Ni plain
Vunja pewa infinix hot 12 mpya hutojutiaNaomba msaada Hizo zingine ni kejeli
😃😃😃Vunja pewa infinix hot 12 mpya hutojutia
Iphone 8 ya laki 8 mzee?!SEMA mkuu una dharau sana….Kweli simu ya laki8 nkavunje na lak3 kisa used??
Wandugu habar…/natumia iphone8 shida nayopata ni Mwamba nikiwasha data huwa unapata sana joto….tatzo inaweza kuwa nini wajuzi wa mambo… naomba msaada went
Umepigwa Sana laki naneSEMA mkuu una dharau sana….Kweli simu ya laki8 nkavunje na lak3 kisa used??
Mkuu ipo ios gani?
Jaribu ku update kama bado unatumia version ya zamani
Pia update app zote
Kama shida bado ipo fanya backup kisha hard reset itafuta app na settings zote na kuwa kama ilivyotoka kiwandani kisha washa data na uitumie uone kama itapata moto, ikipata moto hapo tatizo linaweza kuwa betrii
Isipopata moto anza kuinstall app moja baada ya nyingine huku ukiitumia kubaini ni app gani inaweza kuwa sababu