Angalia maajabu ya Samsung Galaxy S22 Ultra.
Kwa teknolojia ya kisasa ya kamera ujue hakuna usiri tena.
Unaweza kufanya jambo ukiamini hakuna anaekuona kumbe mtu yuko kilomita kadhaa...
Wanajamii Tech ningependa kujua jinsi ya kuwa software developer kwa kujifunza mwenyewe I mean language (s) course, resources n.k
Pia kwa hapa nchini naona community iko ndogo Sana sijui ndo kuwa...
Habari za majukumu ni muda sasa nimekuwa nikijihusisha na maswala ya ufundi simu ila upande wa software pekee sasa nahitaji kuingia rasmi kwenye maswala ya hardware nahitaji kujua ni vifaa vipi...
A.Alaykum
Kwa kuwasaidia, ikiwa mtu hataki hizi picha za humu ndani zinazotumwa zisiingie Gallery kujaza gallery.
Nenda kwenye option juu kwenye jina la group mkono wa kulia, utaona dots 3...
Kumekuwa na katabia fulani ka kusubiri flagship zilizotolewa miaka 2 au 3 nyuma zishuke bei zifikie bei ambayo ni affordable ndipo mtu anunue.
Hili linakuja na changomoto kadhaa.
Kwa mfano...
NAOMBENI MSAADA WAKUU.
Natanguliza shukrani.
Habari ya Weekend?
Baada ya kutoangalia Movie kwa kipindi kirefu sana Cha miaka mi Tano 5.
Weekend hii nimejaribu kutafuta movie na kukwama PAKUBWA...
Habari wakuu,
Naomba kusaidiwa imetokea nimefuta chatting zangu zotee za WhatsApp ambazo baadhi zilikuwa na umuhimu sana na nilikuwa nikizitumia kama kumbukumbu incase zikihitajika mfano...
Habari wakuu,
Nimenunua Infinix smart 6 ya 2/64GB pamoja na kujaribu kufanya settings ili ikae 4G Haikubali ,sijajua nifanyeje ingawaje ndani ya Simu inaonekana inayo 4g kubwa zaidi laini zangu...
Kampuni ya electroniki Sony wako makini sana kwenye bidhaa zao. Japo situmii simu ya Sony kutokana upatikanaji wake lakini ninapenda sana apps zake mbili. Yaani Gallery yake na kicheza musiki...
Habari wakuu,
Naomba msaada wa installation ya windows (10 preferably; ila nikipata nyingine siyo mbaya). Baada ya windows nahitaji drivers zote muhimu. Naweza kukufuata popote ulipo Arusha...
Je ni apps gani bora ya kuplay music offline yenye Equalizer nzuri kwa simu janja kati ya hizi Poweramp Music Player, N7 player, NRG player & Jet audio player!!?
Kwangu poweramp music player...
Kampuni ya Apple, imeweka rekodi ya kuwa na thamani kubwa kuliko kampuni za Alphabet (Google), Meta na Amazon - ukizichanganya kwa pamoja.
Yaani ukichukua Market Cap ya Amazon, Meta na Alphabet...
Habari wanajamvi,
Natafuta Flutter App developer wa kutengeneza
1. Main App
2. Partners app
3. Admin panel
Hzo app mbili (moja ni kwa ajili ya users, yapili ni kwa ajili ya Partners , kama Uber...
Hello bosses.....
Kwanza niseme tu mimi ni tech enthuasist, napenda tech zaidi ya kitu chcht duniani hapa. lkn sipendi kuona watu wanashabikia hizi technology trends hadi wakazidiwa na kuacha...
Habari,
Aisee niende kwenye swali.
Ivi kati ya Programmer na IT yupi mwenye fursa nyingi za kujiajiri na kuajiriwa, na endapo wataajiriwa yupi ambae atapokea kiasi kikubwa cha mshahara kupita...
Naona Kuna mabadiliko karibia Kila mtandao Kwa Sasa huwezi kupata hata GB 1 Kwa elf 2, mambo ni fire 🔥 sio kitoto.
Kwa upande wetu tulioingia Ile mikataba minono ya post paid tulikata bima ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.