Simu kujaa picha na video

Simu kujaa picha na video

Chupayamaji

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2017
Posts
5,780
Reaction score
13,696
A.Alaykum

Kwa kuwasaidia, ikiwa mtu hataki hizi picha za humu ndani zinazotumwa zisiingie Gallery kujaza gallery.
Nenda kwenye option juu kwenye jina la group mkono wa kulia, utaona dots 3, ukibonyeza hizo dots itakujia group info bonyeza neno group info itakujia.

*-Mute notification*
*-Custom notification..*
*-Media visibility*

Bonyeza hiyo *Media Visibility..*

Itakujia

*Default*
*YES*
*NO*

BONYEZA HIYO *NO*
ITAKUWA PICHA ZOTE NA VIDEO ZINABAKI KWENYE GROUP TU.HAZIINGII GALLERY KUJAZA SIMU YAKO.
 
*A.Alaykum Wanagroup..*

Kwa kuwasaidia..ikiwa mtu hataki hizi picha za humu ndani zinazotumwa.zisiingie Gallery kujaza gallery.
Nenda kwenye option juu kwenye
*jina la group mkono wa kulia..utaona dots 3...ukibonyeza hizo dots itakujia group info..bonyeza neno *group info* itakujia

*-Mute notification*
*-Custom notification..*
*-Media visibility*

Bonyeza hiyo *Media Visibility..*

Itakujia

*Default*
*YES*
*NO*

BONYEZA HIYO *NO*
ITAKUWA PICHA ZOTE NA VIDEO ZINABAKI KWENYE GROUP TU.HAZIINGII GALLERY KUJAZA SIMU YAKO.

Ahsante mkuu
 
*A.Alaykum Wanagroup..*

Kwa kuwasaidia..ikiwa mtu hataki hizi picha za humu ndani zinazotumwa.zisiingie Gallery kujaza gallery.
Nenda kwenye option juu kwenye
*jina la group mkono wa kulia..utaona dots 3...ukibonyeza hizo dots itakujia group info..bonyeza neno *group info* itakujia

*-Mute notification*
*-Custom notification..*
*-Media visibility*

Bonyeza hiyo *Media Visibility..*

Itakujia

*Default*
*YES*
*NO*

BONYEZA HIYO *NO*
ITAKUWA PICHA ZOTE NA VIDEO ZINABAKI KWENYE GROUP TU.HAZIINGII GALLERY KUJAZA SIMU YAKO.


Na kama sina group nitazisave wapi?
 
Kwa ujumla ni hivi: Ukifungua WhatsApp bonyeza hivyo vidot 3 juu kulia, halafu bonyeza Data and storage usage --> media autodownload-->>No kwenye options zote. Hadi hapo kuanzia audio, video na picha hazitajidownload zenyewe kwenye magroup au contacts za mtu mmoja mmoja hadi wewe uzidownload. Namna hivyo ndivyo utakavyozuia storage kujaa vitu usivyovitaka.
 
Back
Top Bottom