nyamwingi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2016
- 933
- 863
Habari wakuu,
Nimenunua Infinix smart 6 ya 2/64GB pamoja na kujaribu kufanya settings ili ikae 4G Haikubali ,sijajua nifanyeje ingawaje ndani ya Simu inaonekana inayo 4g kubwa zaidi laini zangu zote tigo na halotel ni 4G na hata Simu iliyopita zilikuwa zinashika 4G.
Mwenye uwelewa msaada Tafadhali.
Nimenunua Infinix smart 6 ya 2/64GB pamoja na kujaribu kufanya settings ili ikae 4G Haikubali ,sijajua nifanyeje ingawaje ndani ya Simu inaonekana inayo 4g kubwa zaidi laini zangu zote tigo na halotel ni 4G na hata Simu iliyopita zilikuwa zinashika 4G.
Mwenye uwelewa msaada Tafadhali.