Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kumekuwa na maneno mengi mitaani juu ya umeme unaozalishwa kwa nguvu ya jua watu wengi wakisema ni umeme mdogo na hautoshi.Fikra hizi si za kweli, umeme unaozaliswa na solar panels unatosha sana...
6 Reactions
10 Replies
4K Views
AVO28 Kwanza heshina ziende kwa bloggers wote wakubwa kwa wadogo ndani forum hii, nimekua nikisoma mada na comments na zimekua zikinifunza vitu vingi tu, Historia yangu katika blogging ni ndefu...
13 Reactions
198 Replies
23K Views
Naombeni msaada wa kupata key product za euro truck simulator 2
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Huko nyuma kupata blue tick ilikua ni ishu, lazima uwe maarufu sana ama uwe na followers wa kutosha ana kiongozi wa siasa ndio ulikua unapata blue tick. Kipindi hicho kupata blue tick ilihitajika...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kheri ya Mwaka Mpya Wakuu , Samahani Nahitaji Msaada kama Kuna namna Ya Kuirudisha Tena WhatsApp Hewani Ya Namba Ambayo imepigwa Permanent Ban WhatsApp . Kama kuna Mtu Anaweza Naomba Msaada Wake...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Angalia comparison hapo kati ya Google pixel 6 vs Infinix Zero X Pro Google pixel 6 vs Infinix Zero X Pro
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Mwenye ufahamu wa namna ya kudownload nyimbo toka boomplay anisaidie, natanguliza shukurani
1 Reactions
1 Replies
5K Views
wakuuu naomba msaada hii tv ni tcl kama smart ila ina youtube za kichina yan kila kitu hata movie za kichina ni muundo wa smart msaada mana naona sielew ni feki mwanzo mwisho mana ni full kichina
0 Reactions
5 Replies
793 Views
Wanabodi, Heri ya Pasaka, Mara moja moja huwa ninatembelea Kituo cha TBC kwa shughuli zangu, leo Jumapili ya Pasaka nimepita pale na kuushuhudia bonge la OB Van mpya ya Kufa Mtu ikitua TBC...
5 Reactions
53 Replies
11K Views
Mnaotumia Android Mnawezaje Kupakua (Download) Video Clip Huko Instagram Hua Mnatumia App Gani...?
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Katika maisha yangu, tangu nianze kufanya kazi kama web developer sikuwahi kubahatika kufanya kazi na mtanzania yeyote mbali na ile task ndogo ya Mkaruka ambayo aliileta hapa jamvini inayohusu...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Wakuu habari za mida hii, Nina app yangu tayari ipo Play store ila nahitajj kuweka ads za Facebook ila nimeshindwa, mfumo wa app unahitaji matangazo ya Facebook yaunganishwe kupitia iron source...
0 Reactions
1 Replies
474 Views
Language : .py Comment the Answer For Question 1 and 2 I'll Tell if You are Right or Wrong. Hasta la vista geekie.
0 Reactions
1 Replies
588 Views
Ni ukweli makampuni mengi ya simu yaana ushindani mkubwa sana na kila siku wanapenda kuwaletea update mpya Ili kufanya simu zao ziwe bora zaidi kiulinzi na vitu vingine. Lakini hapo hapo...
5 Reactions
8 Replies
3K Views
[emoji3531]
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wandugu habari Natumia iphone8 shida nayopata ni Mwamba nikiwasha data huwa unapata sana joto… tatizo inaweza kuwa nini wajuzi wa mambo Naomba msaada wenu
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Hello wajuzi wa mambo, Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam, kutokana na hali ya hewa nafikiria kufunga mfumo wa AC nyumbani (sebuleni) kwa kuanzia. Hata hivyo nimekuwa nikisikia mengi, mf; AC...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wapendwa naomba mnisaidie filta nzuri ya camera ya iphone! Naona wenzangu wakipiga picha zinakua nzuri ila mie na iphone yangu natoka kama nilivyo! Naomben msaada nidownload filter moja matata...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Salaam wanajukwaa wenzangu, Nimekuwa nikitumia startimes app kuangalia matangazo ya mpira live lakini napata changamoto ya kuona picha ndogo kwa sababu sipati full screen, nifanyeje wadau? Mwenye...
0 Reactions
0 Replies
541 Views
Redio ya kwanza inayotumia Mfumo wa Mawimbi ilianza kurusha Matangazo Mwaka 1895 baada ya Mvumbuzi Guglielmo Marconi kutoka Italia kufanikisha zoezi la Redio hiyo kusikika katika eneo la Kilomita...
0 Reactions
0 Replies
923 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…