Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
wakubwa.Tanzania hakuna chuo kinachotoa mafunzo ya ICT au IT kwa njia ya computer kwa grade ya cheti,diploma nk
kama unakijua ebu niwekee.
chuo kikuu huria wapo wanafundisha basic kwa computer tu.Lakini visiwe vyuo vya mitaani
nitashukuru nikiwekewa na link ya hicho chuo
kama unakijua ebu niwekee.
chuo kikuu huria wapo wanafundisha basic kwa computer tu.Lakini visiwe vyuo vya mitaani
nitashukuru nikiwekewa na link ya hicho chuo