Lost Purpose
Member
- Jun 16, 2022
- 26
- 18
Habari Wakuu!
Ndugu yangu kanunua hii simu ila ukiweka simcard inasoma jina la mtandao ila bars za network zipo empty. Nimejaribu katika Network options kushusha kutoka 5G to 4G to 3G to 2G ila bado tatizo ni lilelile!
Msaada tafadhali.
Ndugu yangu kanunua hii simu ila ukiweka simcard inasoma jina la mtandao ila bars za network zipo empty. Nimejaribu katika Network options kushusha kutoka 5G to 4G to 3G to 2G ila bado tatizo ni lilelile!
Msaada tafadhali.