Mfumo wa Digital kumaliza watangazaji wa redio.

Mfumo wa Digital kumaliza watangazaji wa redio.

Radio Producer

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2011
Posts
728
Reaction score
322
Ndugu zangu ama kweli dunia imebadilika. Sasa unaweza kununua computer 1 katika radio station yako, ukaajiri na watangazaji wasiozidi 3 pamoja na mtaalamu wa kumonitor software ya utangazaji. Sasa kuna software nyingi sana zinazoweza kutangaza zenyewe masaa 24 siku saba za wiki, mwezi na hata miaka. Ukigenerete log ya miaka miwili kama una backup system nzuri ya umeme nenda ukafanye kazi zingine itaendelea yenyewe. Unahitaji tu mtu wa kuproduce matangazo na vipindi na kuviingiza katika computer. zipo software nyingi kama Tune Tracker Pro, google radio automation, playlist automation, zera na nyingine kibao.

Kama unauhitaji huu ni PM tutengeneze dill.
 
Itafanyika production studio, before and being recorded as BBC they do! Taarifa ya habari inarekodiwa before 30 minutes na kueditiwa kwa ufasaha then inakuwa scheduled. Mijadala yenyewe kurekodiwa hata sasa. mijadala mingi ni recorded.
 
Itafanyika production studio, before and being recorded as BBC they do! Taarifa ya habari inarekodiwa before 30 minutes na kueditiwa kwa ufasaha then inakuwa scheduled. Mijadala yenyewe kurekodiwa hata sasa. mijadala mingi ni recorded.

na vile vipindi vya live navyo vitaendeshwaje?
 
... Kama unauhitaji huu ni PM tutengeneze dill.
Ukisoma hii course aisee lazima upate ajira aisee. Kozi inapatikana hapa: Home Radio Ministry - Powered by CO.CC wahi hujachelewa.
Kuna siku niliwaambia wote wanaopenda kusoma mambo ya uandishi wa Habari, Utangazji, Radio Production waniPM.
...Karibu sana, tumefundisha wengi na sasa wameajiriwa katika redio mbalimbali.


... Nitakupa gharama zetu zote na utaratibu mzima. Tunataka kujua idadi ya wanafunzi wote! Asante.
... Natafuta kazi ya kufundisha Radio Production kwa watu wenye shule na vyuo vya ngazi ya chetiu vya utangazaji wa Radio na Tv. ...
Nina proposal ndugu zangu kwa mtu/watu walitayari tushirikiane tuanzishe radio station mkoa mpya Geita italipa sana!
Wapendwa wana Jf kama kuna mtu anahitaji huduma ya matangazo ya radio na vipindi vya radio usisite kuwasiliana nasi! ni pm au uniemail: radioproducer@rediff.com
Asanteni!
Any one with Radio Station, i am doing Radio Production that includes Radio Programming (Mastering new schedules by considering compentence activities) We also train staffs about radio production. We creates new radio programs suitable for now a days in challenges, we set business programs also for increasing income in your radio station! We produce jingles, spots in a high quality!

You do not need to employ more people we can set a workshop or course for facilitating and the required number oof staffs can be found through the course and makes all professionals! We do more! Please contact with me: radioproducer@rediff.com

Thanks
Inabidi ulipie matangazo haya!
 
watafute kazi nyingine kwani wanang'ang'ania nini.... Labda kama watakuwa hawajasoma kama maulid wa kitenge
 
Itafanyika production studio, before and being recorded as BBC they do! Taarifa ya habari inarekodiwa before 30 minutes na kueditiwa kwa ufasaha then inakuwa scheduled. Mijadala yenyewe kurekodiwa hata sasa. mijadala mingi ni recorded.

Mkubwa sikubaliani na wewe kwa baadhi ya Hoja
Mimi nipo katika tasnia hiyo na nilitaka kukutafuta ili tufanye kazi fulani lakini naanza kukata tama juu yako.

Katika kuendesha radio vipindi ambavyo hurekodiwa ni aslimia chache na kutegemea sera ya radio.

