mkubwa, tuwe serious kidogo! Line naitumia since long itakuwaje wewe uniambie ina kiji-nylon?Mkubwa kwenye cm card kuna kiraironi kibandue alafu kibandiki vizuri kwa usahii after that cm card itasoma tu
angalia link za mkuu hapo juu zimeelezea kila kitu jinsi ya kufungua simu zote za GSM.
Hahhahaha! simu zote za GSM ? duh! hiyo hatari sasa... tuwe makini na ushauri tunautoa kwa watu hapa jamani maana tunaweza kuwasababishia wengine matatizo ya fifaa vyao kutokana ma maelezo yetu yasiyo kamilika na wao kuyachukua jumla jumla....
Hiyo link nimetoa ni ya BB lakini hiyo forum yaani GSM-Forum by zfrank redirect ni forum ya GSM. Ni kama jf ina jukwaa la tenolojia siasa sheria basi . hao GSM-Forum by zfrank redirect mi nawakubali. kwa mambo ya simu. Na ndio maana nimemwambia kama yeye hawezi kufuatilia technical instruction atafute mtaalam
Kwani wewe hiyo BB unaiunlock vipi ndani ya dk 10.? Alafu ebu chungulia hiyo alafu sema kitu gani cha GSM jamaa hawaja cover.
Katika toleo la Blackberry ni silo lipenda ni hili la Blackberry 8830 World Edition simu inaonekana ni ya kisasa
Nachoipendea hii simu ni uwezo wake wakuchukua line za mitandao ya GSM na CDMA tu....
Mkuuu ebu tuelimishe naona unahama kwenye mada.
Wewe una unlock vipi hizo BB? unatumia teknolojia gani?
Na huyu jamaaa blackberry FREE Unlocking codes Request [ONLY HERE] - Page 7429 - GSM-Forum watu kibao wamempa thanks ni waongo ??
Mkuu, sina tatizo na wewe, ila yule mdau aliyesema kuwa hiyo gsmforum wanauwezo wa ku-unlock simu zote za GSM ndicho kitu nachokipinga hapa.... Kuna mamia ya simu za GSM zimewashinda watu kuzi-unlock sasa mtu anapo kuja hapa na kusema maneno kama hayo ananichanganya kwa kweli,Pia baadhi ya njia wanazo zitoa kwa kufanikisha zoezi la ku-unlock baadhi ya simu ni ngumu sana kiasi kwamba wanaoweza kutumia njia hizo ni wale walio level ya juu ya technologia hiyo pia wakiwa na vifaa vya ukweli, na siyo hizi njia za hapa bongo za baadhi ya mafundi wetu wanatumia ma-box ya kichina N'K....
Ni njia rahisi sana tu natumia kwa ku-unlock baadhi ya simu kwa hizo dk 10, nitarudi kuzielezea baadae...
Kama umenisoma vizuri ni mesema nitarudi hapa kuja kuzielezea hizo njia vizuri... Siwezi kubania elimu mkuu kwani hata nisipotoa mimi wapo wengine watakaoitoa hivyo sioni sababu ya kufanya hivyo.. ni njia ndefu kidogo kwa kuelezea ndio maana nataka nipate mda mzuri niweze kuiwasilisha hapa... Na penda sana kushare haya mambo na watu wengine kwani na mimi bado najifunza, sema majukumu yamekuwa mengi mno mkuu ndio maana nimehadimika kwenye ili jukwaa leo nimepotea njia tu.... Ila nitarudi kwaajili yako ya kukueleza hizo za ku-unlock kwa dk 10...Sasa toa shule wewe unaziun lock vipi kwa kutumia vifaa gani ?Acha kubania elimu na ujuzi.
enjoy your week end. na fifaaaa fyako haaha nimecheka sana thanks
Sasa mkuu ww unasema wanaoweza kufanikiwa zoezi la kuunlock simu ni wenye level za juu mi ninakupinga i can unlock the latest version of iphone 4 within 15 min kama mtandao hautasumbua na mimi sio mtaalam kihivyo kama unavyofikilia ww.
Wakuu hebu nisaidieni na hii ku unlock, nimesha zunguka nayo sana hadi nimeweka kwenye kabati,
sidekick pv210