Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 327
- 376
Siku njema wana jf
Nataka nihamie kwenye nyumba isiyo naumeme na kwasasa hali yangu kifedha si njema sana, Nahitaji mfumo wa solar utakaoniwezesha kuwasha taa 4, kuchaji simu na kuangalia tv yangu ya inchi 32 walau kwa masaa machache huku nikijipanga kusogeza umeme.
Nimepita kwenye maduka kadhaa ya bidhaa za solar kila muuzaji ananiambia lake
Wengine wanasema Solar pannel ya watt 20 na betri ya N18 itanifaa
Wengine wanasema Solar pannel ya watti 30 na betri ya N26 itanifaa
Hivyo naomba unishauri kwa hii bajeti yangu ndogo naweza pata solar yenye nguvu kiasi gani ili angalau niweze kuangalia hata taarifa ya habari.
Nataka nihamie kwenye nyumba isiyo naumeme na kwasasa hali yangu kifedha si njema sana, Nahitaji mfumo wa solar utakaoniwezesha kuwasha taa 4, kuchaji simu na kuangalia tv yangu ya inchi 32 walau kwa masaa machache huku nikijipanga kusogeza umeme.
Nimepita kwenye maduka kadhaa ya bidhaa za solar kila muuzaji ananiambia lake
Wengine wanasema Solar pannel ya watt 20 na betri ya N18 itanifaa
Wengine wanasema Solar pannel ya watti 30 na betri ya N26 itanifaa
Hivyo naomba unishauri kwa hii bajeti yangu ndogo naweza pata solar yenye nguvu kiasi gani ili angalau niweze kuangalia hata taarifa ya habari.