Cybergates
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 673
- 1,391
Sometimes Bhana naona watu wengi aki code style website yake kidogo tu anaanza ku inspect elements aangalie jinsi gani iyo style inaonekana kwenye mobile.
Hii trick pia inakupa access ya kutumia website yako wakati bado ipo kwenye development jinsi gani muonekano wake utakuwa kwenye simu
Kwanza run website yako
Ukimaliza open iyo website kweenye browse uone kama inafanya kazi
Ikisha open. Washa Hotpots kwenye sim ukiwa umezima data, ikisha connect
Kama unatumua windows run ipconfig
na kama unatumia debian run ifconfig. run hizo command ukiwa tayari umesha connect hotsport.
Ñjia nyingine.
Nenda kwenye hotpots kwenye simu
Open connect device (jina la compuer ulio connect na wifi)
Baada ya hapo copy hiyo IPaddress.
Kisha.
Kumbuka website ina run kwenye port numba gapi (kwenye huu mfano mm natumia port :8080)
Sasa baada ya hizo process zote combine IPaddress na hizo port
Mfano: - 192.168.213.198:8080
Baada hapo run hipo IPaddress pamoja na port number kwenye web browse ya kwenye simu
Trick nzuri sana hii lakini watu wengi hawaifahamu
Hii trick pia inakupa access ya kutumia website yako wakati bado ipo kwenye development jinsi gani muonekano wake utakuwa kwenye simu
Kwanza run website yako
Ukimaliza open iyo website kweenye browse uone kama inafanya kazi
Ikisha open. Washa Hotpots kwenye sim ukiwa umezima data, ikisha connect
Kama unatumua windows run ipconfig
na kama unatumia debian run ifconfig. run hizo command ukiwa tayari umesha connect hotsport.
Ñjia nyingine.
Nenda kwenye hotpots kwenye simu
Open connect device (jina la compuer ulio connect na wifi)
Baada ya hapo copy hiyo IPaddress.
Kisha.
Kumbuka website ina run kwenye port numba gapi (kwenye huu mfano mm natumia port :8080)
Sasa baada ya hizo process zote combine IPaddress na hizo port
Mfano: - 192.168.213.198:8080
Baada hapo run hipo IPaddress pamoja na port number kwenye web browse ya kwenye simu
Trick nzuri sana hii lakini watu wengi hawaifahamu