Haiwezekani radio inayo run vipindi vya mahojiano,news,nk vikarekodiwa vyote
Mfano unasema BBC wanarekodi taarifa yao ya habari 30mn before,

hii si kweli kwani katikati ya habari zao mfano amka na bbc,dira ya dunia wananchi huchangia kwa sms,facebook nk na mtanagzaji husoma maoni hayo,hii itafanyikaje wakati ni recorded.

Unachoweza kusema ni vpindi vya burudani,ambavyo unaweza kupanga miziki,matangazo nk,nah ii inafanywa sana redio za FM.

M.Byabato
 
Jamaa huyu inaonekana ni msanii fulani; haiwezekani mtu mmoja mipango kibao! Hata kabla project moja haijaisha, anakuja na idea nyingine. Sidhani kama yupo siriaz!
 
Mkubwa sikubaliani na wewe kwa baadhi ya Hoja
Mimi nipo katika tasnia hiyo na nilitaka kukutafuta ili tufanye kazi fulani lakini naanza kukata tama juu yako.

Katika kuendesha radio vipindi ambavyo hurekodiwa ni aslimia chache na kutegemea sera ya radio.

Haiwezekani radio inayo run vipindi vya mahojiano,news,nk vikarekodiwa vyote
Mfano unasema BBC wanarekodi taarifa yao ya habari 30mn before,

hii si kweli kwani katikati ya habari zao mfano amka na bbc,dira ya dunia wananchi huchangia kwa sms,facebook nk na mtanagzaji husoma maoni hayo,hii itafanyikaje wakati ni recorded.

Unachoweza kusema ni vpindi vya burudani,ambavyo unaweza kupanga miziki,matangazo nk,nah ii inafanywa sana redio za FM.

M.Byabato

Nakushkru kwa ushauri wako! Kwanza kabisa naomba nieleweshe, sijasema BBC hurekodi taarifa yao ya habari 30 minutes before. Nimesema BBc hurekodi taarifa yao ya habari. Ungekuwa karibu na mimi tukasikiliza wote kipindi hicho ungeamini kuwa ni recorded. Niseme tu kwamba si mara kwa mara hurekodiwa wakati mwingine hurushwa live!
Napenda kukuhakikishia kwamba radio zinarusha vipindi na matangazo ya kuheshimika nyingi zinatumia production system. Utake usitake BBc mara nyingi hutumia production system. Kuna rafiki yangu kisha fanya huko kwa muda. Porojo zote, makosa yote hufutwa kwa kutumia production system na kwamba hata kwa kutumia production system yaani recorded sms, simu ama facebook zinaweza kuingizwa wakati wa kipindi hicho! Ndugu yangu this is digital kipindi husoma namba kama ni baada ya dakika 30 kipindi kistop sms zisomwe hilo linawezekana. Ulishasikia porojo porojo BBC? nakuhakikishia recorded inalipa ila inahitaji uwe na Producer mkali.

Vipindi vya live vipo tu kama simu, sms, lakini segment zake ama inserts zingine zinaweza kubaki recorded ndio maana BBC ukiingia kwenye mitambo unaweza shangaa inaendeshwa na watu wengi kwa wakati mmoja!
Kuhusiana na hili nina uhakika, nimefanya na kampuni ambayo vipindi vyake vyote ni recorded na inawin vibaya, na sasa naendesha redio vipinbdi vya live ni simu tu vingine kama viwili!
Radio Production iogope.
 
teh teh teh na breaking news nazo sijui itasoma yenyewe,ajali imetoke gongo la mboto du sijui nayo itasoma ghafla

Production Studio is live also. Softwares are read to record anything for any time
 
Jamaa huyu inaonekana ni msanii fulani; haiwezekani mtu mmoja mipango kibao! Hata kabla project moja haijaisha, anakuja na idea nyingine. Sidhani kama yupo siriaz!

Usanii unaujua wewe! Sifanyi kazi peke yangu, we are company pliz do not put jokes to the some one you don't know! Ukiwa JF ficha dharau yako ibua heshima zaidi. Asante
 
Back
Top Bottom