Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari wakuu, Natafuta kifaa tajwa hapo juu, nimejaribu kuulizia baadhi ya maduka wanyouza vifaa vya kielektroniki hapa posta sijafanikiwa. je kuna mtu anaweza nielekeza mahali ninapoweza kupata?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari. Hawa mabwana wanajiita Samsung discount wapo china plaza bei zao ziko chini sana ukilinganisha na maduka mengi yanayo uza simu za kufanana na hizo mpaka nimeshawishi nataka nikachukue Note...
5 Reactions
75 Replies
11K Views
Naona Voda wamezindua 5g na hologram, hiki ni kitu gani? Au ni kama WhatsApp ya Voda?
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Katika ulimwengu wetu wa leo matumizi ya Intanet yamekuwa ni miongoni mwa hitaji la msingi kwa kila mtu. Katika mazingira mbalimbali tumejikuta tukiwa katika maeneo ya umma ambapo kuna wifi za...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari ,nimeshawishika kutaka kununua simu used from abroad ambazo zinauzwa na kunadiwa mitandaoni, hii ni kutokana na kigezo kimoja tu cha bei, kwani nyingi ni za viwango na ni za matoleo ya hivi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kampuni mama ya Facebook imetangaza uamuzi huo leo kwa maelezo kuwa inalazimika kuondoa 13% ya wafanyakazi wake ili kubana matumizi. Mkurugenzi Mtendaji Mark Zuckerberg amesema katika robo ya 3...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Wakuu, msaada kwenye tuta. Hapo mwanzo hii game Euro truck simulator 2 nilikuwa naicheza vizuri kabisa kwenye hii laptop yangu ya Lenovo T420 Core i5. Nimeicheza kwa miezi kadhaa hadi now. Sasa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wandugu naomba kujuzwa namna ya kutambua iphone fake... Clone au za akichina. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
26 Replies
11K Views
Habarini. Ha tunnel plus imekua ikinisumbua muda mwingi inahitaji nitazame matangazo yao ndio niweze kutumia. Je kuna njia nyingine ya kuondoa kua add time kila Mara?
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Natumai mko poa nyote. Poleni sana na majukumu ya kila siku. Simu yangu Samsung S8 Plus. Iko locked na Au ya Japanese. Kila laini nayoweka inaniambia Invalid sim card Locked...
0 Reactions
4 Replies
781 Views
Sometimes Bhana naona watu wengi aki code style website yake kidogo tu anaanza ku inspect elements aangalie jinsi gani iyo style inaonekana kwenye mobile. Hii trick pia inakupa access ya kutumia...
0 Reactions
3 Replies
806 Views
Natafta software ya solidworks au fusion 360... msaada please.. for mechanical engineering and design
0 Reactions
4 Replies
726 Views
Asalaam wakuu. Ningeomba mwenye ufahamu mzuri kuhusu concept ya default gateway aeleze kwa kina ni kitu gani na kinafanyaje kazi. Nawasilishisha.
0 Reactions
3 Replies
497 Views
Habari wana jamvi la JF Tech, kama title inavoeleza. Simu angu kuna baadhi ya Apps hazifunguki inanipa maelezo kama yalivyo kwa TITTLE hapo juu. Naombeni msaada shida ni nini hapa!
1 Reactions
5 Replies
988 Views
Chombo cha kupeleka mizigo katika anga za juu cha China cha Tianzhou - 4 kimerejea angani. Vipande vingi vya chombo hicho viliteketea wakati wa mchakato huo, huku vipande vichache vikianguka...
0 Reactions
3 Replies
741 Views
Habari Wakuu! Ndugu yangu kanunua hii simu ila ukiweka simcard inasoma jina la mtandao ila bars za network zipo empty. Nimejaribu katika Network options kushusha kutoka 5G to 4G to 3G to 2G ila...
1 Reactions
2 Replies
715 Views
Amani na iwe kwetu wote. Nashukuru jukwaa la tech ndo huwa hawana bla bla nimesaidika sana. Sasa nina samsung s10 ina android 12. AT &T Tatizo lake sasa linaloninyima raha ni kutokuwepo button...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Naomba kujua frequency za BBC FM hapa Dar
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jaman naomba msaada, ukimtumia mtu ujumbe WhatsApp ikaonekana hii alama inakuwa na maaana gani au inaitwaje?
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Wakubwa mnajisikiaje na hali🤚🤚, ni hivi ulishawahi kufanya kazi sehemu kama programmer halafu ukakuta wasimamizi wako au pengine wadau wakawa hawajui vizuri kuhusu programming? mimi hiyo...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…