Sheikh23
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,128
- 1,842
Habari ,nimeshawishika kutaka kununua simu used from abroad ambazo zinauzwa na kunadiwa mitandaoni, hii ni kutokana na kigezo kimoja tu cha bei, kwani nyingi ni za viwango na ni za matoleo ya hivi karibuni, pia bei zake ni affordable ukilinganisha na bei ya simu hizo kama utazinunua kwenye masoko yetu ya kariakoo au makumbusho na kwingineko.
Naomba shuhuda za ubora haswa wa betri (battery life) na mambo mengine uliyo observe baada ya kutumia simu hizo.
Natanguliza shukrani kwenu.
Naomba shuhuda za ubora haswa wa betri (battery life) na mambo mengine uliyo observe baada ya kutumia simu hizo.
Natanguliza shukrani kwenu.