau bila shaka baadhi yenu mnatumia hizi flat screen za Moelectro, naombeni kujuzwa ubora wake.
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Habari wakuu, Naomba msaada wa installation ya windows (10 preferably; ila nikipata nyingine siyo mbaya). Baada ya windows nahitaji drivers zote muhimu. Naweza kukufuata popote ulipo Arusha...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Je ni apps gani bora ya kuplay music offline yenye Equalizer nzuri kwa simu janja kati ya hizi Poweramp Music Player, N7 player, NRG player & Jet audio player!!? Kwangu poweramp music player...
4 Reactions
41 Replies
8K Views
Kampuni ya Apple, imeweka rekodi ya kuwa na thamani kubwa kuliko kampuni za Alphabet (Google), Meta na Amazon - ukizichanganya kwa pamoja. Yaani ukichukua Market Cap ya Amazon, Meta na Alphabet...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, Natafuta Flutter App developer wa kutengeneza 1. Main App 2. Partners app 3. Admin panel Hzo app mbili (moja ni kwa ajili ya users, yapili ni kwa ajili ya Partners , kama Uber...
2 Reactions
6 Replies
993 Views
Hello bosses..... Kwanza niseme tu mimi ni tech enthuasist, napenda tech zaidi ya kitu chcht duniani hapa. lkn sipendi kuona watu wanashabikia hizi technology trends hadi wakazidiwa na kuacha...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari, Aisee niende kwenye swali. Ivi kati ya Programmer na IT yupi mwenye fursa nyingi za kujiajiri na kuajiriwa, na endapo wataajiriwa yupi ambae atapokea kiasi kikubwa cha mshahara kupita...
4 Reactions
84 Replies
15K Views
Naona Kuna mabadiliko karibia Kila mtandao Kwa Sasa huwezi kupata hata GB 1 Kwa elf 2, mambo ni fire 🔥 sio kitoto. Kwa upande wetu tulioingia Ile mikataba minono ya post paid tulikata bima ya...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom