Siachi hela
Senior Member
- Jun 17, 2022
- 136
- 249
Habari wakuu,
Naomba kusaidiwa imetokea nimefuta chatting zangu zotee za WhatsApp ambazo baadhi zilikuwa na umuhimu sana na nilikuwa nikizitumia kama kumbukumbu incase zikihitajika mfano, documents mbalimbali nilizokuwa natuma na kutumiwa zote zimepoteza.
Tayari nimejaribu ku unstore na kuinstall upya ila hakuna kilichorudi. Msaada tafadhali naweza fanya kipi zaidi nirejeshe chatting zangu.
Naomba kusaidiwa imetokea nimefuta chatting zangu zotee za WhatsApp ambazo baadhi zilikuwa na umuhimu sana na nilikuwa nikizitumia kama kumbukumbu incase zikihitajika mfano, documents mbalimbali nilizokuwa natuma na kutumiwa zote zimepoteza.
Tayari nimejaribu ku unstore na kuinstall upya ila hakuna kilichorudi. Msaada tafadhali naweza fanya kipi zaidi nirejeshe chatting zangu.