Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Natumai wote mu wazima wakuu. Kwanza ningependa kuwashukuru wote kwa michango yenu yenye burasa, mbarikiwe sana na muendelee na moyo wa kusaidiana. Mimi ni kijana ambae nasoma form five kwa sasa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wana technologia, nina pc yangu aina ya ibm,nlikuwa natumia jana gafla ile batan ya start ikapotea nika restart lakini imekuwa vile vile: N:b nili install avg antvirus ikasababisha comp...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
By Jay Yarow | Apr. 25, 2011 Steve Jobs has fired off one of his characteristically terse emails in response to the furor around Apple keeping location data on iPhone users. Jobs supposedly...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
:panda::panda::panda::panda: The new price of modems is Tsh 25000 Weekly - 500MB @ Tsh 8000 Monthly - 500MB @ Tsh 10,000 Monthly - 2GB @ Tsh 40,000
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Jamani nilisikia kuwa kuna program inayofanya cd ya playstation i play kwenye PC. Naomba kujua jina la hiyo prog na jinsi ya kuidownload kama kweli ipo. please wana jf tushee knowledge!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu ama kweli dunia imebadilika. Sasa unaweza kununua computer 1 katika radio station yako, ukaajiri na watangazaji wasiozidi 3 pamoja na mtaalamu wa kumonitor software ya utangazaji. Sasa...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
wana jamii naombeni msaada wenu ntapata wapi mkanda wa deki ya laptop dvd rw yangu imekatika.naombeni msada wenu
0 Reactions
12 Replies
3K Views
wakubwa.Tanzania hakuna chuo kinachotoa mafunzo ya ICT au IT kwa njia ya computer kwa grade ya cheti,diploma nk kama unakijua ebu niwekee. chuo kikuu huria wapo wanafundisha basic kwa computer...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Je ni kweli kwamba unaweza kusurf siku nzima kwa modem za airtel kwa sh 500 tu??
0 Reactions
20 Replies
4K Views
WhatsApp Messenger is a cross-platform mobile messaging app which allows you to exchange messages without having to pay for SMS. WhatsApp Messenger is available for iPhone, BlackBerry, Android...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
A Total of 150 primary and secondary schools in the country have benefited from education training through the use of modern technology provided by IYF, a civil organisation that offers community...
0 Reactions
0 Replies
918 Views
mi natafuta site ambazo nawezapa mp3 file hasa za albums za kisiki cha mpingu (mchinga sound) na marafiki ya chuchu sound
0 Reactions
3 Replies
3K Views
naombeni muongozo wapendwa... nataka kusoma IT ila sijui nisome nini hapo baadae.....sina qualifications nataka nichukue dimploma in IT this year ,halafu nichukue degree....naombeni mniambie...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wazee Habari za Pasaka, Nimepata Tatizo Kidogo Kama Ifuatavyo: Mimi Ni mteja wa Nmb sasa Nilikuwa Naongeza Salio Kwenye simu yangu Kupitia Nmb Mobile Tatizo Ni kwamba Credit Hazijaingia kwenye...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari za Jumamosi Wakuu.Nipo hapa kuomba msaada kwa wataalamu kwani hapa ni jungu kuu lisilokosa ukoko. Nina Ndugu yangu amepoteza Laptop Bag yake ambayo ndani yake kulikuwa na vitu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nina laptop aina ya Dell latitude D430(Notebook) imekufa mother board. Model No: PP09S I real need that replacement board! Nimetafuta baadhi ya maduka pale Dar sijafanikiwa.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nilinunua Unlocked Blackberry Storm II ya Verizon toka maduka yanayouza bidhaa hii kwa njia ya mtandao huko Marekani. Rafiki yangu tuliyenunua naye pamoja Blackberry Storm II ameweza kuitumia...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tanzania: Reflections on the Rush to Loliondo Ramadhani Kupaza 19 March 2011 column The rush to Loliondo for the "magic cure" that Babu provides can be viewed as a reflection of...
0 Reactions
0 Replies
869 Views
Pluto was reclassified as a "dwarf planet" because it does not dominate the neighborhood around its orbit. Pluto's "moon," Charon is about half its size. True planets are much larger than their...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana wa familia ya JF hamjambo?.Jamani naombeni mwongozo nifanye nini ili kuiokoa simu yangu nokia E61i jana nimedownload movie ya ukubwa wa MB 4 na capacity ya memorycard ilikuwa ya MB 512. Sasa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…