TRACE
Senior Member
- Jul 4, 2008
- 120
- 46
Habari za Jumamosi Wakuu.Nipo hapa kuomba msaada kwa wataalamu kwani hapa ni jungu kuu lisilokosa ukoko.
Nina Ndugu yangu amepoteza Laptop Bag yake ambayo ndani yake kulikuwa na vitu vingine.Walivunja kioo cha Gari na kutoa hiyo bag.
Kati ya vitu vilivyoibiwa ambacho kinaweza kutoa lead kwa upeo wangu ni Modem ya Sasatel ambayo baada ya siku tatu alijaribu ku trace na Sasatel kwa ugumu waliweza kumwambia kuwa ilitumika mara baada ya tukio kuwasiliana kwa njia ya Email.
Najua sio wote wafanyao katika Mobile companies wanauwezo wa kuelewa jinsi ya kum track mtu aliyewasiliana nayo ili tuweze kupata starting point ya investigation ili tuweze kupata na vitu vilivyobakia.
Haiwezekani kama tukipata Email ya Sender na Receiver na kisha tuka trace their IP na other contacts zao au watu wa karibu nao? na kisha kumpata sender?
Ni matumaini yangu nitapata usaidizi katika hili.Nawakilisha
Nina Ndugu yangu amepoteza Laptop Bag yake ambayo ndani yake kulikuwa na vitu vingine.Walivunja kioo cha Gari na kutoa hiyo bag.
Kati ya vitu vilivyoibiwa ambacho kinaweza kutoa lead kwa upeo wangu ni Modem ya Sasatel ambayo baada ya siku tatu alijaribu ku trace na Sasatel kwa ugumu waliweza kumwambia kuwa ilitumika mara baada ya tukio kuwasiliana kwa njia ya Email.
Najua sio wote wafanyao katika Mobile companies wanauwezo wa kuelewa jinsi ya kum track mtu aliyewasiliana nayo ili tuweze kupata starting point ya investigation ili tuweze kupata na vitu vilivyobakia.
Haiwezekani kama tukipata Email ya Sender na Receiver na kisha tuka trace their IP na other contacts zao au watu wa karibu nao? na kisha kumpata sender?
Ni matumaini yangu nitapata usaidizi katika hili.Nawakilisha