Jinsi ya ku 'boost' tangazo Facebook

Tumia master card uwe umeiactivate kufanya online purchase yaan uwe na zip code.
Sijajua kama mobile money inalipia
Nilijaribu jana kutumia Airtel money mastercard,nikafikia hatua ya kuweka code ambapo niliambiwa hizo code niziangalie kwenye Online banking for Mastercard ya account yangu, hapo ndipo waliponichanganya na kuendelea nikashindwa kwasababu nilishindwa kuzipata hizo code
 
Habari wakuu 🖐️,

Kama ilivyo kwenye title hapo juu, naomba kwa mwenye kufahamu namna ya kuboost tangazo Facebook anipe maelekezo jinsi ya kufanya.

Nawasilisha.
Kama ni content creator yaani kama msanii wa maigizo, vichekesho au kuimba. Boost a post ila kama ni mfanyabiashara fanya Facebook Ads Management
 
Anyway, hakuna ugumu wowote na hakuna ulazima wa dola 5 kama alivyosema mkuu Santos06 hapo juu.

Ukiboost tangazo directly kutokana na kiunganishi kilichopo kwenye post yako pale palipoandikwa boost post, matarajio sio mazuri sana na gharama yake ni kubwa.Ushauri wangu download ads manager kutoka playstore kisha utumie kwa kazi hiyo hapa wanakata hela yao kwa clicks hii ni somehow accurate na matokeo ya tangazo.

Kuhusu hiyo mastercard ya airtel, code waliyokwambia ni CVV ambayo wamekupa kwenye hiyo virtual mastercard zama kwenye ile link ukiona picha ya card tizama CVV halafu upaste hapo na mwaka wa expiry.

Ukishadownload ads manager uje tukuelekeze step by step.

asante.
 
Kama ni content creator yaani kama msanii wa maigizo, vichekesho au kuimba. Boost a post ila kama ni mfanyabiashara fanya Facebook Ads Management
Mfanya biashara, Vipi waweza nipa maelekezo namna ya kufanya hiyo Facebook Ads Management ?
 
Anyway, hakuna ugumu wowote na hakuna ulazima wa dola 5 kama alivyosema mkuu Santos06 hapo juu.

Ukiboost tangazo directly kutokana na kiunganishi kilichopo kwenye post yako pale palipoandikwa boost post, matarajio sio mazuri sana na gharama yake ni kubwa.Ushauri wangu download ads manager kutoka playstore kisha utumie kwa kazi hiyo hapa wanakata hela yao kwa clicks hii ni somehow accurate na matokeo ya tangazo.

Kuhusu hiyo mastercard ya airtel, code waliyokwambia ni CVV ambayo wamekupa kwenye hiyo virtual mastercard zama kwenye ile link ukiona picha ya card tizama CVV halafu upaste hapo na mwaka wa expiry.

Ukishadownload ads manager uje tukuelekeze step by step.

asante.
Sawa Mkuu,Shukran Sana. Ngoja nifanye hivo mara moja
 
Anyway, hakuna ugumu wowote na hakuna ulazima wa dola 5 kama alivyosema mkuu Santos06 hapo juu.

Ukiboost tangazo directly kutokana na kiunganishi kilichopo kwenye post yako pale palipoandikwa boost post, matarajio sio mazuri sana na gharama yake ni kubwa.Ushauri wangu download ads manager kutoka playstore kisha utumie kwa kazi hiyo hapa wanakata hela yao kwa clicks hii ni somehow accurate na matokeo ya tangazo.

Kuhusu hiyo mastercard ya airtel, code waliyokwambia ni CVV ambayo wamekupa kwenye hiyo virtual mastercard zama kwenye ile link ukiona picha ya card tizama CVV halafu upaste hapo na mwaka wa expiry.

Ukishadownload ads manager uje tukuelekeze step by step.

asante.
Mkuu tayari Ads Manager iko downloaded
 
Uwe na kadi inauoruhusu kufanya malipo online Kisha nenda katengeneze page Kisha nenda sehem ya ads Kisha pachika picha au video ya tangazo kicha chagua nchi pia chagua lika la unaotaka uwatangazie kusha weka kiasi kuanzia dollar moja au zaidi alafu uchague unataka click au impression Kisha lipa
 
Back
Top Bottom