Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

kwanza naomba nikiri jf imenifundisha mengi sana ikiwemo kuacha kuibiwa na mafundi uchwara waliokuwa wananiwekea software kwa bei ya kihuni na baada ya trial kwisha inanidai keys, lakini kupitia...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Hello wanaJf! Tafadhalini mwenye kuwa nako username na password ya UpToDate (UpToDate Inc.) kwa ajili ya online access tafadhali tushee. I will subscribe to the terms and conditions if...
0 Reactions
1 Replies
8K Views
Guys, I have BlackBerry Verizon 8830 World Edition. I have tried hard to test all sim cards but it tells me "INVALID SIM CARD" Guys, I need your help. It's very urgent!
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wakuu naombeni msaada, hivi karibunini nimenunua dstv, tbc ndo tv ekee ya kibongo ila iniboa sana. Sasa nifanyenye kupata hizo tv hizo? Naombeni sana wdau
0 Reactions
20 Replies
13K Views
Jamani Kuna dhuluma inafanyika airtel internate : ukijiunga na bundle au ukiwa na bonus na huku ukiwa na hela ya ziada kwe modem, ile hela inaliwa yote na kubakia sh 4 ambapo huwezi kupata...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Poleni na kazi wana jf coz mna2saidia mambo mengi sana,kwa leo mimi naomba msaada kuhusu hili;Nina diesel injini HP20 so nilikuwa natafuta motor inayoweza kunizalishia umeme mwingi nawezaipata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba niulize wanataalam,Nini kinahitajika niweze kuflash simu kwa kutumia pc yangu?gharama yake ni shiling ngap?msaada jaman.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Naomba "Username" na "Serials" ya "Propel Accelerator 6.1.6.1103" au "propel accelerator 6.3.0.3303" Ninatumia Dial Up connection na eneo ninaloishi net ni magumashi ila nimepata hii software...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari za sasa wanajf.. me natumia laptop lakin huwa natumia flash disk tofauti tatizo ambalo nimelipata ni kuwa desktop yangu yote imeliwa na virus haina icon hata moja ni tatizo gumu sana kwangu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
wakuu humu jf naomba msaada kwa wenye kujua jinsi ya kudownload freely adobe flash player kwenye computer yangu. Nimejaribu mara kadhaa lakini nimeshindwa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Guys this app is very cool...easy to install and it can be found easily in ur phonebook/contacts...u can chat right from ur phonebook,share location,wat u r listening etc...head to nokia beta labs...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimejitahidi kuangalia sites mbalimbali via google nimetoka patupu. sasa kama kuna mtu keshawahi fanya hii kitu naomba animwagie maujuzi hapa. Optical drive-cd rom yangu imegoma na sina option...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakubwa naomba msaada wa kupata Product key window 7 ili ni activate window Nimefuata procedures za kufuata manually SOMA HAPA lakini nimekwama katika product key,nifanyeje? Nitashukuru R
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari zenu wandugu jf.. Sasa jamii me natumia dell laptop dell latitude d600..natafuta driver za wireless..nimejaribu kudownload kwenye dell website yao lakin inanizungua..msaada wa link kuna...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wandugu jf.. Sasa jamii me natumia dell laptop dell latitude d600..natafuta driver za wireless..nimejaribu kudownload kwenye dell website yao lakin inanizungua..msaada wa link kuna...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Check this web for more information: Hermitscorp Laboratory
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naomba "Username" na "Serials" ya "Propel Accelerator 6.1.6.1103" au "propel accelerator 6.3.0.3303" Ninatumia Dial Up connection na eneo ninaloishi net ni magumashi ila nimepata hii software...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tafadhalini wanaJF, nisaidieni kuchakachua modem ya vodafone: IMEI:359592035473902 MODEL: K3570-2 NATANGULIZA SHUKURANI
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Microsoft has launched the finished version of its Internet Explorer 9 web browser. The company said IE9's graphics handling, security and privacy features put it on an even footing with Firefox...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
WanaJF mambo vp? Jamani umeme unatusumbua sana hadi unapelekea nawaza jambo fulani sijui inawezekana? Hivi hakuna utaalamu unaoweza kutumika ukawa na inveter inayozalisha umeme wa AC220v umeme huo...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…